Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

ukitaka kujua faida/hasara za ndoa ni hadi upate changamoto kubwa hasa mariachi. au mtembelee mjane mzee hlf awe anaishi pekeake bila watoto wa kuzaa yy mwenyewe
Mkuu katka kipengele cha UJANE na UGUMBA vyote ni katari na pia wao wapo ili wengne wajifunze luptia wao, kutokana na UPWEKE wanapitia mazito mno.
 
Mara nyingi mwanamke tajiri, huangalia sana utamu-offer nini kabla hajajiingiza kwenye mahusiano na wewe, Pili hakuna kitu kibaya katika uzoefu wangu wa mapenzi kama MWANAMKE akuzidi KIPATO.
kitu kidogo hicho... Ni kumfilisi tu OVER
 
ila watu bhana... Mimi nitakuwa upande wa kuwasaidia... Sijajua kama nikiwasitir au lah ndio nitawasaidia
[emoji23][emoji23][emoji23] Muhimu ni kutunza uanaume wako, mpaka mda huo ufike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…