Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Wewe unaongelea wale Chatu wa Bahi walokondeana kuna Chatu wa aina nyingi Kuna Burmese Pythons Rock Pythons kuna Anaconda kuna Green Anaconda na hapo nimewasahau Boa Constricters.

Screenshot_20240306-230841_YouTube.jpg

Anaconda anaweza kumeza ng'ombe lakini sio kama huyu kwenye picha.
 
For sure.
Huwezi kumkosa kwenye mada za nyoka na anawajua haswa.

Nafikiri kusafiri sana kwake na yuko interested na nyoka sana.

imhotep je na Anaconda ni jamii ya chatu?
Hii mada ilikuwa ya ni kati ya Wanyama watatu kidogo nilitaka kwenda kulala lakini nikaona na Chatu daah.

Pale Rusumo alitoka Bonge la Chatu Mtoni Kagera akaingia chini ya Lori lenye Sheheni acha kabisa ilibidi apigwe Risasi ndio lile Lori likaondoka.
 
Hii mada ilikuwa ya ni kati ya Wanyama watatu kidogo nilitaka kwenda kulala lakini nikaona na Chatu daah.

Pale Rusumo alitoka Bonge la Chatu Mtoni Kagera akaingia chini ya Lori lenye Sheheni acha kabisa ilibidi apigwe Risasi ndio lile Lori likaondoka.
Alikuta lori limesimama?
Je dereva aliogapa kumsagasaga au alijificha uvunguni?
 
Ni bora ukutane na Mamba mwenye njaa au Simba mwenye njaa unaweza kupanda Mti ulio karibu nawe lakini Chatu anapanda Miti aina zote.
Mzee kuwa serious basi, u hatari wa chatu upo kwenye Ambush tu kama ukifanikiwa kumuona hana uwezo wowote wa kukudhuru sasa mpaka unapanda juu ya mti maanayake umemuona just unabdaili njia tu wala hawi na habari na wewe ila tofauti kwa Simba.
 
Mamba na Simba ni rahisi kuokolewa lakini Chatu mkubwa sahau Ndugu.
Sio kweli, mamba akipiga pigo moja tu we ni mlemavu au mfu, mfano akicrush katikati na kichwani lazima ufe na hutopata nafasi ya kutumia panga lako, Simba muoga sana bila hata siraha, tochi tu ukimfata kwa ujasiri anakimbia labda ka ananjaa sana na yuko pekeake sababu Simba wanawinda kindugu (kundi)...chatu akikuua na uko na hilo panga lako we ni bonge la....
 
Chatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie

Unamkata hapo kichwani

Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,

Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu

Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,

kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Hakika
 
View attachment 2926612
Anaconda anaweza kumeza ng'ombe lakini sio kama huyu kwenye picha.
Anaconda ni mkubwa kuliko huyo na kwenye risasi hakuna mnyama ambae analeta ubishi ila huyo Mwanajeshi angeingia kwenye Ambush ya Chatu haina ujanja anakumeza.

Kumbuka yeye Chatu anawinda MLO akisikia NJAA lakini ukimkuta KASHIBA KALALA hana Harakati.
 
Picha
A non-venomous reticulated python, one of the world's largest snakes, was seen devouring a cow in India, prompting a farmer to lasso its head in an attempt to remove it from the property.24 Oct 2023

Huko India👆
 
Back
Top Bottom