Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mamba licha ya maguvu yote anataga. Angekuwa anazaa hapoChatu kumeza mtu sio kitu rahisi … reported case ni chache almost zero kwa Tanzania , ogopa ukiingia kwenye mdomo wa maza…faka 🐊 hutoki , biting force yake ni one of the best , Simba sio rahisi kum-attack binadamu ila ikitokea umekwisha…
Hv hizi habari za ukimwangalia Simba hakufanyi kitu ni za kweli au mnataka kuponza watu maana nazisikiaga ukikutana na Simba usikimbie ww muangalie mmmh,Kila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
naskia wadada hamuogopi chatu wa kwenye surualiMimi naogopa hata kubishana ngoja ni waache tu.🤐
Mimi Koboko wangu kwa kuwagonga baada ya kula Mkongoraa wa Kimasai.😋naskia wadada hamuogopi chatu wa kwenye suruali
mleta mada kazingua hajamuweka kiboko,Mimi Koboko wangu kwa kuwagonga baada ya kula Mkongoraa wa Kimasai.😋
Mimi naogopaganaskia wadada hamuogopi chatu wa kwenye suruali
ana sura mbovu huyo!Me nishamshuhudia mamba live, acha asee dude hilo linaogopesha.Nakumbuka kipindi tunalima nyanya kando ya ziwa 2021 hiyo, maliasili wenyewe walimshindwa halafu kulikua na case ya mvuvi kupotea ikawa inasemekana ni huyo mamba.
Koboko wa Msituni hamfikii wa kwenye Suruali akiwa peku kwa kill count😉mleta mada kazingua hajamuweka kiboko,
ndo ana kill count kubwa africa
si mnasema mamba akiwa nchi kavu ni mchumbaTatizo mamba licha ya maguvu yote anataga. Angekuwa anazaa hapo
duh, mbona niliambiwa nyie ndo mnammeza chatu wa suruali?Mimi naogopaga
Umedanganywaduh, mbona niliambiwa nyie ndo mnammeza chatu wa suruali?
ninoma, halafu tulikua tuna vuta maji kwa jenereta na mpira ni lazima uwe ziwani ilikua ni shughul pevu ukiambiwa uka washe jenereta. 😂ana sura mbovu huyo!
Mbona simpo sanaUjasiri wa kumwangalia simba Kwa kumkazia unatokea wap unless unamadawa hivi hivi utoboi
Huo ni ukweli, hii inamaanisha endapo utakuwa kwenye situation ya uso kwa uso na Simba au Predator yeyote better kumkazia macho na kutokugeuka nyuma confidence yake kukushambulia itapungua kuliko ukimbie hapo utakuwa kama Swala tu unajua nini kinamtokea swalaHv hizi habari za ukimwangalia Simba hakufanyi kitu ni za kweli au mnataka kuponza watu maana nazisikiaga ukikutana na Simba usikimbie ww muangalie mmmh,
isije ikawa sawa na Ile ukikamatwa na police muulize kosa lako ni lipi😂😂😂😂 hii kitu imeumiza vijana weng wakichezea makofi ya kutosha mbele ya police sasa kwa Simba nafkr kinachotokea .............
Unajua Size ya ng'ombe mzee, hawezi huyo mdomo utapasukaHuyu Chatu anaweza kumeza hata Ng'ombe angalia Excavator ilyombeba Bumu lake na huyo Nyoka karibia wako sawa.
View attachment 2926548