GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #41
Labda wanabagua, kwangu huwa wanaacha ile yao tu ya matangazo yao.Sio kweli,
Wanaacha TBC 1, ITV, EATV, CHANNEL 10, CLOUDS TV na UPENDO TV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wanabagua, kwangu huwa wanaacha ile yao tu ya matangazo yao.Sio kweli,
Wanaacha TBC 1, ITV, EATV, CHANNEL 10, CLOUDS TV na UPENDO TV
🙏🙏🙏Kama unapesa ya kulipia kila mwezi Azam ni kizuri
Lakini kama huna Pesa ya kulipia kila mwezi basi Startime ndio kizuri Kwa sababu ndio king'amuzi Chenye Chanel nyingi nzuri za Bure.
Kam utakuwa na uwezo zaidi nunua vyote viwili kwani havizidi laki tatu
Nikuambie tu ukweli Mkuu,
Wewe ni Mkristo bila shaka. Chukua StarTimes.
Azam imejaza Channel nyingi zenye maudhui ya Kiislamu. Hata movie nyingi zina lengo haswa la kueneza Uislamu.
Ambacho Azam wanakimudu vizuri ni mambo ya Soka la Bongo tu.
Japo ninatumia Azam ila hamna cha maana ukitoa issue za mpira unalipa kifurushi cha 25k huoni channels za maana zaidi ya michaneli sijui ya zimbabwe na Uganda haina hata program nzuri unaishia tu kuzima kama siyo mfuatiliaji wa mpira Azam ni upuuzi tu
Kuna kipindi walikua wanakata local channel zoteSio kweli,
Wanaacha TBC 1, ITV, EATV, CHANNEL 10, CLOUDS TV na UPENDO TV
Hayo yote kasoro ligi ya bongo na ligi ya ufaransa viko star times.Kwahiyo startimes wana kipi cha maana? Ukisema Azam ukitoa ligi ya bongo hawana cha maana inaonekana hujawahi hata kumiliki azam TV, kwa wapenzi wa mpira Azam inaonyesha ligi kibao NBC ya ndani, bundesliga,league 1, mechi 1 ya epl kila jumamosi, inaonyesha Saudi Pl ligi ambayo wapo kina Ronaldo,Neymar, sadio mane,benzema, kwa wapenzi wa movies zipo channel kibao, wapenzi dini zipo channel za dini tofauti, Kwa Tz azam ndo king'amuzi standard ambacho ukiwa nacho unaburudika.
Ukimiliki hiyo startimes unaona nini cha maana?
Hapo unapoweka neno kasoro ndo utofauti ulipo kwahiyo startimes hana jipyaHayo yote kasoro ligi ya bongo na ligi ya ufaransa viko star times.
Azam haoneshi mechi zote za bundesliga. Ana bagua mechi hasa zile zinazo cheza muda wa jioni saa 10:30. Ana chukua mechi moja ndo ana onesha,kikubwa ni kuwa wana tangaza Kwa kiswahili lakini haoneshi mechi zote.kitu ambacho ni tofauti na Star times ambako mechi zikiwa nne Zina onenyeshwa zote. Ni chaguo lako tu uangalie ipi.Ukisema mbali na ligi ya bongo hawana cha maana inaonyesha hujawahi kutumia azam TV au labda ni chuki, azam anaonyesha ligi kibao, Epl mechi 1 kila wiki, anaonyesha bundesliga ya german mechi zote, League 1 ya france mechi zote, ligi ya ndani mechi zote, Saudi PL unamuona Ronaldo,mane,benzema,neymar kila wiki, bado kwa wapenzi wa boxing utaona vitasa kwenye movies zipo channel kibao, news channel kibao.
Hiyo startimes inakipi kipya cha kushindana na azam hapa ndani?
Star Times 17,000 lakini Channels kibao wameondoa ikiwemo Clouds TV na Wasafi tvNikuambie tu ukweli Mkuu,
Wewe ni Mkristo bila shaka. Chukua StarTimes.
Azam imejaza Channel nyingi zenye maudhui ya Kiislamu. Hata movie nyingi zina lengo haswa la kueneza Uislamu.
Ambacho Azam wanakimudu vizuri ni mambo ya Soka la Bongo tu.
Startimes wana Channel za kila aina.
Wana Upendo TV, muda mwingi ni Injili na nyimbo za kuabudu na sifa. Channel za Kikristo zipo nyingi mno.
Kama mpira si sehemu ya wanachopenda wazee, opt for Startimes. Bei chee, mzigo mwingi.
Chanel gani nzuri za bure kwenye statimes??Kama unapesa ya kulipia kila mwezi Azam ni kizuri
Lakini kama huna Pesa ya kulipia kila mwezi basi Startime ndio kizuri Kwa sababu ndio king'amuzi Chenye Chanel nyingi nzuri za Bure.
Kam utakuwa na uwezo zaidi nunua vyote viwili kwani havizidi laki tatu
Hiyo wasafi,TvE, lazima ulipie,,,,,lkn clouds na wadogo zake ITV zipo.Star Times 17,000 lakini Channels kibao wameondoa ikiwemo Clouds TV na Wasafi tv
Michosho tu
Nimelipa kifurushi cha Mambo sh 17,000 lakini hakina channels za awali zaidi ya 10 Clouds TV, Wasafi Tv, Zile za kuhindi zote nkHiyo wasafi,TvE, lazima ulipie,,,,,lkn clouds na wadogo zake ITV zipo.
Kwenye channel za dini mnyonge mnyongeni ila Azam ana channel nyingi sana za kikristo kuanzia Upendo TV hadi ile ya mwamposaNikuambie tu ukweli Mkuu,
Wewe ni Mkristo bila shaka. Chukua StarTimes.
Azam imejaza Channel nyingi zenye maudhui ya Kiislamu. Hata movie nyingi zina lengo haswa la kueneza Uislamu.
Ambacho Azam wanakimudu vizuri ni mambo ya Soka la Bongo tu.
Startimes wana Channel za kila aina.
Wana Upendo TV, muda mwingi ni Injili na nyimbo za kuabudu na sifa. Channel za Kikristo zipo nyingi mno.
Kama mpira si sehemu ya wanachopenda wazee, opt for Startimes. Bei chee, mzigo mwingi.
Mie nalipiaga 18, 000Nimelipa kifurushi cha Mambo sh 17,000 lakini hakina channels za awali zaidi ya 10 Clouds TV, Wasafi Tv, Zile za kuhindi zote nk
Kikiisha kifurushi hiki nahamia Azan au DStv
1. AZAM
2. STARTIMES
3. DSTV
🤣🤣🤣Nimesoma maoni yote mpaka hapa, nimefanya upembuzi wa maoni hayo kwa vigezo vya muhimu.
Hivyo kwa mamlaka niliyopewa kwa kuzingatia ibara ya 6(2) na kifungu kidogo cha (6) huku pamoja na vigezo vingine muhimu kigezo cha uchumi kikipewa uzito unaostahili, natangaza king'amuzi kinachofaa kwa mtiririko wa namba kama ifuatavyo.
NB: Kama hukubaliani na matokeo haya, kata rufaa ndani ya masaa 6 tangu matokeo haya kutangazwa.
MENGINEYO:
Tutafute hela, king'amuzi ni DSTV.