Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Unajua Size ya ng'ombe mzee, hawezi huyo mdomo utapasuka
Hebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadiliane

Midomo ya hawa Viumbe sio kama yetu yao yanauvaa mlo kama Kikoi kinavyomvaa Mpemba.
ratsnakeeatingegg-clip.jpg

boa-skull.png

👆 Taya zao huwa zinatanuka.
 
Kila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
Mimi nimeshakutana na simba, ombea ukutane na simba labda wapo pride (kundi lina majike na madume na watoto). Hilo kundi ujue lina uhakika wa kula.

Sasa katika vitu usiombee ni kukutana na mbarara (simba dume vijana ambao hufukuzwa kwenye pride na baba yao). Hawa huwa wana njaa mda wote maana kuwinda kwao ni changamoto.

Simba jike aliejitenga na pride ili azae na kukuza kwanza watoto. Usiombee pia.

Ila yote ya yote katika mapori haya usiombe kukutana na kundi la mbwa mwitu. Hao ukiwaona kwa mbali wala usikimbie tafuta tu mti upande.

Hawa wakikukamata wanaweza kuwa wameshakukula robo tatu ya mwili wako kabla roho yako haijatoka. Yani unaliwa huku unajiona.
 
Sema ndani ya Maji nje ya Maji ni mrembo sana ndio maana hua anakimbilia Majini ukimfuata akumalize humo humo maana Maji ni km barabara yake, ngozi ya chini ya Mamba ni laini km ngozi ya kuku wa kienyeji ukimuote ukamtia Beto umemmaliza maana yeye anategemea domo tu lile
Ni rahisi kumtime kwenye hiyo ngozi ya chini sio?! Hivi mnaongea stori ama uhalisia? Hao viumbe Chatu na Mamba ni hatari sana unless uwe na madawa.
 
Mimi nimeshakutana na simba, ombea ukutane na simba labda wapo pride (kundi lina majike na madume na watoto). Hilo kundi ujue lina uhakika wa kula.

Sasa katika vitu usiombee ni kukutana na mbarara (simba dume vijana ambao hufukuzwa kwenye pride na baba yao). Hawa huwa wana njaa mda wote maana kuwinda kwao ni changamoto.

Simba jike aliejitenga na pride ili azae na kukuza kwanza watoto. Usiombee pia.

Ila yote ya yote katika mapori haya usiombe kukutana na kundi la mbwa mwitu. Hao ukiwaona kwa mbali wala usikimbie tafuta tu mti upande.

Hawa wakikukamata wanaweza kuwa wameshakukula robo tatu ya mwili wako kabla roho yako haijatoka. Yani unaliwa huku unajiona.
hawa ni kiboko ya fisi
 
Pia kuna hiki kisa huko India👇

A non-venomous reticulated python, one of the world's largest snakes, was seen devouring a cow in India, prompting a farmer to lasso its head in an attempt to remove it from the property.24 Oct 2023
 
Hebu tafuta Anaconda au Titanaboa wa Congo halafu njoo tujadiliane

Midomo ya hawa Viumbe sio kama yetu yao yanauvaa mlo kama Kikoi kinavyomvaa Mpemba.
View attachment 2926587
View attachment 2926589
👆 Taya zao huwa zinatanuka.
Ni sawa lakini, kwa ng'ombe itampa shida sana. Na hawezi kumeza ng'ombe. Chatu atameza sana sana swala, mbuzi, ndama, mbwa na binadam mara chache sana hadi akuotee.
 
Naombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.

Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.

Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Kwanini upambane nao
 
Yaaah chatu hawezi kumeza ng'ombe mzima mzima, labda ka ndama, mbuzi, swala. Na anapenda sana Mbwa. Chatu akishakuotea huchomokiii.
Wewe unaongelea wale Chatu wa Bahi walokondeana kuna Chatu wa aina nyingi Kuna Burmese Pythons Rock Pythons kuna Anaconda kuna Green Anaconda na hapo nimewasahau Boa Constrictor.
 
Kila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akukague nini?
 
Ni sawa lakini, kwa ng'ombe itampa shida sana. Na hawezi kumeza ng'ombe. Chatu atameza sana sana swala, mbuzi, ndama, mbwa na binadam mara chache sana hadi akuotee.
A non-venomous reticulated python, one of the world's largest snakes, was seen devouring a cow in India, prompting a farmer to lasso its head in an attempt to remove it from the property.24 Oct 2023

Huko India👆
 
Back
Top Bottom