Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Nyie kiboko 😀😀😀Tuishi humu
View attachment 2926193
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie kiboko 😀😀😀Tuishi humu
View attachment 2926193
Unawadanganya wenzio unalo jikoMuongo wa nini??, hebu nieleweshe hapo.
Mzushi huyo mpotezee😂Nyie kiboko 😀😀😀
Kama haidindi, leta Dem wako tuku kanyagie.Hapa kuna makundi matatu yenye chanzo cha kataa ndoa:
1. Hanithi...haidindi
2. Kataa ndoa mtoa jicho
3. Kataa ndoa hajajipata yaani hana pesa...akizipata stori inabadilika.
Jiongezezeni Masela
Jidanganye ,kwa hiyo ukijipata ndio unasainishwa ma vyeti ya ndoa?[emoji1]99% wapo hapa mkuu ,hawajajipata.
Ukiwa na mkwanja watoto warito wanakuja wangu wangu ,utawakataaje?
Acha kabisa, tena akina Manka wanavyojua kunusa mkwaNja99% wapo hapa mkuu ,hawajajipata.
Ukiwa na mkwanja watoto warito wanakuja wangu wangu ,utawakataaje?
Tuanze kutengeneza na merchandiseTuishi humu
View attachment 2926193
Mkubwa sija oa, na Sina mpango huo🤓🤣Unawadanganya wenzio unalo jiko
Uko sahihi bro, kataa ndoa ni hazina.Tuanze kutengeneza na merchandise
Ndio ma_mentor wenu siyo?Isaac Newton.
Tesla himself
Da vinci
Hao ni baadhi ya wanachama baadhi.
Mfano huyo Da Vinci hakuwahi kuoa na IQ yake ilikuwa inafika 200 na zaidi.
Yesu mwenyewe alikuwa team kataa ndoa.
Fresh tu, ila Kataa ndoa ni hazina ya kesho.Kwaherini wakataa ndoa uchwara
Elon musk, bill gates, Jeff bezoa matajiri wakubwa.Isaac Newton.
Tesla himself
Da vinci
Hao ni baadhi ya wanachama baadhi.
Mfano huyo Da Vinci hakuwahi kuoa na IQ yake ilikuwa inafika 200 na zaidi.
Yesu mwenyewe alikuwa team kataa ndoa.
Ndo Maana tuna sema kataa ndoa, ishi naonila kataa ndoa99% wapo hapa mkuu ,hawajajipata.
Ukiwa na mkwanja watoto warito wanakuja wangu wangu ,utawakataaje?
Karibu kataa ndoa🤓🤣Nyie kiboko 😀😀😀
Ndio, si unaona na mambo waliyofanya, tofautisha ndoa na mahusiano.Ndio ma_mentor wenu siyo?
Kwenye utulivu wa akili na nafsi ndipo mambo makubwa hutokea.Elon musk, bill gates, Jeff bezoa matajiri wakubwa.
Ila wameona ndoa ni uhuni