Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
- Thread starter
- #21
Ameyataka ngoja ayanyweWanamdhalilisha sana Mzee huyu kwanini wasingemuacha akapumzika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameyataka ngoja ayanyweWanamdhalilisha sana Mzee huyu kwanini wasingemuacha akapumzika?
Unasemaje mbubujikwa na machozi ya furaha. Lucas Mwashambwa Sisi wafuasi wa lissu tuna bubujikwa na matumaini na maono na furaha na utukufu wa Mungu babaView attachment 3191984
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya Tanzània kwamba imepotesha,
Ni swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Soma pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
VOX POPULI, VOX DEI
Ndio wanaiua CHADEMA hivyoTatizo wapambe nuksi mkuu!. Watakula wapi???
Mmeshashinda huu UchaguziUnasemaje mbubujikwa na machozi ya furaha. Lucas Mwashambwa Sisi wafuasi wa lissu tuna bubujikwa na matumaini na maono na furaha na utukufu wa Mungu baba
Hivi Mbowe wa kweli ameenda wapi.Maana yule wa jana aliyekuwa anahojiwa na Kikeke anapata kigugumizi kidogo,hajiamini na anatoa majibu mepesi kabisa.View attachment 3191984
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya Tanzània kwamba imepotesha,
Ni swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Soma pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
VOX POPULI, VOX DEI
Hatari mno. Huu ulikuwa wakati wa kustaafu kwa heshima.Ngoja tuone ila hata Wachaga asili wamemchoka jamaa
Labda atapindua meza ya matokeoNi swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Hakuna wa kuuiba huu Uchaguzi hata hivyoUchaguzi usipoibiwa basi TL ndiye mwenyekiti.
Basi acha tububujikwe na machozi ya furaha kama kaka Lucas MwashambwaMmeshashinda huu Uchaguzi
Yes angepata heshima sana huyu MzeeHatari mno. Huu ulikuwa wakati wa kustaafu kwa heshima.
😂😂Basi acha tububujikwe na machozi ya furaha kama kaka Lucas Mwashambwa
Tamaa zake tu huyo mzeeeImekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Mwamuzi wa nyakati ni sanduku la kuraMbowe hasomi alama za nyakati?
Mbowe kwa dalili anazoonyesha hay upo tayari kuachia madaraka.Hakuna wa kuuiba huu Uchaguzi hata hivyo
Mimi mshangao wangu mkubwa ni Mbowe kutofautiana na Lema.Nimeshangaa kwa kweli.Nilifikiri Lema ni chawa mkubwa wa Mbowe.Ngoja tuone ila hata Wachaga asili wamemchoka jamaa
Miaka ishirini madarakani bado unahitaji uchaguliwe kwenye Sanduku la Kura?Mwamuzi wa nyakati ni sanduku la kura
Mbona timu Lisu mnahaha sana mnataka ushindi wa mezani bila kura haipo hiyo
Subirini tu sanduku la kura
Heshimuni katiba na demokrasia ya kura