Majina ambayo sio common kama hivyo mimi ndio nayapenda. Perfect [emoji3059]Hahahah hio safi ila kwa akili ya mke wangu naona huko ni kumpa mazoezi mi natafta jina litalonipendeza[emoji3] ila liwe zuri, mfano dogo mmoja anaitwa "Candice" hilo jina nilitafta mimi nikampa. Au Jachobed jr yote yake.
Hahahah siwezi muita mtoto jina la yebo yebo π€£Majina ambayo sio common kama hivyo mimi ndio nayapenda. Perfect [emoji3059]
Hata mimi aiseee[emoji23][emoji23][emoji23] nakuunga mguu maana mkono hautoshiHahahah siwezi muita mtoto jina la yebo yebo [emoji1787]
Ipo hivi watoto wa kike ni mama lakin ndume ni baba
Anatoaje majina ,kwani yeye kaoa au kaolewa?Mama atoe majina ya watoto wa kike hivyo hivyo baba atoe majina ya watoto wa kiume
Ni marachache sana bikira kuvunjwa na mimba juu.Kama sina ex?
Kuna ukweli mwingi. Kuna dada mmoja kampa mwanawe jina la mwanaume aliyekuwa akimpenda sana tukiwa shule. Japo kwa sasa kila mtu ana maisha yake na huyu dada alishaolewa.Wanawapa majina ya ma ex zao au waliovunja mlango first time
Kutoa majina inategemea na mila ama kabila bw she!Anayetoa majina ya watoto ni baba sidhani kama kuna mjadala
Kuna rafiki yangu kwao wamezaliwa wa tano na Baba yao kawapa majina ya maraisi wa zamani wa Afrika, wa kwanza kamuita SamoraWewe muite hata Billgates lakini kama huna Mipango haisadii chochote.
Babu yangu alikuwa tajiri sana wa enzi zao, na utajiri wake mkubwa ni mifugo, ilikuwa kila mwanaukoo anayetaka kuowa basi mahari anakwenda kuchukuwa kwa babu yangu yani Ng'ombe.
Sasa basi kwa imani utajiri ujirudia unakuta familia moja baba anawapa majina mpaka Watoto watatu jina moja la yule Babu yangu kwa imani yao kwamba kwenye ukoo lazima kutatokea mtu mwenye jina lake na atakuwa tajiri mkubwa kama Babu.
Basi ukija kijijini kwetu utacheka ukiuliza unamtafuta Fulani ni lazima useme mtoto wa Fulani na bado ndani ya familia hilo jina wanatumia Watoto watatu, imebidi vijana wenyewe wa kisasa lile jina wakalichakachuwa sasa hivi kila mtu ana utambulisho wake kwa jina hilohilo kama vile Mohammed, Muddy na Mo.
Hahahah ni unyamaaHata mimi aiseee[emoji23][emoji23][emoji23] nakuunga mguu maana mkono hautoshi
Hahahah balaa zitoKuna rafiki yangu kwao wamezaliwa wa tano na Baba yao kawapa majina ya maraisi wa zamani wa Afrika, wa kwanza kamuita Samora
wapili kamuita Castro,
watatu Biko
Wanne Bokasa
Watano kamuita Mugabe, na wote kwasaasa wanamaisha magumu tu.
Mmh babyKuna binti alinipenda sana, mtoto wake wa kwanza alimpa jina langu.
Hili sikupendezwa nalo hata kidogo.
NimefumwaππππMmh baby
Nakuzoom tuNimefumwaππππ
Amewachukuliaje poa mkuu?Wanawake usiwachukulie poa utaumia mkuu
Ya kale hayanuki lknππNakuzoom tu
Aaaah wapi..... from nowhere aanze tu kukusumbua ?.... Kuna namna hapo..πππHapana mkuu, huyo binti ni wale vivuruge...anapita mtaani anawambia watu namtafuna, huku sina mpango naye.
Alimsumbua sana gf wangu...na ukweli sikuwahi kumgusa kabisa