4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
na ndo tunawalaumu kwa kuuua waafrika wenzenu ila kwa uzezeta mnataa tumlaumu USA ambae hausiki popote kwenye ujinga wenuZinaua au haziui!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ndo tunawalaumu kwa kuuua waafrika wenzenu ila kwa uzezeta mnataa tumlaumu USA ambae hausiki popote kwenye ujinga wenuZinaua au haziui!?
Onesha wapi walikubali. Kwa sababu ni uongo hata maiti yake hawakuikabidhi kwa watu wake badala yake wakasema waliichoma moto halafu wakachukuja majivu yake na kuyatumbukiza kwenye kina kirefu cha bahari kwa kutumia meli za kivita.Al qaeda walikubali yule ni osama na alikufa ila unataka watu wakusikilize na kukuamin wewe
Kwamba civil war na mpaka Sudan kugawanyika marekani hakuhusika siyo!?..we ni pwaguYaani kuna watu ni mambwa sana ,hujui hata historia ya hiyo nchi , chuki za kidini na kikabila zilizomo humo ,mauaji ya Darful nayo yalisababishwa na mmarekani au sio ,? ,Civil war iliyosababisha mpaka kujimega kwa south Sudan ilisababishwa na Marekani sio ?
Kenge
Kwaio waarabu weusi sio waafricaUpotoshaji waafrika walikuwa wanachinjwa kama kuku huko darfur na warabu weusi wa sudani alafu unasema upotoshaji
Mbona south Sudan bado wanapigana?Mfano sudan waarabu weusi ambao technical sio warabu eti walikuwa wanabagua waafrika ndo chanzo cha mgogoro sudani na ikapelekea mpaka nchi ikajitenga
Anahusika kuendeleza migogoro. Na hili unabisha?Kuna maamuma wanasema Marekani anahusika ,uliuliza taahira kama hilo ,hebu elezea Marekani anahusika vipi , hamna majibu
Hao the Hague mbona hawakutoa hati ya kukamatwa Gaidi bush kwa kuivamia iraq?Tena chini ya yule gaidi Omar Albashir ambaye ndio aliyetengeneza hilo kundi la magaidi wa Janjaweed waliofanya genocide pale Darful , The heague walitoa hati ya kukamatwa kwake ili ajibu mashtaka ya mauaji ya kimbali dhidi ya wasudan weusi hapo Darful
Hawana tofauti na Nigerians hawaMapinduzi ya kijeshi mara zote huwa yanakawaida ya kujirudia tena..
Ukikaa madarakani Kwa mkono wa mapinduzi IPO siku utapinduliwa tu
kwamba wewe kama raia wa sudan kusin ungesubir marekan akushwawish kujitenga na sudan kaskazim? umeiona khartoum ? inafanana na darfur ? hapo sijashuka huko sudani kusin , tumien akili ubaguz ulikuwa mkubwa sana kati ya sudan kaskazin na sudan kusin , ni mjinga kama wewe ungelaa kimya janjaweed wakuue , msiwe na vituo vya afya wala elimu bora na huku usalama wenu ukiwa mbovu wkt Sudan kaskazin kama mbele tuKwamba civil war na mpaka Sudan kugawanyika marekani hakuhusika siyo!?..we ni pwagu
wewe ndo unataka wawe waafrika ,nenda sudan halaf kawaite wao waafrika usikie unavyopigwa panga , sis wabantu tuna shobo sana ila wenzetu hawatujai kabisaKwaio waarabu weusi sio waafrica
Hata yeye si muafrikaHuyo hemet kiongoz wa janjaweed hatakiwi kabisa kwa sababu kitu walichokua wanawafanyia waafrika kule darfur ulikua ni ukatili mkubwa sana walikua wanawachinja kama kuku
Nmeishi sudan miaka mitatu so faham unaongea na mtu anaeongea kitu anachokijua.wewe ndo unataka wawe waafrika ,nenda sudan halaf kawaite wao waafrika usikie unavyopigwa panga , sis wabantu tuna shobo sana ila wenzetu hawatujai kabisa
unahisi kama hao sudan kaskazin waliweza kuunda janjawees kuwaua wasudan wa kusin , unahisi wanashindwa vip kufadhiri huo ufedhur wakusin ? Chad na Sudan walifanya hivyo pia huko afrika ya kati , pia Gadaf akifanya hivyo huko Liberia na Sierra Leone , kwann Sudan asifanye hivyo kwa Sudan kusin?Mbona south Sudan bado wanapigana?
eleza anahusikaj hapoAnahusika kuendeleza migogoro. Na hili unabisha?
unahis unakamatwa bila mashtaka ?Hao the Hague mbona hawakutoa hati ya kukamatwa Gaidi bush kwa kuivamia iraq?
sasa ongea ukwel hapa na usidaganye watu , wao wanajichukuliaje , maana ukidanganya nakuletea video hapa hapaNmeishi sudan miaka mitatu so faham unaongea na mtu anaeongea kitu anachokijua.
Nan kakwambia Africa ni mtu mweusi?
hakuna sehem nmesema afrika ni kuwa mweusi , soma kwa utulivu , ww hutuliz akili , nmesema sisi wabantu tuna shobo sana wenzetu ( meaning wabara moja wenzetu ) hawatujali kabisa , KIUFUPI ONGEA UKWEL WANAJICHUKULIAJE? LINAPOKUJA SWALA LA KUITWA WAAFRIKANmeishi sudan miaka mitatu so faham unaongea na mtu anaeongea kitu anachokijua.
Nan kakwambia Africa ni mtu mweusi?
Kaa ufaham kinachowatesa waafrica ni waafrica wenyew. Putin ashawai kusema hili. Ukabila, utawala ni chanzo kikuu cha hii migogoro hao wazungu huitumia kama njia ya kutekeleza ajenda zao.unahisi kama hao sudan kaskazin waliweza kuunda janjawees kuwaua wasudan wa kusin , unahisi wanashindwa vip kufadhiri huo ufedhur wakusin ? Chad na Sudan walifanya hivyo pia huko afrika ya kati , pia Gadaf akifanya hivyo huko Liberia na Sierra Leone , kwann Sudan asifanye hivyo kwa Sudan kusin?
Libyaeleza anahusikaj hapo