cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini unatukana watu wanaojitambua ambao hawataki kukaa Sehemu Chafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini unatukana watu wanaojitambua ambao hawataki kukaa Sehemu Chafu.
Hakuna chochote wanachofaidi zaidi ya mateso kuuana akili
Vp waliooa sukari ikawatafuna?Wasipooa wanaweza kuishia kubaya.....chaputa, mabwabwa....
Ndoa niKwa vile hii ni poll ya muhimu imebidi ni-log in kwenye web ili nipige kura. Halijaharibika neno.
✅️ Ndoa ni mpango wa Mungu
✅️ Ndoa ni heshima
✅️ Ndoa ndo msingi bora wa familia
✅️ Ndoa ni msingi wa jamii imara
Mimi sitaki wanangu waje kuingia kwenye maujinga haya ya ndoa....View attachment 2516945
Ashakutakia Happy Valentine? Kama bado Mambo yasiwe mengi, shikilia hapo hapo!
Waungwana kwa muda tumeona nyuzi baada ya nyuzi akina Liverpool VPN dronedrake na wenzao wakipiga kampeni kali kabisa kukataa ndoa huku wakitoa mifano ya visa vya kweli
Na mzee wa busara Mshana Jr na wengine tukikubali changamoto za ndoa na kuendelea kuhamasisha vijana waoe wasikimbie majukumu yao.
Sasa kutokana na kuwepo kwa maoni mseto humu ndani ni wakati sasa tupige kura ili tujue msimamo wa jumla wa wanachama wengi hapa JF kuhusu taasisi nyeti ya ndoa.
Bonyeza NDIYO ✅ kuunga mkono Ndoa
Bonyeza HAPANA ❌ kukataa ndoa
NB: Mods tafadhali sana msifute huu uzi
Hauendi kinyume na sera za JF!🙏
View attachment 2516946View attachment 2516948
UPDATES
“
Mkuu Count Capone nna jambo la kushare kulingana na mfumo tulionao na tunaendelea kuishi nao.
Kwa wenye imani dini hasa ya kikirisito wanajua kuwa NDOA ni jambo jema na nimipango ya mola kufanya iwe hivyo.
Baada ya uumbaji mzee Adam alipewa jiko (bihawa) na kumwambia enendeni mkaitunze dunia na kuzaa pia huku mkiwa na Upendo kati yenu.
Baada ya hapo hadi leo kumekuwa na mparaganyiko, vikao vya kimataifa ikazaliwa (Beijing women conference) ikaja na agenda motomoto ambazo leo zinataka 50/50 na hiyo fifty-fifty imezaa wajukuu wanaolelewa kwa kuambiwa wanawake tunaweza tukiwezeshwa bila chenga.
Leo kitukuu kina nguvu na uwezo kinaamua sitaki kuishi na mke/mume hata mimi naweza kujimudu, isipokuwa Mwanamme hawezi kubeba mimba ila huyu wa 50/50 anaweza kubeba tena siyo lazima mimba iwe na baba.
Kwa nini NDIYO au HAPANA kwa Ndoa, matatizo yaliyopo ndani ya Ndoa yanapelekea vijana wengi hasa sa kike kuichukia ikiwemo uvumilivu na kusamehe, vifo na majanga yatokanayo na ndoa imewafanya wengi kuepa kuoa na kuolewa, taasisi za gizani, hidden societies zinazosimamiwa na NGO's zinasimama kuharibu mahusiano mazuri yaonekane ni ya ovyo.
Baadhi, ndugu, taasisi na wazazi nao wanasimama kuharibu mahusiano ya wanandoa, wanasahau NDOA ni one the biggest Institution inayoweza kuharibu na kuijenga dunia.”
- TODAYS
Enhee umechapiwa mkuu?Ndoa ufala
Unakuwa na watoto wako mkuu ila haufugi mtoto ya mtu , unapiga na kutembeaNauliza swali hii kataa ndoa maana ake si unaishi na mwanamke ila hauoi au? maana tunahitaji watoto na mtu wa kuongea nae,
Ela zikiwa nyingi halafu uko peke yako hakuna watu wa kuzitumia linakuwa tatizo hilo
NotedUnakuwa na watoto wako mkuu ila haufugi mtoto ya mtu , unapiga na kutembea
Ila usipige bila tahadhari mkuu utaunganishwa kwenye grid ya taifa , kumbuka pia kuna mitambo ya fangasi na uti sugu , cheza kama Pele [emoji4][emoji4]Noted
Ila usipige bila tahadhari mkuu utaunganishwa kwenye grid ya taifa , kumbuka pia kuna mitambo ya fangasi na uti sugu , cheza kama Pele [emoji4][emoji4]
Aisee...inachekesha..😅😅😅🤣😅😅Hilo ni hallucinations tu za vijana wafuata mkumbo katika umri huu walionao ambao hawawezi kuwa handle vema mabinti ambao tayari wameshakuwa mafundi
Wanashindwa kusimama katika nafasi zao kama wanaume matokeo yake ndio hizi kampeni
Kwa mfano huyu alivyodhalilishwa ukumbiniView attachment 2516983
Liverpool VPN dronedrake Mzee wa kupambaniaNauliza swali hii kataa ndoa maana ake si unaishi na mwanamke ila hauoi au? maana tunahitaji watoto na mtu wa kuongea nae,
Ela zikiwa nyingi halafu uko peke yako hakuna watu wa kuzitumia linakuwa tatizo hilo
Ela zikiwa nyingi halafu uko peke yako hakuna watu wa kuzitumia linakuwa tatizo hilo
Wanawake hawawez kuchangia uzi kama huu maana wengi ni single maza hakuna bikra aliekuemo jf
Mimi ni mwanamke na nimechangia uzi. Nakubali ndoaWanawake hawawez kuchangia uzi kama huu maana wengi ni single maza hakuna bikra aliekuemo jf
Unakubali ndoa na wakati umeshazalishwa kabla ya ndoa ndo vipi ivyoMimi ni mwanamke na nimechangia uzi. Nakubali ndoa