shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Kauli ya marekan kuhusu kuipiga bomu Hague kam itamkamata raia wa marekan ,ililenga kitu gani?unahis unakamatwa bila mashtaka ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli ya marekan kuhusu kuipiga bomu Hague kam itamkamata raia wa marekan ,ililenga kitu gani?unahis unakamatwa bila mashtaka ?
kama unajua makosa haya , sasa acha kulaumu watu wa nje wakatu sisi wenyew hatupendan , hata tungekwepo wenyew dunian tungegombana sana bora sasa hv wapo wanahofia uwepo wa hayo mataifa makubwa dunianKaa ufaham kinachowatesa waafrica ni waafrica wenyew. Putin ashawai kusema hili. Ukabila, utawala ni chanzo kikuu cha hii migogoro hao wazungu huitumia kama njia ya kutekeleza ajenda zao.
Nimeishi sudan ukabila upo uchu wa mamlaka upo like ways to chad, south Sudan, Ethiopia, Somalia hata kenya
Wabantu tunashobo.wabara moja hatuwajali HOW?hakuna sehem nmesema afrika ni kuwa mweusi , soma kwa utulivu , ww hutuliz akili , nmesema sisi wabantu tuna shobo sana wenzetu ( meaning wabara moja wenzetu ) hawatujali kabisa , KIUFUPI ONGEA UKWEL WANAJICHUKULIAJE? LINAPOKUJA SWALA LA KUITWA WAAFRIKA
kabla hujanijibu uwe unatuliza akili , unaweza kamatwa bila kushitakiwa ?Kauli ya marekan kuhusu kuipiga bomu Hague kam itamkamata raia wa marekan ,ililenga kitu gani?
tuliza akili , bado una mapepe fulan hv , soma tena unijibuWabantu tunashobo.wabara moja hatuwajali HOW?
Unafikir bila ufadhir wa mataifa makubwa kwa vikundi vya waasi Africa Hii migogoro ingedumu?kama unajua makosa haya , sasa acha kulaumu watu wa nje wakatu sisi wenyew hatupendan , hata tungekwepo wenyew dunian tungegombana sana bora sasa hv wapo wanahofia uwepo wa hayo mataifa makubwa dunian
na kwa akili yako mkubwa ni marekan tu ?Unafikir bila ufadhir wa mataifa makubwa kwa vikundi vya waasi Africa Hii migogoro ingedumu?
Kimbakilo haujaacha matusi pimbi weweWewe mpuuzi unaweza taja silaha zozote za kimarekani zinazotumika kwenye vita Africa hii ,? , Kuna nchi au kikundi cha uasi kinaweza nunua silaha za kimarekani Africa hii ?,hivi ninyi vichwa vyenu huwa vina kinyesi cha wapi ? ,Mbona huwa ni wapuuz hivyo ?
Hiv kichwa chako kinafany kaz vizur?kabla hujanijibu uwe unatuliza akili , unaweza kamatwa bila kushitakiwa ?
IQ 20tuliza akili , bado una mapepe fulan hv , soma tena unijibu
Akili yako bana [emoji3].na kwa akili yako mkubwa ni marekan tu ?
kwahiyo umeshindwa jibu swali ? ili tuanze matusi vzr ?Wewe ni mpumbavu tu unayejitia kujua
Nikujibu nini usiyejua mchango wa marekani kwenye kuipasua Sudan!?..wewe si ni mbuzi tu nisiyepaswa kujadiliana naye!!kwahiyo umeshindwa jibu swali ? ili tuanze matusi vzr ?
kama sudan kaskazin wangefikisha huduma sawa huko Sudan kusin , sidhan kama wangedai kujitenga , mnapenda hoja za kutunga sana , Juba mji mkuu wa Sudan Kusin hapafikii hata Moshi mjini , hiyo sehem ilitelekezwa kabisa na kibaya wakatuma na janjaweed ili wawamalize hao wamasai wetu wa Sudan kusin , sasa sijui kama ww ungesubir USA akushawish kujitenga kana kwamba sudan kusin hawakuwa na malalamiko yao tang miaka ya 1980sKwamba civil war na mpaka Sudan kugawanyika marekani hakuhusika siyo!?..we ni pwagu
Ndiyo maana nilisema wewe mpumbavu ambaye hata kukujibu najishushia heshimakama sudan kaskazin wangefikisha huduma sawa huko Sudan kusin , sidhan kama wangedai kujitenga , mnapenda hoja za kutunga sana , Juba mji mkuu wa Sudan Kusin hapafikii hata Moshi mjini , hiyo sehem ilitelekezwa kabisa na kibaya wakatuma na janjaweed ili wawamalize hao wamasai wetu wa Sudan kusin , sasa sijui kama ww ungesubir USA akushawish kujitenga kana kwamba sudan kusin hawakuwa na malalamiko yao tang miaka ya 1980s
Muasi,wanachimba nae dhahabuWale Wagner wa Russia wapo upande upi?
Zinatumika afrika kwa sababu ni bora zaidi.Mfano hiyo Ak 45
1.inachukua risasi nyingi.
2.Ni nyepesi sio nzito sana ukilinganisha na aina nyingine
3.Rahisi kuirepair na ni ngumu kujam au kuharibika kiurahisi
4.Iko njema kwenye mazingira yoyote mfano baridi ,mvua,joto etc
5.Pia ina range kubwa.
kwa hiyo
Inatumika sana sio kwa sababu ni cheep au bei chee ila ni bora zaidi kwenye combat.
Hata Tanzania napo kulikuwa na maeneo yapo nyuma sana kuliko Dar es salaam,sasa hivi yamebadilika sana.Barabara nzuri na maji yanatiriika majumbani.Ilihitaji muda na mipango iliyopangwa kutekelezwa hapo baadae. Maeneo kam hayo ndiyo Marekani na Ulaya waliyoyachochea kwa kutumia rangi na dini kwamba wao walikuwa hivyo kutokana na rangi zao na dini tofauti.Walipitisha maazimio ya kinafiki umoja wa mataifa na kutuma vikundi vya NGO za uchochezi mpaka ikawa ni uhasama kati ya wananchi hao.kama sudan kaskazin wangefikisha huduma sawa huko Sudan kusin , sidhan kama wangedai kujitenga , mnapenda hoja za kutunga sana , Juba mji mkuu wa Sudan Kusin hapafikii hata Moshi mjini , hiyo sehem ilitelekezwa kabisa na kibaya wakatuma na janjaweed ili wawamalize hao wamasai wetu wa Sudan kusin , sasa sijui kama ww ungesubir USA akushawish kujitenga kana kwamba sudan kusin hawakuwa na malalamiko yao tang miaka ya 1980s
Punguza makasiriko. Huo ni mnyukano wa ndani wenyewe kwa wenyewe. US kosa lake nini!?Linapokuja suala la kutafuta amani sehemu zenye vita hawa bora wakae kimya tu.Hawajawahi kuunga mkono amani.