Ujiandae pia na kifurushi kizuri ni 35,000 kwa mwezi...Nashukuru sana mkuu, ila nimeamua kuchukua AZAM kwa sababu zifuatazo:
1. Ina channel nyingi ambazo huenda zitampendeza mlengwa. Nafikiri hata UPENDO TV inaptikana kwenye kisimbusi cha AZAM.
2. Wajukuu zake wasipate shida pindi wanapomtembelea, hasa ukizingatia kuwa wengi wao wanapendelea mpira.
Sijui kama naye ni mfuasi wake ila kuna kijana wake ambaye yuko naye hapo nyumbani, amekuwa akimtaja taja sana Mwamposa, kwa hiyo naye ataenjoy kukiwepo na channel yenye mahubiri ya Mwamposa.Tena kama anampenda Mwampoza kuna mahubiri live... Niliwahi pata mgeni siku moja home kwangu kumbe ni muumini mzuri wa Mwamposa, aisee ilibidi tumuachie TV peke yake maana muda wote ni channel ya mwamposa, ambayo hata sisi wenyeji tulikuwa hatuijui [emoji23] [emoji23]
Mkuu, cha 35,000/= cha kazi gani? Kwangu kwenyewe ni mara chache naweka hicho kifurushi. Labda, nitamuwekea mara chache, hasa kwa ajili ya wajukuu wake. Sidhani kama yeye atakuwa na muda wa kukimbizana na machannel ya kule "duniani".Ujiandae pia na kifurushi kizuri ni 35,000 kwa mwezi...
Kama ni rahisi kununua, nadhani wangenunua DSTV..maana huwa bei yake inafika mpka Tsh 56,000/=Wanatumia kwasababu ni bei rahisi kununua lakin hakuna cha maaana huko startimes, azam kateka soko la ndani
Ndiyo!SIPENDI MPIRA WA BONGO.Hivi kuna watu bado wanatumia startimes?
Wanatumia Kwa sababu ya ligi ya bongo.Wanatumia kwasababu ni bei rahisi kununua lakin hakuna cha maaana huko startimes, azam kateka soko la ndani
Angalia chenye gharama nafuu zaidi kuliko kingine sasa hivi Azam Cha Antenna 49,000/- wakati startimes ni 79,000/- kwa hio chagua hapo alafu Azam wametandaza waya Nchi nzima hakuna kukwamakwama sijui ku-scrutch mawimbi kupotea hakuna km ilivyo startimes kuna mda wana-scrutch balaa especially kukiwa na mawingu au mvua ikinyeshaSi mpenzi wa mpira wala vipindi vinavyofanania mpira, n.k., labda wajukuu wake, lakini siweki kwa ajili yao ila bibi yao.
Mlengwa anapendelea vipindi vya kwaya na mahubiri ya Kiswahili na "movies" zenye maudhui ya Kiafrika, hasa ya Kitanzania, lakini zinazozingatia maadili .
Nilishajaribu ZUKU lakini hawajakidhi vigezo. Ninataka nichukue mojawapo kati ya AZAM na STAR TIMES. Ni ipi kati ya hizo mbili ina vipindi vingi vinavyohitajiwa na mlengwa?
Kumbuka, kipaumbele ni GOSPEL SONGS, MAHUBIRI YA KISWAHILI na MOVIES za Kiafrika, lakini hasa hasa, za Kitanzania, kwa ajili ya urahisi wa kuzielewa (za lugha ya Kiswahili). King'amuzi ipi itakayomfaa?
Nashukuru🙏🙏🙏
Asante kwa kuufunga mjadala mapema #7.Wakuu, nashukuruni, mmenirahisishia. Nitamchukulia AZAM.
Nashukuruni sana , tena sana🙏🙏🙏
Kwahiyo startimes wana kipi cha maana? Ukisema Azam ukitoa ligi ya bongo hawana cha maana inaonekana hujawahi hata kumiliki azam TV, kwa wapenzi wa mpira Azam inaonyesha ligi kibao NBC ya ndani, bundesliga,league 1, mechi 1 ya epl kila jumamosi, inaonyesha Saudi Pl ligi ambayo wapo kina Ronaldo,Neymar, sadio mane,benzema, kwa wapenzi wa movies zipo channel kibao, wapenzi dini zipo channel za dini tofauti, Kwa Tz azam ndo king'amuzi standard ambacho ukiwa nacho unaburudika.Wanatumia Kwa sababu ya ligi ya bongo.
