Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kwanini msiende ili dunia ione hii regime ya Samia kama itawahujumu?Kwa Tume hii ya uchaguzi unasema unakimbia uchaguzi!.2020 ulikuwa uchaguzi au uchafuzi.
ACT ni mshirika tangu kitambo hicho si chama cha upinzani ni chama mshirika wa CCM.So huo uchaguzi ni uchaguzi baina ya CCM na CCM.
Shetani ni muhimu kutajwa madhabahuniYaani maCCM bila kuitaja CHADEMA hayaridhiki na hayana mvuto.
CHADEMA hawashiriki huo uchaguzi, lakini CCM wako busy kuishutumu CHADEMA. Hii inatupa picha kubwa kuwa, CHADEMA ni tishio kubwa la kisiasa hapa Tz, hata kivuli chake kinatosha kuisambaratisha mapema sana CCM.
Hoja yako ni tusi, kama haukubaliani na mimi hauna sababu ya kunitukana, haulazimiki kujibu kila hoja na laiti tungekutana uso kwa uso usingenitukana.unajuwa uchumi wewe? hebu eleza unadorolaje na ukikuwa unakuwaje ukishindwa wewe ni jinga tu
CCM ni mlezi wa vyama vyote ndio sababu inatamani kila mtoto ashirikishwe,Nilifikiri ccm ielekeze mashambulizi kwa act wanagombea.chadema haipo kwenye mpambano yanini?Mbona mzimu wa chadema unawatesha
Hoja yako ni tusi, kama haukubaliani na mimi hauna sababu ya kunitukana, haulazimiki kujibu kila hoja na laiti tungekutana uso kwa uso usingenitukana.
Wewe hata kuandika tu hujui masikini ya mola!Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877
Hana cha ushawishi wowote sema amewakuta mazuzu kama weweHuyu dogo Katambi anaushawishi sana tangu akiwa Chadema,
Ndio kiongozi wa kwanza kuachana na Chadema akiwa madarakani na ndio alifungulia watu wote kuhamia CCM kama CCM kunamtu wanapashwa kumshukuru kizazi hata kizazi ni huyu dogo
Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877
Wewe Jamaa hivi uko sawa?Tandika hayo machadema hadi yatafutane.
Yaani maCCM bila kuitaja CHADEMA hayaridhiki na hayana mvuto.
CHADEMA hawashiriki huo uchaguzi, lakini CCM wako busy kuishutumu CHADEMA. Hii inatupa picha kubwa kuwa, CHADEMA ni tishio kubwa la kisiasa hapa Tz, hata kivuli chake kinatosha kuisambaratisha mapema sana CCM.
Sio tuu kususia kwanza ni chama chenye njaa kinachoongozwa na genge la wasaka madaraka wakifadhiliwa na magenge ya Wahuni huko Ulaya.Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877
Chadema ilishakufa kitambo limebaki kundi la magaidi tuWewe Jamaa hivi uko sawa?
Kwani CHADEMA wamesumamisha mgombea huko?
Si mnapambana na ACT?
Chakademus ilishakufwaKwanini msiende ili dunia ione hii regime ya Samia kama itawahujumu?
Chadema inajimaliza yenyewe msilaumu CCM,CCM tunaelewa umuhimu wa upinzani na tunataka uwepo kwa umadhubuti wa CCM yetu
Siku Chadema inapewa madaraka lazima wauze mlima Kilimanjaro wallahiSio tuu kususia kwanza ni chama chenye njaa kinachoongozwa na genge la wasaka madaraka wakifadhiliwa na magenge ya Wahuni huko Ulaya.
Kuwapa madaraka watu kama Hawa ni hatari kwa ustawi wa Taifa na watu wake.
Sasa mbona mnahangaika nayo?, Waacheni wafanye yao si Chama kimekufa?Chadema ilishakufa kitambo limebaki kundi la magaidi tu
Shure 100%Chakademus ilishakufwa
Zimebaki story
Nini ugaidi?Sasa mbona mnahangaika nayo?, Waacheni wafanye yao si Chama kimekufa?