mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
siwezi kuelezea vizuri, 'poor social life' nimemaanisha mtu anaeshindwa kutengeneza mahusiano na watuIt seems ni bonge la kitabu, kwenye kutokuoa ni dalili ya upoor pia hakikutoa sababu??
Je, utakuwa kati ya watakaowasitiri au watakaokosa kuwasitiri??Sie wengine tunasubiria unabii ambapo wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja na kumuomba awafichie aibu yao.
Duuhh pole sana mkuu, alikupa sababu za msingi au alimove on bla kusema bye??Niliachwa kaka
Mkuu katka kipengele cha UJANE na UGUMBA vyote ni katari na pia wao wapo ili wengne wajifunze luptia wao, kutokana na UPWEKE wanapitia mazito mno.ukitaka kujua faida/hasara za ndoa ni hadi upate changamoto kubwa hasa mariachi. au mtembelee mjane mzee hlf awe anaishi pekeake bila watoto wa kuzaa yy mwenyewe
KUna concept ya what do you bring on the table??Kwahy sometime huwa ni suala la economic status ya mtu ndyo hupelekea maamuz[emoji15][emoji15]
kitu kidogo hicho... Ni kumfilisi tu OVERMara nyingi mwanamke tajiri, huangalia sana utamu-offer nini kabla hajajiingiza kwenye mahusiano na wewe, Pili hakuna kitu kibaya katika uzoefu wangu wa mapenzi kama MWANAMKE akuzidi KIPATO.
ila watu bhana... Mimi nitakuwa upande wa kuwasaidia... Sijajua kama nikiwasitir au lah ndio nitawasaidiaJe, utakuwa kati ya watakaowasitiri au watakaokosa kuwasitiri??
Well, ila sio siku zote utakuwa una ela ya kununua maziwa, Je vp ukikosa ela??Kununua maziwa ni nafui zaidi kuliko kufuga ng'ombe
Kwahy mkwanja ndo huweka mpira katee?? [emoji23][emoji23][emoji23]KUna concept ya what do you bring on the table??
Itashindikana coz mwanamke tajiri anachokikwepa kwako ndo hko cha mufilisi[emoji28][emoji28][emoji28]kitu kidogo hicho... Ni kumfilisi tu OVER
nipm kama unakitakaDuuh, katika maktaba za public pia kinapatikana??
[emoji23][emoji23][emoji23] Muhimu ni kutunza uanaume wako, mpaka mda huo ufike.ila watu bhana... Mimi nitakuwa upande wa kuwasaidia... Sijajua kama nikiwasitir au lah ndio nitawasaidia
Dk 0. Mkuunipm kama unakitaka
Ngoja waje[emoji2788][emoji2788]...and nasubiri comment ya dronedrake na FaizaFoxy ili kubalance mzani
mwanamke anaweza kukuzid akili darasani lakin kwenye real life ni bogus... Mungu alijua kama hawa viumbe atawapa akili zaidi yetu watatutesaItashindikana coz mwanamke tajiri anachokikwepa kwako ndo hko cha mufilisi[emoji28][emoji28][emoji28]
kuna kitabu nilisoma kinasema mwanaume aliyeoa akizeeka anakua na furaha kuliko ambae hajaoa