Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Niko sawa kabisaa. Hao Chadema watasimamishaje mgombea wakati wanaogopa kukanyaga moto?Wewe Jamaa hivi uko sawa?
Kwani CHADEMA wamesumamisha mgombea huko?
Si mnapambana na ACT?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko sawa kabisaa. Hao Chadema watasimamishaje mgombea wakati wanaogopa kukanyaga moto?Wewe Jamaa hivi uko sawa?
Kwani CHADEMA wamesumamisha mgombea huko?
Si mnapambana na ACT?
Ila machadema yanahoja nyepesi sana aiseeHili la Chadema kususia chaguzi ndogo na kushiriki uchaguzi mkuu naugana na wanaohama Chadema,
Kama mlisema mnaibiwa kura na Hayati Rais Magufuli vipi leo kwa Rais Samia nayeye amewaibia?
Chadema inajiua yenyewe tena polepole (gradually)
Shunguli za vyma vya siasa Kama CCM inavyofanya!Nini ugaidi?
Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877
Machadema hayashiriki huu uchaguzi kwani Mbaya wao Magu bado yupo?Yaani maCCM bila kuitaja CHADEMA hayaridhiki na hayana mvuto.
CHADEMA hawashiriki huo uchaguzi, lakini CCM wako busy kuishutumu CHADEMA. Hii inatupa picha kubwa kuwa, CHADEMA ni tishio kubwa la kisiasa hapa Tz, hata kivuli chake kinatosha kuisambaratisha mapema sana CCM.
hahaha hatari, achana na hao nazichademaVijana wote wenye akili walishahama Chadema tumebaki wazee tu na vijana wasiojiweza,Katambi mimi namfahamu ni mtu hatari sana kwa hoja, Sisi Chadema kila uchaguzi mbiooooooduu
Idiot !!Chadema haipo kwenye uchaguzi huo .Tandika hayo machadema hadi yatafutane.
Vipi kwanini hushiriki huu uchaguzi?Wewe hata kuandika tu hujui masikini ya mola!
Kwanini hawajasimamisha mgombea?Wewe Jamaa hivi uko sawa?
Kwani CHADEMA wamesumamisha mgombea huko?
Si mnapambana na ACT?
Kazi yenu kususa tu.....Idiot !!Chadema haipo kwenye uchaguzi huo .
Kwani hoja ya kutokusimamamisha uliielewa Mkuu?Niko sawa kabisaa. Hao Chadema watasimamishaje mgombea wakati wanaogopa?
Na ikulu watahamishia NairobiSiku Chadema inapewa madaraka lazima wauze mlima Kilimanjaro wallahi
🤣Njoo CCM achana na chama cha familia wewe VUGU-VUGU
Lakni kwemye chaguzi bila mbeleko ya kuiba kura na utumiaji wa vyombo vya dola bado hamjiamini.Hata wewe karibu CCM chama cha wananchi wote sio kila mwaka mkt wenu habadiliki
Karibu na wewe CCM mkuu wangu ,Chama kinachoamini kwenye uwezo sio ukadaHana cha ushawishi wowote sema amewakuta mazuzu kama wewe
Mkuu chadema hawapo kwenye huo uchaguzi, au umevurugwa nao au una wenge lao niniTandika hayo machadema hadi yatafutane.
Ni kweli hujui sababu??Kwanini hawajasimamisha mgombea?
Muelewa sana huyo...Katambi ni kijana mtiifu na mwenyeheshima sana kaliba yake itamfikisha mbali kwenye Siasa