RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Ndo kosa unalolifanya.Mkuu ipo hivi;
Demu mvumilivu [emoji1542] havutii
Anaevutia [emoji1542] anapendwa na wengi
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo kosa unalolifanya.Mkuu ipo hivi;
Demu mvumilivu [emoji1542] havutii
Anaevutia [emoji1542] anapendwa na wengi
[emoji23][emoji23]
Hujui unachokiongea wala hujui uweza wa Mungu, akili yako inawaza ngono muda wote.Hata Mungu aliwaumba Adam na akampa mwenza.
Na wewe uliye na Mungu nge_nye haupati kabisa u kama gogo au?
Ishara Moja wapo kuwa huyu mwanamke ananipenda ni kufuata mashart yako tu, ukimwambia hivi anafuata, ukimkataza hiki anafuataMwanamke anayekupenda utaona tuu machoni pake, macho yake yanajaa furaha akikuona, mwanamke anayekupendea hela atakuwa na furaha tuu pale unapotoa wallet na huwa wanajichekesha kiboya hata kama umeongea kitu cha kipumbavu.
Mwanamke anayekupendea hela kila muda anaongelea mambo ya hela na kila muda anataka utumie hela zako kumfurahisha yeye hajali hisia zako na hawez kukaa mkapiga story ndefu kuhusu kuyajenga maisha yenu nyinyi wawili.
Mwanamke anayekupenda wana tabia ya kukuangalia usoni muda mrefu bila kusema chochote.
Hizi hints chachechache zilizokuja akilini
Sema wanawake wametapeliwa sana hasa na baadhi ya MAKANISAMarriage is scam
Hapo no.2 baadhi ya makanisa yamevuruga sana sana ...........WANAWAKE NANI AMEWALOGA?????Ishara Moja wapo kuwa huyu mwanamke ananipenda ni kufuata mashart yako tu, ukimwambia hivi anafuata, ukimkataza hiki anafuata
Wanawake katika hali ambayo MUNGU aliwaumbia ni ku-obey mwanaume mmoja tu chini ya jua, wanawake hawana power ya ku-obey zaidi ya mtu mmoja dunian
Ukiona mke wako kaanza kukudharau ndani, there somewhere ana pokea command na she obey, hakuna mwanamke anaweza kuishi bila ku-obey command ya mwanaume.
1. Command ya Boss (jua walishaanza kutongozana)
2. Command ya mchungaji kanisan (weka alama)?
3. Command of somewhere else??( Boyfriend)?
aisee sio siri kusema kwel simu yako mbovu... Nunua nyngne dear...
heee! Mbona unasema ivo ushawahi kutapeliwa dear?NAUNGANA NA KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI UMASKINI
NDOA NI UFISADI
NDOA NI BIASHARA
kulingana na mwanamke mwenyew... Kwanza hapo kwa maelezo yako inaonesha tayari umeshampata upo nae kwenye mahusiano... me naongelea kutongoza my friend...Mwanaume hatamki nakupenda Bali hutamka pale mwanamke anapoanza kusema I love you bae ,Kisha unasema I love you too bae.
Sema kutongoza na mapenzi ni vitu vinavyo enda pamoja na kukinzana pia.
Usichangange nature na natural selection/survival of the fittest/struggle for existence.Lengo kuu la nature ni kwamba the strongest anaacha copy na the weakest haachi copy.
Nakupenda ni kilele Cha mapenzi na usiitumie kutongozea.kulingana na mwanamke mwenyew... Kwanza hapo kwa maelezo yako inaonesha tayari umeshampata upo nae kwenye mahusiano... me naongelea kutongoza my friend...
ehee, kwa mfano hapo najibuje ?Nakupenda ni kilele Cha mapenzi na usiitumie kutongozea.
Jaribu silaha nyengine iwe ni kuwa smart,kujali,ukarimu,eye contact, body language,uongo mwingi n.k
Mpaka akuulize ,hivi Unanipenda au unataka kunichezea?
Utajibu Nini?
Ukisema nakupenda,umefeli test?
Wanawake wanatest wanaume daily kuona msimamo wako.
Maneno machachu inaonyesha ndiyo unayowaza wewe.. acha hasira..Hujui unachokiongea wala hujui uweza wa Mungu, akili yako inawaza ngono muda wote.
Nimekupa homework!ehee, kwa mfano hapo najibuje ?
Haikuwa na maana hiyo bali walizungumzia karama saba ambazo unahitaji kuwa nazo kufikia ukamilifuSie wengine tunasubiria unabii ambapo wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja na kumuomba awafichie aibu yao.
nambie tu mkuu nisije nikaenda kuharibu mamboNimekupa homework!
Katafute jibu