ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ujasiri wa kumwangalia simba Kwa kumkazia unatokea wap unless unamadawa hivi hivi utoboiKila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
Hapo ndo utapofeli sasaUjasiri wa kumwangalia simba Kwa kumkazia unatokea wap unless unamadawa hivi hivi utoboi
😂😂😂😂 Mkuu hajasema kua unaweza kumuua mamba Kwa panga ila amesema ukiwa na panga kali yupi kidgo itakua nafuu kupamban nae Kati ya hao watatuEti mamba na panga. Duh kweli Jf ni jukwaa huru
Simba unaweza kujitetea hata kumpiga panga moja, mamba pia ukimuwah utsumbuanae sana hata kama atakuzidi ila jasho utamtoa.. huyo chatu akikutiming umeisha dude linanguvu sana lile hao wengine wote hapo simba na mamba wanamuogopa sana chatu yupo slow ila ni hatari na ana akili kama za mtu kabisa..Naombeni mniambie me sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
amesema 'assume una panga'Mamba na Simba ni rahisi kuokolewa lakini Chatu mkubwa sahau Ndugu.
Weeeee thubutu unacheza wewe mkuuKila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
Chatu mkumbwa hata kama una Panga yeye huwa anakuambush na sio kwamba kwasababu hana Sumu Misuli ya Chatu mkubwa ina nguvu akikunyonga na kukuviringisha ni lazima ujinyee na kufa.amesema 'assume una panga'
chatu hana sumu, hana mbio
HAKUNA sababu ya kumuogopa
Unatumia pangaChatu mkumbwa hata kama una Panga yeye huwa anakuambush na sio kwamba kwasababu hana Sumu Misuli ya Chatu mkubwa ina nguvu akikunyonga na kukuviringisha ni lazima ujinyee na kufa.
View attachment 2926511
Meno yake yote yanaangalia ndani akikuambush hutoboi.
Hapa ninaongele CHATU MKUBWA.
Kwenye hiyo Picha kamezwa Mlinzi na Bunduki yake.
Hiyo Picha huyo Chatu kammeza Mlinzi wa WFP mwenye AK47 wakati anavuka Fensi ndio akapigwa Zap akaing'ata Fence ndio kufia hapo hapo na asubuhi akakutwa hivyo hivyo.Unatumia panga