Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we jamaa you have a thing for snakes😂Simba unapanda Mnazi tu hawezi kukufuatq wala Mamba lakini Chato anaenda kukutafunia kule juu halafu anashushia na Maji ya Dafu Baridi.
Chat ana kuangukia then anakubanaamesema 'assume una panga'
chatu hana sumu, hana mbio
HAKUNA sababu ya kumuogopa
Aliwa nanjaa huchomokiUzuri wa Chatu huwa hali ovyo ovyo
Wewe unaongelea wale Chatu wa Bahi walokondeana kuna Chatu wa aina nyingi Kuna Burmese Pythons Rock Pythons kuna Anaconda kuna Green Anaconda na hapo nimewasahau Boa Constricters.
Ni bora ukutane na Mamba mwenye njaa au Simba mwenye njaa unaweza kupanda Mti ulio karibu nawe lakini Chatu anapanda Miti aina zote.Aliwa nanjaa huchomoki
Chatu akufati juu hana akili hioSimba unapanda Mnazi tu hawezi kukufuata wala Mamba lakini Chatu anaenda kukutafunia kule juu halafu anashushia na Maji ya Dafu Baridi.
Kwa hiyo akiona kitoweo juu ya mti hapandi?Chatu akufati juu hana akili hio
Hii mada ilikuwa ya ni kati ya Wanyama watatu kidogo nilitaka kwenda kulala lakini nikaona na Chatu daah.For sure.
Huwezi kumkosa kwenye mada za nyoka na anawajua haswa.
Nafikiri kusafiri sana kwake na yuko interested na nyoka sana.
imhotep je na Anaconda ni jamii ya chatu?
Alikuta lori limesimama?Hii mada ilikuwa ya ni kati ya Wanyama watatu kidogo nilitaka kwenda kulala lakini nikaona na Chatu daah.
Pale Rusumo alitoka Bonge la Chatu Mtoni Kagera akaingia chini ya Lori lenye Sheheni acha kabisa ilibidi apigwe Risasi ndio lile Lori likaondoka.
Mzee kuwa serious basi, u hatari wa chatu upo kwenye Ambush tu kama ukifanikiwa kumuona hana uwezo wowote wa kukudhuru sasa mpaka unapanda juu ya mti maanayake umemuona just unabdaili njia tu wala hawi na habari na wewe ila tofauti kwa Simba.Ni bora ukutane na Mamba mwenye njaa au Simba mwenye njaa unaweza kupanda Mti ulio karibu nawe lakini Chatu anapanda Miti aina zote.
Sio kweli, mamba akipiga pigo moja tu we ni mlemavu au mfu, mfano akicrush katikati na kichwani lazima ufe na hutopata nafasi ya kutumia panga lako, Simba muoga sana bila hata siraha, tochi tu ukimfata kwa ujasiri anakimbia labda ka ananjaa sana na yuko pekeake sababu Simba wanawinda kindugu (kundi)...chatu akikuua na uko na hilo panga lako we ni bonge la....Mamba na Simba ni rahisi kuokolewa lakini Chatu mkubwa sahau Ndugu.
Video yakeHuyu Chatu anaweza kumeza hata Ng'ombe angalia Excavator ilyombeba Bumu lake na huyo Nyoka karibia wako sawa.
View attachment 2926548
HakikaChatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie
Unamkata hapo kichwani
Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,
Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu
Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,
kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Anaconda ni mkubwa kuliko huyo na kwenye risasi hakuna mnyama ambae analeta ubishi ila huyo Mwanajeshi angeingia kwenye Ambush ya Chatu haina ujanja anakumeza.View attachment 2926612
Anaconda anaweza kumeza ng'ombe lakini sio kama huyu kwenye picha.
A non-venomous reticulated python, one of the world's largest snakes, was seen devouring a cow in India, prompting a farmer to lasso its head in an attempt to remove it from the property.24 Oct 2023
Huko India👆