Tena siku hizi Kwa wale wenye vibanda umiza na bar wanapiga hela kupitia Azam Kwa kuonesha mpira wa bongo.
Mbali na mpira wa bongo, Azam hana cha Maana.
Kuhusu bei, DSTV ndo Bei rahisi lakini Bado kina watumiaji wawachache.
Ukisema mbali na ligi ya bongo hawana cha maana inaonyesha hujawahi kutumia azam TV au labda ni chuki, azam anaonyesha ligi kibao, Epl mechi 1 kila wiki, anaonyesha bundesliga ya german mechi zote, League 1 ya france mechi zote, ligi ya ndani mechi zote, Saudi PL unamuona Ronaldo,mane,benzema,neymar kila wiki, bado kwa wapenzi wa boxing utaona vitasa kwenye movies zipo channel kibao, news channel kibao.Wanatumia Kwa sababu ya ligi ya bongo.
Tena siku hizi Kwa wale wenye vibanda umiza na bar wanapiga hela kupitia Azam Kwa kuonesha mpira wa bongo.
Mbali na mpira wa bongo, Azam hana cha Maana.
Kuhusu bei, DSTV ndo Bei rahisi lakini Bado kina watumiaji wachache.
Dstv ni rahisi kununua lakin ni expensive kukitumia kwahiyo wanakimbia pia kwasababu hiyoKama ni rahisi kununua, nadhani wangenunua DSTV..maana huwa bei yake inafika mpka Tsh 56,000/=
Mimi sijawahi kuona Azam Tv wakitaja neno Xmass wala Pasaka! Kimsingi wako biased kwenye mambo ya dini, hata hizo channel chache za kikristo wanalazimika tu kuziweka kwa shingo upande. Mimi Azam TV nilikuwa nayo nimeiacha kwa sababu ni mpira wa bongo tu ninaofaidika nao ambao sasa ivi niko DSTV naenjoy mipiraNikuambie tu ukweli Mkuu,
Wewe ni Mkristo bila shaka. Chukua StarTimes.
Azam imejaza Channel nyingi zenye maudhui ya Kiislamu. Hata movie nyingi zina lengo haswa la kueneza Uislamu.
Ambacho Azam wanakimudu vizuri ni mambo ya Soka la Bongo tu.
Startimes wana Channel za kila aina.
Wana Upendo TV, muda mwingi ni Injili na nyimbo za kuabudu na sifa. Channel za Kikristo zipo nyingi mno.
Kama mpira si sehemu ya wanachopenda wazee, opt for Startimes. Bei chee, mzigo mwingi.
Inategemea unahitaji channel zip,maana kifurushi cha chini ni elf 10Dstv ni rahisi kununua lakin ni expensive kukitumia kwahiyo wanakimbia pia kwasababu hiyo
Dstv usipolipia unazimiwa hadi local channel inabaki pamboInategemea unahitaji channel zip,maana kifurushi cha chini ni elf 10
Ndiyo wanaoongoza Tanzania kwa kuwa na watumiaji wengi...tena kawaacha Wenzake mbali sana...Hivi kuna watu bado wanatumia startimes?
Napenda filamu za kihindi[emoji23]Sababu gani?
Sio kweli,Dstv usipolipia unazimiwa hadi local channel inabaki pambo
Nikuambie tu ukweli Mkuu,
Wewe ni Mkristo bila shaka. Chukua StarTimes.
Azam imejaza Channel nyingi zenye maudhui ya Kiislamu. Hata movie nyingi zina lengo haswa la kueneza Uislamu.
Ambacho Azam wanakimudu vizuri ni mambo ya Soka la Bongo tu.
Startimes wana Channel za kila aina.
Wana Upendo TV, muda mwingi ni Injili na nyimbo za kuabudu na sifa. Channel za Kikristo zipo nyingi mno.
Kama mpira si sehemu ya wanachopenda wazee, opt for Startimes. Bei chee, mzigo mwingi.