Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Nakataa ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe wanaume humu jf mnagegeda warembo mpaka mnajua kuwa warembo ni breki mbupuz 🤣🤣🤣Wanawake hawawez kuchangia uzi kama huu maana wengi ni single maza hakuna bikra aliekuemo jf
Kama wewe ndio umenizalisha sawa.Unakubali ndoa na wakati umeshazalishwa kabla ya ndoa ndo vipi ivyo
kuishi nao haikatazwi shida ni kujifunga ule mkataba tuu wa kuitwa ndoa basi huo ndio utata.Mimi Siwezi kuishi bila mwanamke kwakweli. Dunia yafaa nini bila maua yetu haya mazuri. I like them🤗
Wee🤓😆
Islam wamenyooka sana kwenye swala la ndoa mmeshindwana kila mtu ba hamsini zakehv ndoa ambazo zinapingwa mbona kama 98% ni za wakristo wazee
nami naona wakrist ndo wanaopunga suala la ndoa waislamu nawakubali sana kwenye ndoa simple and clearIslam wamenyooka sana kwenye swala la ndoa mmeshindwana kila mtu ba hamsini zake