Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wakina King Julian yule jamaa mwenye nanasi kichwani [emoji1787]Kaangalie Madagascar 3 cartoon,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina King Julian yule jamaa mwenye nanasi kichwani [emoji1787]Kaangalie Madagascar 3 cartoon,
Ewaa, angalia na spies in disguise 😃Wakina King Julian yule jamaa mwenye nanasi kichwani [emoji1787]
Sawa sawa.Ewaa, angalia na spies in disguise [emoji2]
haya, ma pank 😃😃Sawa sawa.
Ume kutwa na nini??leo nimewaelewa wote wanaosema kataa ndoa kimeniramba 😂😂
Naam kataa ndoa for lifeHuu Uzi usindikizwe na wimbo wa BACHELOR_NEY WA MITEGO.
🔥🔥
Comrade 😂Isaac Newton.
Tesla himself
Da vinci
Hao ni baadhi ya wanachama baadhi.
Mfano huyo Da Vinci hakuwahi kuoa na IQ yake ilikuwa inafika 200 na zaidi.
Yesu mwenyewe alikuwa team kataa ndoa.
Watu wenye akili nyingi wanapenda utulivu, na mara nyingi wanakaa na kutafakari mambo kwa upana.
Ndoa ni ukatili mwanangu...🤣Ume kutwa na nini??
kwa nyinyi wazee bar muhimu, sisi tuko na ugali+ mbuzi choma🤣Ndoa ni ukatili mwanangu...🤣
Kataa ndoa tunakesha bar, na kwenye harusi zenu tunachanga..😂
Cristiano Ronaldo piah hajaoa.Elon musk, bill gates, Jeff bezoa matajiri wakubwa.
Ila wameona ndoa ni uhuni
naamCristiano Ronaldo piah hajaoa.
Jaman kataa ndoa nawasalimia jaman, kwa hiyo hamtaki uroda jaman hata wa kinafiki jamani, Mwenyekiti wa kataa ndoa na waliowatalakia wake zao nakusalimia sanaaHii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno.
Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka.
swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia.
maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana.
Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, dronedrake,
03. Mjumbe ni Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.
KATAA NDOA LINDA MAISHA
YAKO.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKo.
KATAA UNAFIKI WA 50/50
View attachment 2926176
Salam, KATAA NDOA LINDA UHURU WAKOJaman kataa ndoa nawasalimia jaman, kwa hiyo hamtaki uroda jaman hata wa kinafiki jamani, Mwenyekiti wa kataa ndoa na waliowatalakia wake zao nakusalimia sanaa
Nikifikiriaga maswala ya kugawana Mali hamu ya ndoa inaisha kabisa yaani.Jaman kataa ndoa nawasalimia jaman, kwa hiyo hamtaki uroda jaman hata wa kinafiki jamani, Mwenyekiti wa kataa ndoa na waliowatalakia wake zao nakusalimia sanaa
Nataka nialike tulewe katandaa ndoa wote tujipe raha kwa kweliSalam, KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
i mean no malice to nobodyNataka nialike tulewe katandaa ndoa wote tujipe raha kwa kweli
Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, @Liverpool VPN,
02 katibu wa kataa ndoa, @dronedrake,
03. Mjumbe ni @Loading failed,
04, Mimi ni katibu mwenezi wa Sera za chama Cha kataa ndoa.