Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya Tanzània kwamba imepotesha,
Ni swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Soma pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
VOX POPULI, VOX DEI