totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,398
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.
Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.
Chukua tahadhari.
Hii mkuu inabadilisha nini? Maana ukute hata mtoto sio wako.....
wakati mwengine ni kuacha maisha yaendelee!!! Na tunawapa fursa kutoa jina kwasababu moja tu....
kuingia kule ndani yani (leba)nakutoka salama yeye na mtoto inatosha yeye kutoa jina kama itakupendeza lakini sio sheria kwamba lazima tutoe majina mkuu!!!
Tunatoa majina na watoto sio wetu ni ujuha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]