Katiba ya Chadema inamruhusu hakuna tatizoMbowe kwa dalili anazoonyesha hay upo tayari kuachia madaraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ya Chadema inamruhusu hakuna tatizoMbowe kwa dalili anazoonyesha hay upo tayari kuachia madaraka.
Kama katiba inaruhusu hakuna tatizoMiaka ishirini madarakani bado unahitaji uchaguliwe kwenye Sanduku la Kura?
Mbali na Sheria, kanuni na mwongozo Uongozi ni pamoja na kutumia busara pia. Ukikaa na mtu muda mwingi madarakani huyo mtu huchujuka (hupauka) kifikraKama katiba inaruhusu hakuna tatizo
Wapi katiba ya Chadema inasema mtu akiongoza miaka 20 haruhusiwi kugombea tena? Tiini katiba nyie team Lisu
Sheria,kanuni na miongozo viliwekwa ili ili kuepusha vitu vinavyoitwa matumizi ya busara kupindisha katiba,kanuni na miongozoMbali na Sheria, kanuni na mwongozo Uongozi ni pamoja na kutumia busara pia. Ukikaa na mtu muda mwingi madarakani huyo mtu huchujuka (hupauka) kifikra
Unaweza ukawa kwenye haki nyakati zikakukataa!Sheria,kanuni na miongozo viliwekwa ili ili kuepusha vitu vinavyoitwa matumizi ya busara kupindisha katiba,kanuni na miongozo
Mbowe ni haki yake kugombea kwa mujibu wa katiba kanuni na miongozo
Sio kuhaha nyie kura zenu zinatoka Mbinguni?Mwamuzi wa nyakati ni sanduku la kura
Mbona timu Lisu mnahaha sana mnataka ushindi wa mezani bila kura haipo hiyo
Subirini tu sanduku la kura
Heshimuni katiba na demokrasia ya kura
Subiri uchaguzi ufike ndio utajua kura zinatoka wapiSio kuhaha nyie kura zenu zinatoka Mbinguni?
Subiri siku ya kura utabaki mdomo wazi kwa aibu na huyo Lisu wenuMbowe atajikuta kabaki na lukas Mwashambwa peke yake, acha aendelee kukaza fuvu
Daaah Kweli mtafanya maajabu sanaSubiri uchaguzi ufike ndio utajua kura zinatoka wapi
Team Lisu acheni kelele subirini sanduku la kura
Ushindi wa mbowe unategemea pesa chafu kutoka kwa abdul na mama yakeSubiri siku ya kura utabaki mdomo wazi kwa aibu na huyo Lisu wenu
Kwangu naona wale waliomshauri mbowe agombee Tena uwenyekiti walifanya kosa kubwa sana, mbowe kafika mwishoNasikia huwa hakuna mchaga mshamba, FAM ataangushwa kishamba hivi na uzoefu alionao? Sidhani.
Kwa kweli kachemsha sanaImekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Labda amezisoma ila labda Kuna ugiza Giza wa asali asali !Imekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Slaa amekuja kujidhihirisha dhahiri kuwa alikuwa a bloody two headed serpent, pimbi wa aina hiyo hafai kwa lolote. Mtu ambaye easily aligeuka na kuanza kupambana kushambulia opposition ni mbwa 100%, bora hata Lowassa alivyorudi CCM hakuwa akitupa makombora kubomoa upinzani bali ilikuwa purely ni kwa ajili ya kulinda biashara zake na si zaidi ya hapo.Hivi Mbowe wa kweli ameenda wapi.Maana yule wa jana aliyekuwa anahojiwa na Kikeke anapata kigugumizi kidogo,hajiamini na anatoa majibu mepesi kabisa.
Hakika Dk Slaa aliifaa sana Chadema.Sasa hivi imepaya mno.
Machawa wanamdanganya...angekaa pembeni angepata heshima sanaMbowe hasomi alama za nyakati?
Labda kura zipigwe usiku na muibeSubiri siku ya kura utabaki mdomo wazi kwa aibu na huyo Lisu wenu