Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
[emoji23] hata hzo magazeti sina mkuu pesa teezMuombe sana MUNGU, ufilisike mkuu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] hata hzo magazeti sina mkuu pesa teezMuombe sana MUNGU, ufilisike mkuu [emoji23][emoji23]
kwel kbsa, mm naona TALAKA Ndio mkombozi wa wana ndoaHilo swali ni gumu kaka, kila mtu anajinsi yake anavoonyesha upendo, ila mzee sisi wanaume tuna namna yetu tunajua, tuna instincts za kiume zinazotuongoza.
Uko vizuri sana wanaume wengi wangekuwa wanafikiria km wew mambo yangebadilika sanaFaida za kuoa- furaha
Hasara za kuoa-............(hamna)
Kama unaamini kuna hasara za kuoa pole mzee.
Hakuna hasara za kuoa but kuna hasara za kuoa mwanamke usiye endana nae.
Oa mwanamke unayempenda na ww anakupenda.
Ukiona mwanamke anayekupenda na ww humpendi basi tuu labda katoka familia tajiri, aisee hutokuwa na furaha kweny maisha yako ya ndoa.
Ukioa mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi, hapo ndo utafahamu stress ni nn.
Oa mwanamke mnayependana, regardless hali ya familia yake ili mradi mnapendana.
Huu ni ushauri tuu unaweza fanya unavojua ww.
Chief sipingi ndoa ila hapana, mwanamke sikitu kinachompa furaha mwanaume duniani, hahahaha. Kwamtu aliyezoea kuishi mwenyewe tangu chuo mpaka kazini, am telling you siamini na sitokuja kuamini kabisa. Maishani kuna mengi ila furaha inatoka ndani yako, life has many to offer. Wanawake ni binadamu wenzetu nothing new my friend.Mwanaume unakataaje kuoa.
Ndo kitu pekee kinacholeta furaha maishani mwetu.
Unadhani ukifanya kazi sana ndo utakuwa na furaha??
Unadhani ukiwa na wanawake ishirini ndo utakuwa na furaha??
Mwanamke ndo kitu pekee kinachotupa furaha maishani, sio mwanamke tuu bali ni yule mwanamke unayeishi naye kihalali kwa ndoa, ukisema "Hela" inakupa furaha nitakuona mwongo sana kwa sababu hata hao matajiri wa dunia wameoa.
Kukataa kuoa ni weakness kwa sababu unakwepa ku-deal na mapungufu yako na mapungufu ya huyo utakae muoa.
Avoiding marriage is going against nature.
Mwanamke masikini hana upendo wa dhati yupo na wewe kwa njaa zake na utatue shida za ukoo wake.Kataa ndoa wanasema kama mwanamke Tajiri oa...
Wao hawataki mwanamke masikini tu...
Mwanamke anayekupenda utaona tuu machoni pake, macho yake yanajaa furaha akikuona, mwanamke anayekupendea hela atakuwa na furaha tuu pale unapotoa wallet na huwa wanajichekesha kiboya hata kama umeongea kitu cha kipumbavu.ntajuaje kama ananipenda au kapenda my money?
mkuu unasema tu. . . . . . . . . . , . Yaan unakuta mtu una duka afu mke wa mtu anakuja kukopa makusudi afu halipi na ni mke wa tajiri kbsa kuliko ata mimi... Afu anajua kbsa na mimi ni mme wa mtu. . . . . . . . . . Af et "Ray hela yako utaijia basi nyumban saa 4 asubuhi nije nikupe na mfuko ukanipimie mchele badae nakuja kuuchukua jioni"Ndoa haina ubaya wowote,
Ndoa ni kama barabara iliyochongwa na kuwekwa vibao na alama kwa ajili ya watumiaji
Ni mtazamo
Upendo ni jambo mtambuka, lingekuwa obvious wala watu wasingehangaika. Maisha sio black and white, don't shame another person kwakutumia opinions zako juu ya swala nyeti ya ndoa. Watu wamepitia mengi, ukiona mtu kafika hatua ya kuikataa ndoa sio kama ni kitu cha kukurupuka kuna mzizi upo. Nauwezi kuuondoa kwa kukata tawi, never, lasivyo watu watfunga ndoa ila zitavunjika in weeks or months.Faida za kuoa- furaha
Hasara za kuoa-............(hamna)
Kama unaamini kuna hasara za kuoa pole mzee.
Hakuna hasara za kuoa but kuna hasara za kuoa mwanamke usiye endana nae.
Oa mwanamke unayempenda na ww anakupenda.
Ukiona mwanamke anayekupenda na ww humpendi basi tuu labda katoka familia tajiri, aisee hutokuwa na furaha kweny maisha yako ya ndoa.
Ukioa mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi, hapo ndo utafahamu stress ni nn.
Oa mwanamke mnayependana, regardless hali ya familia yake ili mradi mnapendana.
Huu ni ushauri tuu unaweza fanya unavojua ww.
