kazi ya jeshi sio kupambana na vidokozi wa kuku hao, HESHIMUNI JESHIIYaani kupambana na hao DAMU CHAFU tu ndio mpaka aletwe Mkuu wa Mkoa mwanajeshi?
Katavi kuna kambi za Jeshi, ina maana wakuu wa hizo kambi wameshindwa na DAMU CHAFU?
RC mwanaMama, RPC mwanamke ukiweka na uhalisi kwamba huo Mkoa umejaa Wahutu toka Burundi na zile roho mbaya zao za Kikatili utagundua kwamba Set Up ya Uongozi iko ovyo.Baada ya Salam. Ndugu zetu Watanzania wenzetu kwanza tunaomba Dua zenu. Huku Katavi Kuna mauaji sana mpaka inatisha. Karibia Kila wiki kunamtu anauwawa kwa kuchomwa na visu.
Kunakikundi kinaitwa "DAMU CHAFU" hiki ni kikundi Cha mauaji hatari sana.
Leo kupitia Azam TV nimeona taarifa ya kuuliwa Askari wa zimamoto na uokoaji.
Sasa mauaji yamefika mpaka kwa Askari.
Huku Katavi ukichelewa kurudi nyumbani basi kesho utaokotwa maiti.
Kwa hali ilivyo ni kama wauaji hawazuiliki.
Tunaomba Mh. Rais utuletee Mkuu wa mkoa ambaye ni mwanajeshi angalau labda ataweza kutuokoa.
Mh. Rais tunaomba fuatilia utuokoe
Watu watasingiziwa na haswa wanaochukiana,swali langu ni POLISI WANAFANYA NINI AU WAO KAZI YAO NI KUVUNJA MIGUU YA WAPINZANI?Pigeni kura mtawajua wahusika
Naona unawachokoza nyumbu. Wanamkumbuka kila iitwapo leo!Aende Kamanda Muliro kwa dharura kidogo muone mziki!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Damu chafu ina maana wana HIV? AuHuko si ndio kuna malaya wa buku buku wanajiita pia damu chafu au hawa ni wengine tena.
Kamati yenu ya ulinzi na usalama hapo mkoani na wilayani hawafahamu hili ?Baada ya Salam. Ndugu zetu Watanzania wenzetu kwanza tunaomba Dua zenu. Huku Katavi Kuna mauaji sana mpaka inatisha. Karibia Kila wiki kunamtu anauwawa kwa kuchomwa na visu.
Kunakikundi kinaitwa "DAMU CHAFU" hiki ni kikundi Cha mauaji hatari sana.
Leo kupitia Azam TV nimeona taarifa ya kuuliwa Askari wa zimamoto na uokoaji.
Sasa mauaji yamefika mpaka kwa Askari.
Huku Katavi ukichelewa kurudi nyumbani basi kesho utaokotwa maiti.
Kwa hali ilivyo ni kama wauaji hawazuiliki.
Tunaomba Mh. Rais utuletee Mkuu wa mkoa ambaye ni mwanajeshi angalau labda ataweza kutuokoa.
Mh. Rais tunaomba fuatilia utuokoe
Namanyere na nanasi wapi na wapiOndoka huko njoo hapa namanyere tulime nanasi
Kaka nomevurugwa. Hatuna amani kama mikoa mingine. Mauaji ya kikatili yamekua mengi sana. Tunafikiria kuakisua familia kama wakimbiziJustine Marack, Moderator, heading inautata kidogo 🤔🤔
Ni Vijana wadogo Sana, last time walifanya mauwaji jirani na stand ya mabasi Mpanda na bahati mbaya hakuna media ina-reportPigeni kura mtawajua wahusika