Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo nimeota nimekutana na chatu halafu sikusoma comments natakiwa nifanye nini.. nilikumbuka tu moja ya mshamba_hachekwi nimpige na panga kichwani na panga lenyewe sikua nalo nimepata shida kweli yaani😥😥... Ila alikua mdogo nilikimbia😂😂Acha uoga hapana simba hapo ulipo🤣
Ilikuwa ni usiku Mlinzi na hiyo picha ni nusu lakini nimejaribu kutafuta ile Fulu Picha sijaipata lakini bado naitafuta..Yaani kameza mgambo na AK-47?
Ila aibu ya chui ni kiboko aloo sijui nimfananishe na mwanamke gani mwenye aibu😀Wee kaka wewe🙄
Hujawahi kukutana na mwanamke eehNaombeni mniambie mimi sijawahi kukutana na mamba wala chatu ila nahitaji kujua je ukikutana na Hao Wanyama.
Assume una upanga mkali yupi ukipambana naye Shambani huko ng'anya yake sio ndogo.
Yaani yupi ukijiingiza kwenye mfumo wake wa mtego pambano lake atakuzidi kirahisi na yupi mwepesi kumshinda.
Kupata kichekesho hiki tubonyeze namba ipi?Binadamu ndio mnyama hatari kuliko Wanyama wote, yaan hao wote hakuna Mamba, Chatu wala Simba anaweza kukudhuru unaweza ukamnyoosha na unaweza hata kumfuga pia na kumfundisha na akatii na akakuheshimu, jibu ni kwamba wote ukiwaamulia unawanyoosha tena hata bila kutumia Panga
Kuna dereva wa Dangote pia hapa Bongo aliwahi kumezwa alishuka kujisaidia porini huko. Stori yake ipo hapa JF.Acha ubishi ndugu kuna Dereva Msomali alimezwa na Chatu huko Zambia alikuwa ameenda kujisaidia akapigwa Ambush ilibidi Askari wampige risasi yule Chatu nakumpasua na kumtoa yule Marehemu.
Hapa kinachoongelewa ni Wanyama wakubwa hata Simba mtoto hawezi kula mtu au Mamba mtoto ambao huko Kongo ni kotoweo cha Wenyeji.
Nimewahi kusikia Simba kajeruhi au Mamba kajeruhi lakini sijawahi kusikia Chatu kajeruhi. Chatu ukiingia kwenye Ambush spot yake lazima ufe.Kuna dereva wa Dangote pia hapa Bongo aliwahi kumezwa alishuka kujisaidia porini huko. Stori yake ipo hapa JF.
Si Chatu hana siraha za kujeruhiNimewahi kusikia Simba kajeruhi au Mamba kajeruhi lakini sijawahi kusikia Chatu kajeruhi. Chatu ukiingia kwenye Ambush spot yake lakima ufe.
Siraha kama zipi?Si Chatu hana siraha za kujeruhi
Meno na kuchaSiraha kama zipi?
Ana meno mengi kuliko Simba na Mamba halafu mwili wake wote ni Misuli tupu ya kunyongeaMeno na kucha
Meno ya chatu ni kwaajiri ya kukamata tu yaani ku Hold sehemu aliyobana usichonoke (Holding Teeth) tofauti na meno tunayozungumzia ya Simba au Mamba.Ana meno mengi kuliko Simba na Mamba halafu mwili wake wote ni Misuli tupu ya kunyongea
View attachment 2927068
Anaconda anameza ng’ombe gani? Kuna documented cases zozote za anaconda kumeza ng’ombe fully grown?View attachment 2926612
Anaconda anaweza kumeza ng'ombe lakini sio kama huyu kwenye picha.
Kila mnyama ana weekness yake chatu mbio hana, mamba nchi kavu mgambo tu hana jipya, simba ukimwangalia directly machoni ana aibu kama unamtongoza si ajabu akaanza kutafuna vidole na kuvunja vijiti ila ombea usikutane na nyegele ni mpaka akukague we ni jinsia gani
Hii ilishakuwa debunked kwamba ni feki wewe!Huyu Chatu anaweza kumeza hata Ng'ombe angalia Excavator ilyombeba Bumu lake na huyo Nyoka karibia wako sawa.
View attachment 2926548
Kwani kuna jukwaa ukiandika kuhusu mamba na panga unapigwa ban?Eti mamba na panga. Duh kweli Jf ni jukwaa huru