[emoji23] Hiyo zawadi mpaka nikuite tenaSapraaaaizi, si huwa mnapenda. We niite tu one day utakutana nayo
Yes ni reward ya kuwa unaniita[emoji23] Hiyo zawadi mpaka nikuite tena
Wanawake mna shida sana. Huo muda mnapata wapi?Inakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
Hapo sawa cha utundu wa enzi hizo😅Nitakutag next time 😅😅
Sawa usijali 😅😅😅Hapo zawa cha utundu wa enzi hizo😅
Angalia tusiibiane maana na mie nipo anga hizi hiziLeo nataka niingie Ubungo Kijazi nifanye tukio 🥷
Thanks mimi pia namkubali sana AnalyseJohnnie Walker 😘😘😘😘😘😘 the best for me
Kidumu chama cha wakeshaji [emoji28][emoji28][emoji28]
UMUGHAKA ni fireInakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
Hahhha sawaYes ni reward ya kuwa unaniita
[emoji23]Sawa usijali [emoji4][emoji4]
Glenn hawezi ona hii. Na akiona apite kimya kimya [emoji28] [emoji28]
[emoji23] mawazo yako weweNakutakieni mema wote
Ndio ni mawazo mazuri😂[emoji23] mawazo yako wewe
Tushazoea banaAlipata emergency nadhani. Alisema kitu kama hicho