Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Ila Mbowe ajitafakari KwakweliWasubiri Mlimani City Mlungula 😂
Nakubaliana na wewe aisee kila Kona LISSUUchaguzi usipoibiwa basi TL ndiye mwenyekiti.
Hata Mimi nakosa majibu aiseeImekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Well hili tatizo si kwa mbowe, viongozi wengi wa afrika huwa hawabadiliki. Wao bado wanafikiri walio wapitisha mikaa hiyo ndio wale wale, vizazi vikibadilika wakaanza kupata ushindani ndipo wanapata stress na kutumia kila namna ya kubaki madarakaniImekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Ccm haoHata Mimi nakosa majibu aisee
To gain a Public awarenesskuna ulazima gani kuja public?
Ila Kweli Mbowe ni CCMCcm hao
Tatizo wapambe nuksi mkuu!. Watakula wapi???Imekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Wanamdhalilisha sana Mzee huyu kwanini wasingemuacha akapumzika?Tatizo wapambe nuksi mkuu!. Watakula wapi???
to what ends meet? si kuna uchaguzi unakujaTo gain a Public awareness
Ngoja tuone ila hata Wachaga asili wamemchoka jamaaNasikia huwa hakuna mchaga mshamba, FAM ataangushwa kishamba hivi na uzoefu alionao? Sidhani.
Uchaguzi ni kawaida watu kutoa misimamo kabla ya Uchaguzi hii ni worldwideto what ends meet? si kuna uchaguzi unakuja