Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Kaa ufaham kinachowatesa waafrica ni waafrica wenyew. Putin ashawai kusema hili. Ukabila, utawala ni chanzo kikuu cha hii migogoro hao wazungu huitumia kama njia ya kutekeleza ajenda zao.

Nimeishi sudan ukabila upo uchu wa mamlaka upo like ways to chad, south Sudan, Ethiopia, Somalia hata kenya
kama unajua makosa haya , sasa acha kulaumu watu wa nje wakatu sisi wenyew hatupendan , hata tungekwepo wenyew dunian tungegombana sana bora sasa hv wapo wanahofia uwepo wa hayo mataifa makubwa dunian
 
hakuna sehem nmesema afrika ni kuwa mweusi , soma kwa utulivu , ww hutuliz akili , nmesema sisi wabantu tuna shobo sana wenzetu ( meaning wabara moja wenzetu ) hawatujali kabisa , KIUFUPI ONGEA UKWEL WANAJICHUKULIAJE? LINAPOKUJA SWALA LA KUITWA WAAFRIKA
Wabantu tunashobo.wabara moja hatuwajali HOW?
 
kama unajua makosa haya , sasa acha kulaumu watu wa nje wakatu sisi wenyew hatupendan , hata tungekwepo wenyew dunian tungegombana sana bora sasa hv wapo wanahofia uwepo wa hayo mataifa makubwa dunian
Unafikir bila ufadhir wa mataifa makubwa kwa vikundi vya waasi Africa Hii migogoro ingedumu?
 
Wewe mpuuzi unaweza taja silaha zozote za kimarekani zinazotumika kwenye vita Africa hii ,? , Kuna nchi au kikundi cha uasi kinaweza nunua silaha za kimarekani Africa hii ?,hivi ninyi vichwa vyenu huwa vina kinyesi cha wapi ? ,Mbona huwa ni wapuuz hivyo ?
Kimbakilo haujaacha matusi pimbi wewe
 
Kwamba civil war na mpaka Sudan kugawanyika marekani hakuhusika siyo!?..we ni pwagu
kama sudan kaskazin wangefikisha huduma sawa huko Sudan kusin , sidhan kama wangedai kujitenga , mnapenda hoja za kutunga sana , Juba mji mkuu wa Sudan Kusin hapafikii hata Moshi mjini , hiyo sehem ilitelekezwa kabisa na kibaya wakatuma na janjaweed ili wawamalize hao wamasai wetu wa Sudan kusin , sasa sijui kama ww ungesubir USA akushawish kujitenga kana kwamba sudan kusin hawakuwa na malalamiko yao tang miaka ya 1980s
 
kama sudan kaskazin wangefikisha huduma sawa huko Sudan kusin , sidhan kama wangedai kujitenga , mnapenda hoja za kutunga sana , Juba mji mkuu wa Sudan Kusin hapafikii hata Moshi mjini , hiyo sehem ilitelekezwa kabisa na kibaya wakatuma na janjaweed ili wawamalize hao wamasai wetu wa Sudan kusin , sasa sijui kama ww ungesubir USA akushawish kujitenga kana kwamba sudan kusin hawakuwa na malalamiko yao tang miaka ya 1980s
Ndiyo maana nilisema wewe mpumbavu ambaye hata kukujibu najishushia heshima
 
Zinatumika afrika kwa sababu ni bora zaidi.Mfano hiyo Ak 45
1.inachukua risasi nyingi.
2.Ni nyepesi sio nzito sana ukilinganisha na aina nyingine
3.Rahisi kuirepair na ni ngumu kujam au kuharibika kiurahisi
4.Iko njema kwenye mazingira yoyote mfano baridi ,mvua,joto etc
5.Pia ina range kubwa.
kwa hiyo
Inatumika sana sio kwa sababu ni cheep au bei chee ila ni bora zaidi kwenye combat.

Unafaidika nini na uwongo?.
 
kama sudan kaskazin wangefikisha huduma sawa huko Sudan kusin , sidhan kama wangedai kujitenga , mnapenda hoja za kutunga sana , Juba mji mkuu wa Sudan Kusin hapafikii hata Moshi mjini , hiyo sehem ilitelekezwa kabisa na kibaya wakatuma na janjaweed ili wawamalize hao wamasai wetu wa Sudan kusin , sasa sijui kama ww ungesubir USA akushawish kujitenga kana kwamba sudan kusin hawakuwa na malalamiko yao tang miaka ya 1980s
Hata Tanzania napo kulikuwa na maeneo yapo nyuma sana kuliko Dar es salaam,sasa hivi yamebadilika sana.Barabara nzuri na maji yanatiriika majumbani.Ilihitaji muda na mipango iliyopangwa kutekelezwa hapo baadae. Maeneo kam hayo ndiyo Marekani na Ulaya waliyoyachochea kwa kutumia rangi na dini kwamba wao walikuwa hivyo kutokana na rangi zao na dini tofauti.Walipitisha maazimio ya kinafiki umoja wa mataifa na kutuma vikundi vya NGO za uchochezi mpaka ikawa ni uhasama kati ya wananchi hao.
Wangekuwa ni watu wazuri wangepeleka misaada kwa serikali ili ibadili hali kwa kile walichoona ni upungufu huko Sudan Kusini.Badala yake walifanya vitendo vya kichochezi vya wazi wazi.
 
Back
Top Bottom