Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Hili ni swali tofauti, inategemeaKwa hiyo akiona kitoweo juu ya mti hapandi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni swali tofauti, inategemeaKwa hiyo akiona kitoweo juu ya mti hapandi?
Hebu ingia You Tube mimi naenda kulala.Video yake
Sio kweli, mamba akipiga pigo moja tu we ni mlemavu au mfu, mfano akicrush katikati na kichwani lazima ufe na hutopata nafasi ya kutumia panga lako, Simba muoga sana bila hata siraha, tochi tu ukimfata kwa ujasiri anakimbia labda ka ananjaa sana na yuko pekeake sababu Simba wanawinda kindugu (kundi)...chatu akikuua na uko na hilo panga lako we ni bonge la....
Wanyama wote hapo juu ni hatari. Chatu ni vye pesi kukuweka kwenye Target. Chatu huwinda sehemu inyoendana na mazingira ya ngozi yake. Na ana mu detect prey kwa umbali mrefu. Ana naswa swala mwenye mbio sembuse Binadam. Chatu ni kiumbe kinachotisha mzee. Tunamuogopa tu Cobra au nyoka hawa wadogo sebuse hilo jitu. Chatu ni habari nyingine sio mchezo.Chatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie
Unamkata hapo kichwani
Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,
Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu
Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,
kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Sasa kuna chatu wakubwa Tanzania? uko na panga ukauliwa na chatu we ni...Hebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadiliane
Midomo ya hawa Viumbe sio kama yetu yao yanauvaa mlo kama Kikoi kinavyomvaa Mpemba.
View attachment 2926587
View attachment 2926589
[emoji115] Taya zao huwa zinatanuka.
Ukishafanyiwa ambush panga unalitumia vipi mzee, sio chatu mimi nije nikukumbatie hapo kwanguvu alafu uwone kama utaweza nipiga na panga lakoSasa kuna chatu wakubwa Tanzania? uko na panga ukauliwa na chatu we ni...
Mmezalisha ambush but mleta uzi aliuliza ukikutana, akimaanisha mkakutana na mmnyama uso kwa uso na sio kwa kushambuliwa kwa kustukiza (ambush)Ukishafanyiwa ambush panga unalitumia vipi mzee, sio chatu mimi nije nikukumbatie hapo kwanguvu alafu uwone kama utaweza nipiga na panga lako
Kwani Simba anawinda ka kashiba? Simba muda wake mwingi huutumia kulala na ukiona wanawinda elewa wananjaa.Anaconda ni mkubwa kuliko huyo na kwenye risasi hakuna mnyama ambae analeta ubishi ila huyo Mwanajeshi angeingia kwenye Ambush ya Chatu haina ujanja anakumeza.
Kumbuka yeye Chatu anawinda MLO akisikia NJAA lakini ukimkuta KASHIBA KALALA hana Harakati.
Ujasiri wa kumkata panga utautoa wapi ??Sasa kuna chatu wakubwa Tanzania? uko na panga ukauliwa na chatu we ni...
Mamba na simba ni hatari sana, hawa ni hard workers. Ukiwakuta wananjaa, kitapigika. Ila chatu ni tofauti, yeye ni slay killer. Atakulia timing hata lisaa ila ukijaa, tofauti n simba au mamba, yeye harudi nyuma. Yupo tayari kumake hata 50 attempts, yani ukikutana nae n ukajaa, kitapigika hata masaa 2 hadi either umjeruhi vbaya ndio asepe au ufe tu. Hana historia ya kukuacha mlemavu au mzima, yani either umuuwe, umjeruhi au yeye akuuwe, no extra option.Naombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.
Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.
Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Semenya hilo zali la kukutana na mbwa mwitu nalitamani nakuliombea sana linitokee. Yani huo mkono ntakavyoutembeza hakuna kupanda mti.Mimi nimeshakutana na simba, ombea ukutane na simba labda wapo pride (kundi lina majike na madume na watoto). Hilo kundi ujue lina uhakika wa kula.
