Kataa ndoa ni hazina ya kesho

Kataa ndoa ni hazina ya kesho

Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.

Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.

swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.

maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.

Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.

KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50

View attachment 2926176
Intelligent businessman usiukimbie uzi wako
 
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.

Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.

swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.

maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.

Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.

KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50

View attachment 2926176
Za kuambiwa changanya na zako.
 
Mi nimesimama hapa kuzungumzia ndoa katika asilimia kubwa.

We unafikiri hakuna wanawake wanawalea wanaume, wamewatengenezea maisha wanaume?
Wapo ndio maana mwishoni nilisema kuna aina hio ya wanawake lakini ni kwa asilimia chache.

Hata hao kina Dewji na Bakhresa ni asilimia ngapi ya couple zilizopo ndoani?

Tazama kwa upana wake na utahakiki nachozungumzia.
Kwahiyo kwa takwimu zako sizizo rasmi ni kua wenye matatizo ndoani ni wengi kuliko wenye furaha??

Kumbuka ndoa zinafungwa kila leo, na mapaka sasa ni watu wengi wako ndoani more than 10 yrs kwa raha zao.

Kama nilivosema, maisha hayakosi changamoto mkuu. Wewe kwa kipimo chako umeona kua ukioa mwanamke atakufilisi maana utakua unamlisha na yeye haprovide kitu..

Ila wengine hawaioni ndoa kwa angle hiyo, yeye kupata penzi, kufanyiwa majukumu mbalimbali ya nyumbani, kulea watoto nk anaona vinalingana na thamani anayoitoa kwa matumizi hapo home.

Ni mtazamo tu.
 
Kwahiyo kwa takwimu zako sizizo rasmi ni kua wenye matatizo ndoani ni wengi kuliko wenye furaha??

Kumbuka ndoa zinafungwa kila leo, na mapaka sasa ni watu wengi wako ndoani more than 10 yrs kwa raha zao.

Kama nilivosema, maisha hayakosi changamoto mkuu. Wewe kwa kipimo chako umeona kua ukioa mwanamke atakufilisi maana utakua unamlisha na yeye haprovide kitu..

Ila wengine hawaioni ndoa kwa angle hiyo, yeye kupata penzi, kufanyiwa majukumu mbalimbali ya nyumbani, kulea watoto nk anaona vinalingana na thamani anayoitoa kwa matumizi hapo home.

Ni mtazamo tu.
Napenda utulivu wa akili na mwili.
Sio kuhusu matumizi, kutokuwa na utulivu wa akili kunapelekea maisha yako kwenda mrama.

Nirudie tena utulivu wa akili ni muhimu, huwezi kuwa na focus na concentration kwenye kazi kama ndoa inasumbua.

Ndio maana nimekuambia matajiri wakubwa kuachana na wake zao ni kukwepa matumizi?

Najua huwezi kunielewa.
 
Napenda utulivu wa akili na mwili.
Sio kuhusu matumizi, kutokuwa na utulivu wa akili kunapelekea maisha yako kwenda mrama.

Nirudie tena utulivu wa akili ni muhimu, huwezi kuwa na focus na concentration kwenye kazi kama ndoa inasumbua.

Ndio maana nimekuambia matajiri wakubwa kuachana na wake zao ni kukwepa matumizi?

Najua huwezi kunielewa.
Ni uoga binafsi mkuu, utulivu wa mwili na akili hauathiriwi na ndoa pekee, kuna mengi yanaweza fanya hivyo hata usipokua na ndoa.

Na pia inatagemea na uwezo binafsi wa kusolve matatizo yako, kama ukipata tatizo linaathiri mpaka kazi yako basi ni kweli hupaswi kuoa, ninyi ndo huwa mnaua wenza wenu.
 
Wazee wa kataa ndoa mna hoja nzito ila mimi ninashauri muwe na watoto... CCM inahitaji wapiga kura huko mbeleni. Nyeto mnazopiga ni hasara kwenye sanduku la kura... mabao yote ya nyeto tunahesabia kama kura zilizoharibika. Chali angu dronedrake kashaharibu kura nyingi sana..
 
Wazee wa kataa ndoa mna hoja nzito ila mimi ninashauri muwe na watoto... CCM inahitaji wapiga kura huko mbeleni. Nyeto mnazopiga ni hasara kwenye sanduku la kura... mabao yote ya nyeto tunahesabia kama kura zilizoharibika. Chali angu dronedrake kashaharibu kura nyingi sana..
Mpaka Sasa ana mabao zaidi ya 100 🤓, ila haongozi kwenye ligi🤣🤓
 
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.

Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.

swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.

maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.

Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.

KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50

View attachment 2926176
Nyeto zitawaua
 
Nyeto zitawaua
th (2).jpeg
 
Yaani niishi mwenyewe si upweke utaniua
Huwa nafurahi sana vile nafika home watoto wananikimbilia aisee tena wote copy yangu vile npe sitting room wananisumbua sumbua,wote wawili wako under 6 yrs
 
Back
Top Bottom