kwani wa kwako peke yako? hiyo mimba ulibeba wewe? watu wengine munakera kwa kweli
Hatari Sana aiseethats very true; ngoja niwape story
Tumesafiri na co worker wangu kwenda Mkoa X kwa shughuli za kikazi, safari yetu ilihusisha co workers wengine kama 3,
tumefika mkoa X, mm na mshikaji tumefikia lodge moja wengine wamefikia kila mmoja anavyojua.
Siku 3 baada ya kazi iliyotupeleka kule kukakutana kwa Lunch pamoja, Mdada mmoja ambaye tulikuwa wote kwenye hiyo safari nadhani vile tulikuwa tunakutana na watu wa taaisisi zingine katika kujitambulisha akasema yy anatokea taasisi yetu (tuiite P) basi ile tunakutana akaja akamweleza mshkaji yule ambaye nipo nae mm Lodge moja kwamba amekutana na Mdada (akamtaja jina) na kwamba amesema akiwa awe anaomba aje... jamaa hakusita akamwambia mwite.... aisee dak 6 nyingi amepigiwa simu akaja...ni mtu hasa!
kufika pale yule mdada like kama alikuwa excited yaani ameshindwa hata kula anataka kulia kwa furaha, anamwangalia mshikaji anamkumbatia hivi kwa hisia san, yaani yupo na shauku ya ajabu kwamba hajaonana na jamaa kama 9 years walipotezana kwa sababu jamaa ameoa na yule dada ameolewa.
basi baadae jioni yake tukawa mahala tunashusha wine kidogo, jamaa akaanza kutiririka kwamba walikuwa na very close relationship dada akaolewaga mtoto wake huyo akampa jina la mshikaji kwa namna alikuwa anampenda..... and bad sijui nimese good enuf jamaa walifanya baby come back wakafanya yao na until leo mdada anafungaga safari kumfuata jamaa popote anapokuwepo!!
to conclude i second mleta mada, majina yanayotolewa na akina mama kwa watoto wao wa kiume mara nyingi yana historia fulani hasa ya kimahusiano!
Basi baa
hata kama unamtafuta lakini siyo miliki yako kijana. Yeye ana maisha yake na wewe unayo maisha yako. Mumeamua kuungana kwa kuleta watoto duniani - huo unakuwa ni uamuzi wa wote wawili, sasa iweje tena wewe ujipe mamlaka kamili?Mwanamke ni mali , kwani nampata bure si namtafuta. Lazma niwe na mamlaka ya mwisho juu ya Mali yangu.
Mwanamke akiolewa hana maisha yake vilevile pia mwanaume akioa hana maisha yake . kuna kuwa na maisha ya pamoja.. Baba /mwanaume ni kichwa kwenye familia so maamuzi mengi anafanya mwanaume.hata kama unamtafuta lakini siyo miliki yako kijana. Yeye ana maisha yake na wewe unayo maisha yako. Mumeamua kuungana kwa kuleta watoto duniani - huo unakuwa ni uamuzi wa wote wawili, sasa iweje tena wewe ujipe mamlaka kamili?
Hahahah hio safi ila kwa akili ya mke wangu naona huko ni kumpa mazoezi mi natafta jina litalonipendeza😀 ila liwe zuri, mfano dogo mmoja anaitwa "Candice" hilo jina nilitafta mimi nikampa. Au Jachobed jr yote yake.Mimi watoto wangu hua natafuta majina na maana zake mwenyewe, baba yao namshirikisha anachagua kwenye list ya majina yangu.
Nyie wanaume wa wapi wenye hayo masharti[emoji854] watoto wenyewe siku hizi wakikua wanakana majina ya zamani wanajipa majina mapya
kuwa siriaz mkuu, hapa umeyumba, sio kweliHakunaga Mwanaume wa kumpa bint yake jina la demu wake. Wanaume wa hivyo walibaki Mwanza na Arusha mjini.
Kunywa sodaMwisho wa siku watoto wanaishia kuimba nani kama Mama. Mna upuuzi kiwango cha SGR ,mtu ahangaike mimba miezi tisa uchungu juu kunyonyesha miaka miwili kisha unamnyima haki ya kutoa jina kisa your own inferiority
Umeandika kwa mafumbo sana lakini kwa tuliyoshuhudia makabiliana ya wana ndoa kwa mke kutoa jina la mtoto wa kiume tumegunduaSio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.
Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.
Chukua tahadhari.
Sasa mnachokataaa nn? Wee kumpa jina la ex wako mtoto wenu wa kike ni sawa, ila mkeo kumpa jina la ex wake mtoto wenu wa kiume ni vibaya?Siku hizi kuna wasagaji pia. Unaweza kuta binti yako anapewa jina la mtu wake anaemsaga. Mwanaume toa majina wewe mwenyewe tu.
Japo na sisi huwa tunatoa majina ya mademu zetu. Binti yangu wa pekee nimempa jina la demu wangu wa kwanza wa primary japo mama yake hajui chimbuko la jina.
Kila kabila lina (tamaduni) utaratibu wake wakutoa majina kwa watoto.Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.
Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.
Chukua tahadhari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana watachanganyikiwa nakwambia.
Hofu ya Kuchapiwa
Hofu ya kubambikiziwa
Hofu ya jina la X
Hofu ya single mama
Hofu ya mali mkiachana
Hofu ya mirathi
Hofu ya kushindwa kuhudumia
Hofu ya size ya uume
Hofu ya kumwaga haraka
HALAFU UNAKUTA ANA GARI BOVU ILIMRADI NA YEYE AWE NA GARI.
Wazazi tukeshe tukisali.
Kuna wanaume mnatuangusha asee hicho cheo chakutoa jina umempaje au yeye ndio kakutolea mahariMke wangu kampa mwanagu jina la baba ake mzazi ila yule baba mkwe ni mswahili sana nafikiri kumbadili jina mwanangu asije kupata tabia za huyu babu wake.
Alivo toka kwao karudi najina na sikitaka kumgombeza si unajua babu ange mind sanaaKuna wanaume mnatuangusha asee hicho cheo chakutoa jina umempaje au yeye ndio kakutolea mahari
Unajichagulia majina kwenye list ya ma ex zako ndomana wajanja tumesanukaMimi watoto wangu hua natafuta majina na maana zake mwenyewe, baba yao namshirikisha anachagua kwenye list ya majina yangu.
Nyie wanaume wa wapi wenye hayo masharti[emoji854] watoto wenyewe siku hizi wakikua wanakana majina ya zamani wanajipa majina mapya
Inawezekana wewe unaweza, labda na wenzako wawili wa tatu, lakini siyo wa kiwango cha kusema kuna wanaume huwa wana tabia ya kuwapa mabint zao majina ya madem zao au ma ex wao. Hiyo haipo kwa wanaume, isipokua kwa hao mnaoweza tukuwa siriaz mkuu, hapa umeyumba, sio kweli
Kama sina ex?Unajichagulia majina kwenye list ya ma ex zako ndomana wajanja tumesanuka