Sasa katika vitu usiombee ni kukutana na mbarara (simba dume vijana ambao hufukuzwa kwenye pride na baba yao). Hawa huwa wana njaa mda wote maana kuwinda kwao ni changamoto.
Simba jike aliejitenga na pride ili azae na kukuza kwanza watoto. Usiombee pia.
Ila yote ya yote katika mapori haya usiombe kukutana na kundi la mbwa mwitu. Hao ukiwaona kwa mbali wala usikimbie tafuta tu mti upande.
Hawa wakikukamata wanaweza kuwa wameshakukula robo tatu ya mwili wako kabla roho yako haijatoka. Yani unaliwa huku unajiona.
We mbusiii wataanza kutafuna korodani zako umbwa koko wewe.Semenya hilo zali la kukutana na mbwa mwitu nalitamani nakuliombea sana linitokee. Yani huo mkono ntakavyoutembeza hakuna kupanda mti.
Mimi Mamba sitoboi ila hao wengi chatu na Simba vita nyepesi hiyo nikiwa na upanga tu kama alivyosema mleta mada.Chatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie
Unamkata hapo kichwani
Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,
Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu
Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,
kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Yaani kameza mgambo na AK-47?Hiyo Picha huyo Chatu kammeza Mlinzi wa WFP mwenye AK47 wakati anavuka Fensi ndio akapigwa Zap akaing'ata Fence ndio kufia hapo hapo na asubuhi akakutwa hivyo hivyo.
Sudan Kusini.
Simba wanawinda usiku malanyingi, afu wanakuwa wengi, Simba tochi kali tu inamtosha ukiwa jasiri, naongea kwa uzoefu sio hadithi, Simba ukimfata kwa ujasiri anakimbia, Mamba pia naongea kwa uzoefu sio hadithi, ile video ilotrend sana ya "nikasikia paaaa afu aiiiii.." yule jamaa mie nimeishi nae kwa kipindi fulani miaka ya 2018-2019 nikiwa na kazi fulani kule, chatu uko na panga unamuua wakati anaanza kukuzunguka, mapanga ya watu wa maporini yanakata zaidi hata ya wembe.Mimi Mamba sitoboi ila hao wengi chatu na Simba vita nyepesi hiyo nikiwa na upanga tu kama alivyosema mleta mada.
Mamba ndiye hatari kuliko wote kwa sababu maji ndio sehemu yake kuliko wewe,nguvu yake ni kama simba.Kuokolewa mara nyingi kunatokana na mazingira anayoishi mara nyingi binadamu wanakuwa jirani.Katika wote hao kama hakuna muokoaji basi bora ya simba na chatu.Kihistoria, mara nyingi watu huwa wanaokoka/ kuokolewa wakiwa wanashambuliwa mamba kuliko na hao viumbe wengine.
Ukiingia kwenye target ya Simba au Chatu unakuwa na maisha magumu sana, siyo tu kwa binadamu ila hata kwa wanyama wengine.
Ova
Mlinzi faraHiyo Picha huyo Chatu kammeza Mlinzi wa WFP mwenye AK47 wakati anavuka Fensi ndio akapigwa Zap akaing'ata Fence ndio kufia hapo hapo na asubuhi akakutwa hivyo hivyo.
Sudan Kusini.
tunakusubiri mkuuNakuja na scenario ya mtoa maada ya kuji defend kwa panga pale unapokutana na Chatu hiyo njia huwezi kuifaulu. Utaliwaa
Duh, hatari sana mkuuHiyo Picha huyo Chatu kammeza Mlinzi wa WFP mwenye AK47 wakati anavuka Fensi ndio akapigwa Zap akaing'ata Fence ndio kufia hapo hapo na asubuhi akakutwa hivyo hivyo.
Sudan Kusini.