Katambi avunja ngome ya Upinzani Ushetu amwombea kura mgombea wa CCM Comred Emmanuel Peter Cherehani

😍
 
Machadema hayashiriki huu uchaguzi kwani Mbaya wao Magu bado yupo?
 
Vijana wote wenye akili walishahama Chadema tumebaki wazee tu na vijana wasiojiweza,Katambi mimi namfahamu ni mtu hatari sana kwa hoja, Sisi Chadema kila uchaguzi mbiooooooduu
hahaha hatari, achana na hao nazichadema
 
Komredi P.P.Katambi ndio kiboko ya CHADEMA....

BAK ,Mmawia na ERYTHROCYTE wakimuona huyo jamaa wanatimua mbio balaa.....wanaishiwa hoja zao zote za ubishi.....🤣🤣
 
Niko sawa kabisaa. Hao Chadema watasimamishaje mgombea wakati wanaogopa?
Kwani hoja ya kutokusimamamisha uliielewa Mkuu?
Nani anasimamia uchaguzi?,

Refa au wa kwenu, mnataka wake mashindanoni na MUAMUZI Ni wa kwenu.
Ndio maana Wanadai Time huru. Ili kuendelea kuwa relevant na madai hayo, wameamua kutogombea ambapo bado sio Lisa.
Kwenye kpeni Sasa mbona mnawataja Sana kuliko mnaogombea nao jimboni, ACT?
 
Jamani jamani, mbona chadema haipo kwenye huo uchaguzi lakini CCM mnazungumzia chadema badala ya mnayepambana naye ACT!! Maajabu haya, uchaguzi ni ccm na Act lakini mjadala ni Chadema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini hawajasimamisha mgombea?
Ni kweli hujui sababu??

Wanataka Tume Huru Kwanza, mgogoro wa refa utatuliwe ndio mechi ianze. Kwa Sasa wanasema refa wa Yanga, so Sina haiingizi timu uwajani. Simple!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…