Ulikuwa ukitoka Dar saa ngapi ili ufike Mbeya saa nane mkuu?Hongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
tulifika hatua nzuri leo tulitakiwa kuwa na brand yetu ya scania made in TanzaniaHongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
Kwan watampeleka mahakama za kiraia mpaka aende na wakili wake wa school of law huyu ni straight martial courts akakutane na martial arts 😁Una wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Za kwako ngapi kati ya hizo Mr Mganga?Kufuru nyingine leo katoa Iriza new model ine ukitaka tamko nne au 4 ambazo kwa bei ya sokoni billion tatu na milion mia sita sawa na YUTONG 20
Leo Morogoro road ilikuwa ni kelele za mahoni wakati chuma zikiliacha jiji la Dar kuelekea Mbeya kwa msafara wa kuvutia zikiwa full headlight, full double hazard
Last week inasemekana pia alipeleka chuma kama hizo pia.. Nia yake kubwa ni kumkanyagisha miwaya mvimba macho anayeekea kukata pumzi kwenye njia zote za masafa marefu
Dar Bukoba
Dar DTunduma
Dar Mbeya
Dar Mwanza
Dar Kahama
Nilichokiona leo ni kile kitaa tunaita funika bovu! chuma zingine zote modeli ya mvimba macho zilikuwa zinapiga salute kubwq mbele ya mbabe IRIZA
Kwa kifupi alichofanya KATARAMA ni kutafuta heshima na kuonesha ubabe💪🏿💪🏿💪🏿
Ajali zilikuwa nyingi piaHongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
huu uzi ulihitaji video
Kule shimoni? Au Katavi?Kwan watampeleka mahakama za kiraia mpaka aende na wakili wake wa school of law huyu ni straight martial courts akakutane na martial arts 😁
Bado ipo naona redbomba ndio road haipoMabasi yao yako comfortable sana,hivi ile kampuni ya mazhandu bus zipo
Ova
Naunga mkono hoja 🤣 😁Kikubwa asitutoe kafara tu, vitu viwe vya haki
Bilioni 3 na milioni 600 sawa na Yutong 20 ina maana Yutong Moja ni milioni 180?!Kufuru nyingine leo katoa Iriza new model ine ukitaka tamko nne au 4 ambazo kwa bei ya sokoni billion tatu na milion mia sita sawa na YUTONG 20
Leo Morogoro road ilikuwa ni kelele za mahoni wakati chuma zikiliacha jiji la Dar kuelekea Mbeya kwa msafara wa kuvutia zikiwa full headlight, full double hazard
Last week inasemekana pia alipeleka chuma kama hizo pia.. Nia yake kubwa ni kumkanyagisha miwaya mvimba macho anayeekea kukata pumzi kwenye njia zote za masafa marefu
Dar Bukoba
Dar DTunduma
Dar Mbeya
Dar Mwanza
Dar Kahama
Nilichokiona leo ni kile kitaa tunaita funika bovu! chuma zingine zote modeli ya mvimba macho zilikuwa zinapiga salute kubwq mbele ya mbabe IRIZA
Kwa kifupi alichofanya KATARAMA ni kutafuta heshima na kuonesha ubabe💪🏿💪🏿💪🏿
We jamaa kinachofanya urudie rudie comment za watu ni nn? Unajua unakera sana chief?Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upya
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA Katarana
Ziko hivyo ila zimenyanyuliwa kidogo. Special order
huu uzi ulihitaji video
Zipo mpaka za 150Bilioni 3 na milioni 600 sawa na Yutong 20 ina maana Yutong Moja ni milioni 180?!
huu uzi ulihitaji video
Sio mimi ni mtandaoWe jamaa kinachofanya urudie rudie comment za watu ni nn? Unajua unakera sana chief?
Mwanza mlitoka saa ngapi?
Labda vile vifupi vya zamani. nyingi hizo Yutong na Zhongton zinaenda 350-400M.