Mwanaume akili zenyewe inabidi uwe fundi wa kudanganyaNdoa sio mbaya inahitaji wote wawili muwe na akili ila mwanaume ndo awe na akili kumzidi mwanamke kinyume na hapo ni maumivu.
Tatizo wanawake wengi akili hawana,ni wachache wenye nazo.
Mkuu, sema ulikata tamaa mapema mno, ungeongeza jitihada kidogo tu ilkuwa KOMBE LINABAKI UKAWA. Ona sasa ulivyoharibu kuanzia kipnd hlo hadi leo wajomba c wangkuwa lasaba[emoji4][emoji4][emoji4]mimi nilishakula kiapo... Sitongozi tena mwanamke... Mimi nilitongoza kwa nia njema kabisa... Akasema "wewe ni kaka yangu, na tutaendelea kuwa kama kaka na dada" asee niliona aibu sijui ata ilitoka wapi... Lakin yule msichana anajiheshimu kwa kwel... Ila na mimi nimeapa sitanyanyua midomo yangu kutamka neno "fulani nakupenda" badala yake nikipenda nitajitahd kumfanya yeye ndio atamke... Kujipendekeza sio kuzuri kwakwel... amna kabisa aah...
Nimeandika mwanaume amzidi kwa akili maana yake na mwanamke awe nazo.Sasa awe nazo zanini na ushasema mwanaume ndio anapaswa awe na akili?
Sasa wenzio wanataka 50/50 hio ni equalityMi sio member wa KATAA ndoa ila ni member wa KATAA ndoa za kijinga zinazotaka Equality au Democracy.
Marriage is all about equity.
Haipaswi kuwa hivyo. Ni kosa.Sasa wenzio wanataka 50/50 hio ni equality
Sio lazima kudanganya.Mwanaume akili zenyewe inabidi uwe fundi wa kudanganya
Sawa mkuu ila haya maisha ya ndoa hayatabiriki kiasi cha kuyaona n hatari kiasi hicho pia hayo ya kupinga ndoa nayo hayana uhakika wa kuinjoi 100%Nimeandika mwanaume amzidi kwa akili maana yake na mwanamke awe nazo.
Ni kama darasani tu, kuna IQ ya 200, 160, 130 ila isiwe chini ya 115.
Mkuu, Kitini kipo vizuri ile vizuri, kama ingekuwa mada ndo paper la U.E kwenye kibomu ningezama na hii NONDO.[emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa ni mkataba na mkataba huwa una malengo mahsusi
Mfano mkataba wa ajira, mwajiri huwa anataka ujuzi/nguvu yako na mwajiriwa huwa anataka pesa
The same kwenye ndoa, mwanaume huwa ana malengo yake (matarajio) na mwanamke huwa ana matarajio yake
Changamoto kubwa ni kwamba kabla hatujaoa au kuolewa huwa tuna matarajio/feeling kubwa na ndoa lakini uhalisia huja kuwa tofauti baada ya kuoa au kuolewa
Mfano, wanaume wengi huoa kwa ajili ya kupata mgegedo, lakini si kweli kuoa ni guarantee ya kupata mgegedo, unaweza ukawa unanyimwa au unapangiwa ratiba nk
Unaweza ukaoa mwanamke ambaye yeye hapendi kugegendwa wewe unapenda Mara kwa Mara
The same Kuna Mambo mengineyo mengi ambayo hutokea kwenye ndoa ambayo husababisha mwanamke au mwanaume kutotamani ndoa
BINAFSI UKINIULIZA KWA NINI WATU WANAKATAA NDOA
Jibu langu ni kwamba, watu wengi wameingia kwenye ndoa wakajikuta wanakosa walichokitegemea (mapenzi, tabia, usaliti, uchumi nk)
Mwisho wa siku watu wengi huwa wanapata mateso kwenye ndoa na kuiona haina thamani, kuvunja ndoa na kutotamani kuoa tena
KATAA NDOA WENGI wamepitia maumivu ya ndoa au uchumba au mahusiano [emoji23][emoji23]
Kumbuka pia Kuna watu wengi wanalazimika kubaki kwenye ndoa kwa kuwa hamna namna, kwa ajili ya kulea watoto, heshima nk