Talaka sio ukombozi, talaka ni matatizo tuu tena tatizo kubwa mkiwa tayar mna watoto, kusameheana na kuendelea kuishi pamoja ndo jambo la msingi.kwel kbsa, mm naona TALAKA Ndio mkombozi wa wana ndoa
kuna kujilazimisha kuwa na furaha na kuwa na furaha halisi, kazi kwako kuamua.Chief sipingi ndoa ila hapana, mwanamke sikitu kinachompa furaha mwanaume duniani, hahahaha. Kwamtu aliyezoea kuishi mwenyewe tangu chuo mpaka kazini, am telling you siamini na sitokuja kuamini kabisa. Maishani kuna mengi ila furaha inatoka ndani yako, life has many to offer. Wanawake ni binadamu wenzetu nothing new my friend.
asante sana kwa kuchangia , lakn kazi kumpata akupendae, unajua unaweza kumpenda msichana afu yeye hana ata chembechembe za feelings kwako... Ko unakuwa na kazi ya kumfanya akupende na wakati huo yeye anampenda mwingne, inshort KUMPATA AKUPENDAE HUWA NI BAHATI SANA...Mwanamke anayekupenda utaona tuu machoni pake, macho yake yanajaa furaha akikuona, mwanamke anayekupendea hela atakuwa na furaha tuu pale unapotoa wallet na huwa wanajichekesha kiboya hata kama umeongea kitu cha kipumbavu.
Mwanamke anayekupendea hela kila muda anaongelea mambo ya hela na kila muda anataka utumie hela zako kumfurahisha yeye hajali hisia zako na hawez kukaa mkapiga story ndefu kuhusu kuyajenga maisha yenu nyinyi wawili.
Mwanamke anayekupenda wana tabia ya kukuangalia usoni muda mrefu bila kusema chochote.
Hizi hints chachechache zilizokuja akilini
mwanaume anaweza kuchepuka na bado akadumisha upendo kwa wife... Hasa kipindi mke kajifungua... Lakin mwanamke akichepuka mzeeTalaka sio ukombozi, talaka ni matatizo tuu tena tatizo kubwa mkiwa tayar mna watoto, kusameheana na kuendelea kuishi pamoja ndo jambo la msingi.
kama mnapendana hakuna tatizo lakini tatizo litakuwepo iwapo kuna mwanaume kakuzidi pesa akatia senti kwa mkeTalaka sio ukombozi, talaka ni matatizo tuu tena tatizo kubwa mkiwa tayar mna watoto, kusameheana na kuendelea kuishi pamoja ndo jambo la msingi.
Kwanza kabisa, I didn't shame anybody, sio tabia yangu labda umenielewa vibaya.Upendo ni jambo mtambuka, lingekuwa obvious wala watu wasingehangaika. Maisha sio black and white, don't shame another person kwakutumia opinions zako juu ya swala nyeti ya ndoa. Watu wamepitia mengi, ukiona mtu kafika hatua ya kuikataa ndoa sio kama ni kitu cha kukurupuka kuna mzizi upo. Nauwezi kuuondoa kwa kukata tawi, never, lasivyo watu watfunga ndoa ila zitavunjika in weeks or months.
Itafsiri hiyo furaha ya kujilazimisha na hiyo furaha halisi, hahaha. Unaongelea hisia rafiki, you never know when they come and when they evaporate. Ila jua ubongo wako ndio hutengeneza hisia ila no one knows whats the true meaniing of happiness maana hisia haziwezi kuwa proved scientifically. Tambua, binadamu hatufanani, starting from the genes hivyo maishani usifikiri intelligence both emotional and logical zitafanana. Life is never black and white. Nitaweza kukupa mifano ya twisted minds hutaamini, ila ndio maisha hayo.kuna kujilazimisha kuwa na furaha na kuwa na furaha halisi, kazi kwako kuamua.
Kama unasubiri ushauri wa hapa JF ndio uamue kuoa au kutokuoa basi una safari ndefu sana katika maisha yako.
Ni bahati ndio nakubali, ndo maana inabidi tunatafute sana mungu atuepushe na wanawake wenye nia mbaya na sisi....ila kusema ukweli kweny maisha ya mwanaume mpaka anafikisha miaka 30 kuna mwanamke mmoja au wawili waliopenda kwa dhatu either walimwonyesha na hakutambua au aliwagonga akaachana nao alaf asaiv unajitia unatafuta anaekupenda🤣🤣🤣🤣 ni utani tuu lakini kuna ukweli sisi sote kuna kipindi tulishawahi kupendwa na mwanamke and we took it for granted.asante sana kwa kuchangia , lakn kazi kumpata akupendae, unajua unaweza kumpenda msichana afu yeye hana ata chembechembe za feelings kwako... Ko unakuwa na kazi ya kumfanya akupende na wakati huo yeye anampenda mwingne, inshort KUMPATA AKUPENDAE HUWA NI BAHATI SANA...
Truemwanaume anaweza kuchepuka na bado akadumisha upendo kwa wife... Hasa kipindi mke kajifungua... Lakin mwanamke akichepuka mzee