Wanajua ni kama vile unavyoona vituo vya watoto yatima Dar. Vingi vinapata msaada kwasababu vipo Dar ila huko mkoan ni shida tupu. Na watu wanajua.Sasa unajuaje kama huyo mtu anajua kuhusu hio shida wanayopitia hao watu huko walipo?
Huja yako nimeielewa na ina mashiko pia
Shida acces ama watu wanaopokea hizo sualaWanajua ni kama vile unavyoona vituo vya watoto yatima Dar. Vingi vinapata msaada kwasababu vipo Dar ila huko mkoan ni shida tupu. Na watu wanajua.
Mkuu kila Msaada Una masharti yake, mambo ya Shule, vituo vya afya waachieni Wakristo maana katika vitabu vya dini tumeusiwa pia katika kujali afya ya mwili na roho, vilevile tumeusiwa sana tumkamate sana elimu tusimuache aende zake, sasa huko shuleni ndio tunajifunza umuhimu wa hospitali, shule na huduma nyingine muhimu za kijamii. Wewe usijali, nenda msikitini ukitoka huko kutibiwa nenda kwenye taasisi za kikristo wala hakuna shida na wala hatubaguihabari wadau.
Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.
kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,
kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini
KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?
najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?
kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.
Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.
Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.
Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Basi veta wajue hata ufundi kwa vitendoAkili za watanzania wanajua kiwanda unajenga tu ... Operating costs , soko , utaalamu ...Kiwanda sio rahisi misikiti ni simple tu unajenga....Kiwanda narudia sio rahisi pia location za kimazingira angalia Mbagala ....Kama viwanda vya pwani huyo Nyerere aliviuwa kule Tanga mkae kwa kutulia .
Huko kwenu mbona hakuna viwanda zaidi ni mkoa wa pwani ndio una viwanda vingi....Kama shule zipo kibao maana shule moja inachukua wanafunzi wengi huwez kujenga kila kona shule.
Kwa kifupi waliokusapoti wote hawana akili!, Unajua vitu vya kuzingatia kabla ya kuanzisha kiwanda? Haya una uhakika gani kama wao wame base kwenye ujenzi wa misikiti na hawajawekeza kwingne?
hiyo ndio akili ya mwarabuhabari wadau.
Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.
kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,
kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini
KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?
najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?
kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.
Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.
Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.
Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Mtu akijenga msikiti na watu wakaswali humo, aliyejenga anakuwa anapata dhawabu kubwa kwa Allah sw na hicho ndicho wanacholenga wafadhili wa ujenzi wa misikiti. Kws hiyo usishangae hata mtaa mzima ukiwa na misikitihabari wadau.
Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.
kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,
kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini
KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?
najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?
kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.
Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.
Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.
Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
sie tuitwae na kuigeuza maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani, nani ataenda kuswali huko? Kuna siku inakuja hiyo misikiti itabaki magofu hakutakuwa na wa kusali watu wamebadilika hawataki tena imani za kimagumashi haziwapi chakulaNi mingi mno hiyo misikiti 36 kwa Kata moja.
Serikali ya China wameona mbali, wao wanapunguza idadi ya misikiti..
China kupunguza idadi ya misikiti
Ripoti mpya imebaini kuwa mamlaka nchini China inapunguza idadi ya misikiti katika maeneo ambao yana waislamu wengi. Wachambuzi na wanaharakati wanasema kampeni hiyo inalenga kuweka masharti kwa utaratibu na uwepo wa uislamu wakati wakiimarisha udhibiti wa serikali juu ya dini za walio wachache.www.voaswahili.com
There goes the the country's top Islamic Affairs ExpertHiyo ni jamii ya kiislamu. Hitaji lao ni ahera (kama ipo anyway). Elimu dunia is not a priority to them. Pwani yote priority ni madrasa n misikiti. Tuwaache wapiganie ahera ambayo hawana uhakika usiokuwa na mashaka kama ipo! (mnisamehe najua mtanirukia.
Kwani kuna ambaye ataishi milele, au ww una uhakika na kesho yako.Kiufupi hicho ni kizazi kinachosubiri kufa
Kwa hiyo hizo kelele za dakika tano zinakukera kuliko wale wanaofanya mkesha usiku mzima, au baa. Saa nyingine tusiwe tunajibu Kwa chuki. Waislam ni ndugu zetu, majirani zetuNawaza tu huko Tambani sijui ikifika saa 10 alfajiri hayo makele inakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiendekeza ibada uzalishaji unakuwa sifuri; ni nani aliishi kwa kula ibada?Acheni watu wafanye ibada mzee ibada zipo dunia nzima na watu wanaendelea na kufanya kazi
Sijawahi kuona duniani ama mskiti au kanisa waumini wake wanafanya kazi 24/7
Sasa ibada ya dakika 15 kila baada ya muda fulani ndio zinazuia watu kufanya kazi
Tafteni vyengine ila ibada sio sababu