Unaposoma kitabu lazima ujue mtazamo wa mwandishi ni upi. Usitegemee kitabu kilichoandikwa na Mhaya kiwasifie wachaga.kuna kitabu nilisoma kinasema mwanaume aliyeoa akizeeka anakua na furaha kuliko ambae hajaoa
Nini mbaya unayopitiaWalioweka ndoa za mkataba waliona mbali!!!
Ni kweli, lakini Mungu sio mbaguzi hutubariki kila mmoja, unahisi kwanini Mungu anaruhusu wengine kupata mwenza atakae muoa na atampitisha katika mapitoKuna wakati binadamu anavyopata mwanamke bora na kuishi naye vizuri, anaona wenzake ni maboya sana hawajui kuchagua wanawake bora. Ukipata mwanamke bora mshukuru Mungu sana sio kwa uwezo wako ni Neema tu umepata. Tuendelee kumuomba Mungu aingilie kati suala la ndoa na Mahusiano.
Sahihi kabisaKweny unabii mwanamke huwa ana represent kanisa na sio literally kama ww unavofikiria kuwa ni mwanamke halisi.
Kwaio kama unasubiri huo unabii pole sana.