Kati ya AZAM na STAR TIMES, ipi itakayowafaa wazee wangu kijijini?

Ona hili cchizzi na chuki zake_!!
 
Wambie Tec wafungue TV yao
 
Mpaka hapo Bora Star times
 
Mkuu, Star Times ndiyo inayoongoza kwa kuwa na watumiaji wengi, ikifuatiwa na AZAM. Wapo, na wanaendelea kuongezeka.
Unajidangaya,watu wengi wameachana na startimes wamenunua Azam,hizo takwimu ni za zamani kabla Azam haijaja.Kwa hiyo watu wengi Wala hawavilipiii hivyo ving'amuzi vya Startimes vimekaa kama mapambo nikiwemo mimi
 
Unajidangaya,watu wengi wameachana na startimes wamenunua Azam,hizo takwimu ni za zamani kabla Azam haijaja.Kwa hiyo watu wengi Wala hawavilipiii hivyo ving'amuzi vya Startimes vimekaa kama mapambo nikiwemo mimi
Punguza siasa, tembelea takwumu za TCRA
 
Wakuu, nawashukuruni sana kwa ushauri wenu! Niliufanyia kazi.

Siku chache baada ya kuupandisha huu uzi, nilimfungia dishi la AZAM, na hakika, anaenjoy.

Mniwie radhi kwa kutokuuleta mrejesho mapema.

Asanteni sana🙏🙏🙏
 
Nawashukuruni kwa ushauri wenu! Nilihitaji kwa ajili ya mama yangu mzazi. Nilimchukulia AZAM, na ameifurahia. Amekiri kuwa ni nzuri.
 
Watu tunatumia Internet TV za Fiber , nyie bado mnahaha na madecoder ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…