Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Chatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie

Unamkata hapo kichwani

Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,

Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu

Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,

kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Sometimes chatu anakaa juu ya mti anatega, na anaruka ni hatari pia
 
Naombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.

Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.

Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Kihistoria, mara nyingi watu huwa wanaokoka/ kuokolewa wakiwa wanashambuliwa mamba kuliko na hao viumbe wengine.

Ukiingia kwenye target ya Simba au Chatu unakuwa na maisha magumu sana, siyo tu kwa binadamu ila hata kwa wanyama wengine.

Ova
 
Chatu kumeza mtu sio kitu rahisi … reported case ni chache almost zero kwa Tanzania , ogopa ukiingia kwenye mdomo wa maza…faka 🐊 hutoki , biting force yake ni one of the best , Simba sio rahisi kum-attack binadamu ila ikitokea umekwisha…
 
1,678.45 Kilogram bite Force. Ni kama umegongwa na gari
Sema ndani ya Maji nje ya Maji ni mrembo sana ndio maana hua anakimbilia Majini ukimfuata akumalize humo humo maana Maji ni km barabara yake, ngozi ya chini ya Mamba ni laini km ngozi ya kuku wa kienyeji ukimuote ukamtia Beto umemmaliza maana yeye anategemea domo tu lile
 
Naombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.

Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.

Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Chatu ni rahisi kama hajakubana mikono. Ndo maana wanashauri ukitembea porini uwe unarusha rusha mikono kama vile wajeda wanavyomarch. Chatu timing zake ndo hizo kukuwahi kukubana mikono yote miwili.
 
Sijawahi kukutana na Simba wala Chatu

Ila Mamba dah ni hatari

Shida ya mamba anakuwinda bila ya wewe kujua kama unawindwa

Anakuwinda akiwa ndani ya maji humuoni yeye anakuona na ana pigo la ajabu na haraka mnooo
Hao wote wana winda. Chatu ni Habari nyingine kabisa. Tulishawahi shuhudia Mbwa anakamatwa na Chatu Pori la Kigosi (Pori la ushirombo) chatu ni nuksi mjomba.
 
Chatu kumeza mtu sio kitu rahisi … reported case ni chache almost zero kwa Tanzania , ogopa ukiingia kwenye mdomo wa maza…faka 🐊 hutoki , biting force yake ni one of the best , Simba sio rahisi kum-attack binadamu ila ikitokea umekwisha…
Acha ubishi ndugu kuna Dereva Msomali alimezwa na Chatu huko Zambia alikuwa ameenda kujisaidia akapigwa Ambush ilibidi Askari wampige risasi yule Chatu nakumpasua na kumtoa yule Marehemu.

Hapa kinachoongelewa ni Wanyama wakubwa hata Simba mtoto hawezi kula mtu au Mamba mtoto ambao huko Kongo ni kotoweo cha Wenyeji.
 
Chatu utamuweza. Hana mbio ya kukushambulia, kukupata ni mpaka akuvizie

Unamkata hapo kichwani

Simba ndo atakumaliza kirahisi, ana nguvu, mbio kuliko wewe,

Kucha 1.5 in kama nyembe, akikurukia na kilo zake 200+ utadondoka tu

Na pia unakuwa umejengewa 'fear trigger' ya kumuogopa simba, anavyosimuliwa, ukimuona kwenye video,

kwahiyo mkikutana macho kwa macho utakuwa na hofu kubwa, hutoweza kufikiri haraka haraka
Umewahi kukutana nao lakini.?
 
Back
Top Bottom