Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

Kweli ndoa hazitabiriki ila unaweza aamua ndoa yako iwe ya furaha au iwe ya kuzimu.

Sikuzote oa mwanamke anayekupenda basi, utaenjoy. Ila ukioa mwanamke asiyekupenda , kakupenda kisa hela zako au status, siku status na hela zitakapoondoka, na yeye anasepa. Njia rahisi kujua hili, ni kumjaribu mpenzi wako kuacha kuwa provider alafu mwambie una matatizo uone, akikughost unampiga chini.
Mkuu ipo hivi;

Demu mvumilivu [emoji1542] havutii

Anaevutia [emoji1542] anapendwa na wengi
[emoji23][emoji23]
 
Yaahh... Il kuokoa muda ni kuvaa tu bomu la NDOA [emoji23][emoji23]
 
Kama hujazaliwa na kulelewa kwenye ndoa huwezi kuikubali ndoa, kama umezaliwa na kulelewa kwenye ndoa iliyokua na maelewano mazuri lazima uikubali ndoa,

Wakataa ndoa wote ni matokeo ya malezi mabovu tangu utotoni mwao.
Malezi mabovu yana pelekeaje KATAA NDOA??
 
Mambo n meng Sana dunia ya sasa

Kwa mazingira yetu tunavyoishi kuhalisia ndoa ndio mwisho wa wapenz...

Asaiv tunaishi tu wenyewe kwa kukataa ndoa coz ndio Kaburi la mapenz Wengi wao kwa sasa wanaishi wenyewe ili mapenz yadumu

Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
 
Unafikiri n kwann mkuu??
Vijana Wengi asaiv hawana mafunzo ya ndoa hasa Sisi wanaume

Ni mara ngapi ulisikia kijana yupo kwa mjomba au Baba anafundishwa jinc ya kuishi n mwenzake? Akuna n wasichana tu na ndio maana ukiingia kwa ndoa wiki ya mwanzo tu bac ukiendelea unahic n kero kubwa sana

Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
 
Moja kati ya Vitu ambavyo navichukia mpak Kufa ni suala la NDOA, nina sababu zangu binafsi zinazofany nichukie Ndoa.

Ndoa ni chanzo cha uharibifu wa Maisha yangu yote ya Utotoni,

nimeshuhudia unyanyasaji na Ukatili ambao had sasa matokeo yake ninayaishi kiufupi Sipendi niishi na Mtot wa mtu maan Saikolojia yangu imeshaharibiwa Tangu utoto kutokan na Matukio niliyopitia.

Nahisi kam nkijiforce nioe bas Hakun atakayewez kuvumilia kilicho ndani mwangu so nimeamua tu Niwe single mpak mwisho, hat mpenz wangu kun muda alishika mimba nilimwambia atoe na ndo ukaw mwisho wetu.

Sihitaji Ndoa ila pia siwez kushauri mtu Aidha aoe au asioe maan ni uamuz wa mtu ila kwa nilichokipitia mim na kukiishi Hakun wa kubadilisha Msimamo wangu.
 
Habarini wakuu,

Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.

Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.

Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
Kwasababu wanawake wote ni sawa.
Wanawake wote wapo sawa
Kivyovyote
Yaani kivyote

Lkn

Wanaume tunatofautiana
Wanaume hatuposawa
Hatutakuja kuwa sawa na hatuwez kuwa sawa.

Tuanzie hapa kwanz kabla sijakupa
Sabab za mimi kukataa ndoa.
 
Back
Top Bottom