Watu wengi ambao wanakimbilia ndoa ni wale wenye mategemeo makubwa wakioa[emoji23][emoji23] bado hawajapata maumivu au wapo katika ndoa huku wanaenjoy ndoa zao
HITIMISHO
_ Tafuta pesa kwanza, ndoa bila pesa utaishia kuja kulalamika lalamika tu humu JF na kuwa mfuasi mkubwa wa KATAA NDOA
_ Hakikisha mnapendana Sana ndio muoane
_ Kabla ya kuoa fanya tathmini juu ya malengo yako na huyo partner wako, je mtafanikisha malengo yenu?? Mahitaji ya ndoa, uchumi nk
_ Usiweke mategemeo (matarajio) makubwa sana kwa mke /mume wako [emoji23][emoji23][emoji23]
_ Kuwa tayari kukabiliana na changamoto za ndoa, kila mtu huwa anaface changamoto zake (hapa ndio pagumu)
NAOMBA KUWASILISHA
Shout out to the new 'Kataa Ndoa' membersila ni member wa KATAA ndoa za kijinga zinazotaka Equality au Democracy
Kweli ndoa hazitabiriki ila unaweza aamua ndoa yako iwe ya furaha au iwe ya kuzimu.Sawa mkuu ila haya maisha ya ndoa hayatabiriki kiasi cha kuyaona n hatari kiasi hicho pia hayo ya kupinga ndoa nayo hayana uhakika wa kuinjoi 100%
Mbona unanilazimisha, mi simo humo.Shout out to the new 'Kataa Ndoa' members
Wewe umo humo humo 'Kataa Ndoa' member hujarudisha kadiMbona unanilazimisha, mi simo humo.
Viuno feni pia hupati Kwa tajiri.Mara nyingi mwanamke tajiri, huangalia sana utamu-offer nini kabla hajajiingiza kwenye mahusiano na wewe, Pili hakuna kitu kibaya katika uzoefu wangu wa mapenzi kama MWANAMKE akuzidi KIPATO.
Fundi wa kudanganya usipokua fundi anakupanda kichwani na unaambiwa akili za Mwanamke ni Mara 2 ya Mwanaume yaan unapoambiwa 'ishi nae kwa akili' usichukulie kawaida labda akupende kiasi Cha kukuzaaSio lazima kudanganya.
Hapa unamset mwanamke ajione kama vile ana uhuru fulani ila unamtawala indirectly.
Unaweka sheria , akizivunja ni kwaheri , unaonyesha no nonsense approach since day one.
ivo ivo tu wa kunihurumia ntamhurumia pia... Acjali atakua pekee yake 52R1/2B4...Umesema hutongozi tena? Sa itakuwaje ??
Hii mbinu ya kujaribu sio kabisa unaweza pishana na mtu sahihi wa maisha yakoKweli ndoa hazitabiriki ila unaweza aamua ndoa yako iwe ya furaha au iwe ya kuzimu.
Sikuzote oa mwanamke anayekupenda basi, utaenjoy. Ila ukioa mwanamke asiyekupenda , kakupenda kisa hela zako au status, siku status na hela zitakapoondoka, na yeye anasepa. Njia rahisi kujua hili, ni kumjaribu mpenzi wako kuacha kuwa provider alafu mwambie una matatizo uone, akikughost unampiga chini.
🤣🤣🤣🤣🙄ivo ivo tu wa kunihurumia ntamhurumia pia... Acjali atakua pekee yake 52R1/2B4...
Ahahah mkuu that was just a joke, kwa kwel sijui trigger but nimeona makala moja inasema love is a choice not a feeling, so mtu ukiamua kujicommit kwa mtu unaeona anakufaa the Go ahead.Kwahyo ukiwa na maokoto pekee ndiyo trigger ya ndoa mkuu?
Akili za mwanamke sio mara mbili ya mwanaume sema ana ubongo mkubwa mara mbili ya mwanaume.Fundi wa kudanganya usipokua fundi anakupanda kichwani na unaambiwa akili za Mwanamke ni Mara 2 ya Mwanaume yaan unapoambiwa 'ishi nae kwa akili' usichukulie kawaida labda akupende kiasi Cha kukuzaa