Kataa ndoa ni hazina ya kesho

Kataa ndoa ni hazina ya kesho

Isaac Newton.

Tesla himself

Da vinci

Hao ni baadhi ya wanachama baadhi.

Mfano huyo Da Vinci hakuwahi kuoa na IQ yake ilikuwa inafika 200 na zaidi.

Yesu mwenyewe alikuwa team kataa ndoa.

Watu wenye akili nyingi wanapenda utulivu, na mara nyingi wanakaa na kutafakari mambo kwa upana.
 
Hapa kuna makundi matatu yenye chanzo cha kataa ndoa:
1. Hanithi...haidindi

2. Kataa ndoa mtoa jicho

3. Kataa ndoa hajajipata yaani hana pesa...akizipata stori inabadilika.

Jiongezezeni Masela
Kama haidindi, leta Dem wako tuku kanyagie.

Afu matusi ya nini??
Screenshot_20240306-154413_2.jpg
 
Back
Top Bottom