Hata Samia na Shaka wake na CCM nzima wanalijua hilo. Ukigusa tu kuwaondoa MADED kwenye uchaguzi hawataki, ukisema Tume huru hawataki, lakini wanatamba mitaani eti hakuna wa kuishinda CCM kwenye uchaguzi.Why daily mnaizungumzia CDM. Fanyeni siasa bila polisi ama hao MADED ndio mtajua nini maana ya siasa yaani mnapigwa peupe na alfajili. CCM bila Polisi na Tume fake hakuna ushindi.
Chadema hawapo kwenye huu uchaguzi lakini kampeni yenu yote inaongelea chadema. Ccm imeishiwa kabisa mbinu na maarifaKatambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877
Mimi huwa nawashangaa wanaCCM, kila kukicha wao ni Chadema, Chadema. Kule sijui Ushetu Chadema haina mgombea lakini majukwaa ya CCM yanaizungumzia Chadema. Sijui wana matatizo gani CCM? Wakiachiwa wagombee wenyewe shida, Chadema ikiweka mgombea wananoa mapanga kuchinja watu na kukimbia na masanduku ya kura.Wana ccm / watawala wanajua kuwa cdm ndiyo muhimili wa siasa hapa Tanzania.
Mkuu chadema hawashiriki huu uchaguzi. Bora muwatandike UDP na SAU😂😂😂Tandika hayo machadema hadi yatafutane.
Huo ndiyo udhalimu wa ccm kwa wana cdm.Mimi huwa nawashangaa wanaCCM, kila kukicha wao ni Chadema, Chadema. Kule sijui Ushetu Chadema haina mgombea lakini majukwaa ya CCM yanaizungumzia Chadema. Sijui wana matatizo gani CCM? Wakiachiwa wagombee wenyewe shida, Chadema ikiweka mgombea wananoa mapanga kuchinja watu na kukimbia na masanduku ya kura.
Kila mwana ccm akili yake inaiwaza cdm tu na huu tayari ni ugonjwa sugu ndani ya akili za wana ccm.Mkuu chadema hawashiriki huu uchaguzi. Bora muwatandike UDP na SAU[emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana Katambi, Pull it upKatambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877
Kuwepo na Tume huru, ambayo itaongozwa na vyama vyote CCM wajuta na ndio utakuwa mwisho wao. Ww fikiria 2020 ule ulikuwa uchaguzi ama kituko! Lakini pamoja na yoote hayo mtu alipelekwa mbio na Lissu mpaka majibu yakapatikana Machi 17.Hata Samia na Shaka wake na CCM nzima wanalijua hilo. Ukigusa tu kuwaondoa MADED kwenye uchaguzi hawataki, ukisema Tume huru hawataki, lakini wanatamba mitaani eti hakuna wa kuishinda CCM kwenye uchaguzi.
Tangu lini?Huo ndiyo udhalimu wa ccm kwa wana cdm.
Yaani ccm wameifanya siasa kama kichaka cha chuki dhidi ya chadema.
Kabla hujazaliwaTangu lini?
Chadema brothers hata kama Mbowe awe mkt wa tume hamshindi,Kuwepo na Tume huru, ambayo itaongozwa na vyama vyote CCM wajuta na ndio utakuwa mwisho wao. Ww fikiria 2020 ule ulikuwa uchaguzi ama kituko! Lakini pamoja na yoote hayo mtu alipelekwa mbio na Lissu mpaka majibu yakapatikana Machi 17.
DaaahKabla hujazaliwa
Wewe Jamaa hivi uko sawa?
Kwani CHADEMA wamesumamisha mgombea huko?
Si mnapambana na ACT?
CCM ina wanachama?! Kwanini wanaiba kura? Kwanini wanapika data za uongo kushirikiana na Tume.Chadema brothers hata kama Mbowe awe mkt wa tume hamshindi,
Siasa ni namba chadema hakuna wanachama kunawafuasi tu
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Ilijioverdoze akachoka cov ikasukuma tu kama mleviKuwepo na Tume huru, ambayo itaongozwa na vyama vyote CCM wajuta na ndio utakuwa mwisho wao. Ww fikiria 2020 ule ulikuwa uchaguzi ama kituko! Lakini pamoja na yoote hayo mtu alipelekwa mbio na Lissu mpaka majibu yakapatikana Machi 17.
Ushawishi unaweza kuwa nje au ndani ya chama mkuu, Sijambo baya kama mtu anakuwa na ushawishiUnafiki na uwongo uliokithiri sijui unawapa nini CCM.
Eti Katambi ana ushawishi.
Kwenye kura za maoni alipata kura 3, huku Masele akipata zaidi ya kura 300. Lazima uwe mwendawazimu hasa kuamini mtu anayepata kura 3 eti ana ushawishi.
Sishangai kauli hizi za unafiki maana TWAWEZA walikwishasema kuwa wajinga wamejaa CCM.
Kwani huko ushetu mnashindana na Nani?Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia ushindi mnono kama shukrani yetu kwake -wapigakura "
Katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 Hayati Elias John Kuandikwa alishinda kwa Ushindi mwembamba baada ya kupata 56% ya kura zote zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu Bw Isaya Simon Bukakiye akiambulia 44% ya kura zote,Jimbo na Ushetu liliitesa sana CCM kwa kipindi kirefu hatimaye leo Katambi na viongozi wengine akiwemo Shaka Hamdu Shaka Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi,Crde Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM-Taifa,Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati kuu Mizengo Kayanza Peter Pinda,Mbunge wa Viti Maalum Mariam Ditopile (Dogo Janja ),Iddy Khassim Mbunge wa Msalaa na Hussein Bashe Mbunge wa Nzega Mjini na Viongozi wengine wa Jimbo, Wilaya na Mkoa wameuzika rasmi Upinzani Ushetu hakika ni habari mbaya sana hii kona za Ufipa,
Patrobas Katambi mwanasiasa kijana machachari na mchamungu anayezifahamu vema siasa za kanda ya ziwa ( Usukumani) lakini pia ni kiongozi anayeufahamu Upinzani nje ndani amekuwa mwiba mkali hasa kwa Chadema-Tanzania na kuifanya CCM kuwa na mtu hatari zaidi kwa Upinzani kanda ya Ziwa na hapa Chadema lazima mkubali ukweli mchungu mmepoteza kijana kiungo namtakumbuka niyeye kuhamia kwake CCM kuliwarudisha wengine wengi CCM hili sote tunalifahamu,
Akitumia lugha ya kisukuma katika kumwombea kura ya ndiyo Mgombe wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani kwa wakazi wa jimbo la Ushetu Patrobas Katambi amedhihirisha unguli wake wa siasa kwa kuzoa mamia ya wanachama wa Upinzani jimboni humo waliolalamikia Chama chao kususia kila Uchaguzi huku wakishindwa kususia Uchaguzi Mkuu,
Katika Uchaguzi huu mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Hayati Elias John Kuandikwa utakaofanyika trh 09|10|2021 Upinzani mkali ni Kati ya Mgombea wa ACT-Wazakendo Ndg Julius Nkwabi Mabula na Mgombea wa CCM Ndg Emmanuel Peter Cherehani Mkt Mstaafu wa Chama kikuu cha Ushirika KACU chama kilichovunja rekodi ya kununua Pamba kwa bei ya juu tangu tupate Uhuru wa nchi hii ambayo ni Tshs 1,900 rekodi ambayo inambeba Cherehani kuweza kushinda katika jimbo lolote la Uchaguzi kanda ya ziwa,
#Kazi iendelee
View attachment 1968875
View attachment 1968876
View attachment 1968877