Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Watu ni wajinga hii nchi sishangai unachosema. You can't even reasoning a bit.Waarab walikuja kuishi sio kuvuna rasilimimali look zanzibar, tabora, singida na mikoa yote waarabu ni weng ushawai ona jamii ya wazungu Tanzania?

Africa mkijitia kutomjua adui yenu sahih ni nan mafanikio mtayaona kweny TV.Nioneshe Arab country yenye full of blacks kama France na nchi nyingine za ulaya.Ushaona blacks urusi ama ni pabaya. Nchi zote zeny resource angalia kama kuna blacks weng. Arab na asia countries zinafull of resources kaangalie kama kuna blacks weng kule zaid ya wahamiaji. Look at Europe countries blacks walivyojaa,waarabu wapo toka karne ya 17 na karne ya 17 mwishon 18 mwanzon yalipotokea mapinduz ya viwanda ndo ilipoanza sabab ya utumwa. Europe hakuna more resources waliamua kuja Africa for resources na labour. Eti prince henry Portugal navigator kweny 15th century ndo aligundua Africa [emoji23] mansa mussa died at 13th century na alikua tajir na elimu kubwa by then Africa kulikua na utajir na elimu kwa waafrica.

Karne ya 18 kweny mapinduz ya viwanda ulaya ndo kipind utumwa ulishika kasi WHY?

KASOMEN TRANSATLANTIC SLAVE TRADE ALAF MJE NA MAJIBU YA EUROPE KWANIN MANIGA NI WENGI KULIKO BAADHI YA NCHI ZA AFRICA KAMA TUNISIA, LIBYA NA MOROCCO
Hapa unajaribu ku_justify kitu gani labda!? Kwamba mwarabu alikuwa mtu poa sana kwa mswahili!? Au mwarabu hakuwahi kuhusika na biashara ovu ya watu waliofanywa watumwa.
 
mpaka sasa inaonekana Hemedti amemkalia juu general Burhan.Burhan ameamua kutumia ndege za mig kujaribu kuwatimua wapiganaji wa RSF kutoka kituo cha TV,makao makuu ya jeshi ya uwanja wa ndege na bado hajafanikiwa.
 
Watu ni wajinga hii nchi sishangai unachosema. You can't even reasoning a bit.Waarab walikuja kuishi sio kuvuna rasilimimali look zanzibar, tabora, singida na mikoa yote waarabu ni weng ushawai ona jamii ya wazungu Tanzania?

Africa mkijitia kutomjua adui yenu sahih ni nan mafanikio mtayaona kweny TV.Nioneshe Arab country yenye full of blacks kama France na nchi nyingine za ulaya.Ushaona blacks urusi ama ni pabaya. Nchi zote zeny resource angalia kama kuna blacks weng. Arab na asia countries zinafull of resources kaangalie kama kuna blacks weng kule zaid ya wahamiaji. Look at Europe countries blacks walivyojaa,waarabu wapo toka karne ya 17 na karne ya 17 mwishon 18 mwanzon yalipotokea mapinduz ya viwanda ndo ilipoanza sabab ya utumwa. Europe hakuna more resources waliamua kuja Africa for resources na labour. Eti prince henry Portugal navigator kweny 15th century ndo aligundua Africa [emoji23] mansa mussa died at 13th century na alikua tajir na elimu kubwa by then Africa kulikua na utajir na elimu kwa waafrica.

Karne ya 18 kweny mapinduz ya viwanda ulaya ndo kipind utumwa ulishika kasi WHY?

KASOMEN TRANSATLANTIC SLAVE TRADE ALAF MJE NA MAJIBU YA EUROPE KWANIN MANIGA NI WENGI KULIKO BAADHI YA NCHI ZA AFRICA KAMA TUNISIA, LIBYA NA MOROCCO
Hakuna aliyekuwa na upendo kwa mtu mweusi iwe mzungu au mwarabu.
Mwarabu alifanya kazi ya kuleta watumwa toka enterior hadi pwani na kuwauza kwa wazungu.
Mwarabu pia alipeleka watumwa wengi tu Arabuni unaambiwa therusi mbili ya watumwa walienda Arabuni.
Leo hii hawapo huko kwani wengi wao walihasiwa na kuuwawa kwa kuogopa watazalisha dada zao au kizazi chao kumezwa na weusi.
Na hadi Leo hii mtu mweusi kuoa mwarabu ni kaazi kweli kweli km sio haiwezekani.
Tofauti wazungu wao waliacha wazaliane ili kupunguza gharama za kuwafuata Afrika. pamoja na kuwa wengine waliwaweka kwenye ma zoo kwaajili ya utalii.
Blacks kwa watu weupe ni nyani tu, japo Kuna baadhi wameanza kustaarabika na kuona km nasi pia ni binadamu.
 
Hakuna aliyekuwa na upendo kwa mtu mweusi iwe mzungu au mwarabu.
Mwarabu alifanya kazi ya kuleta watumwa toka enterior hadi pwani na kuwauza kwa wazungu.
Mwarabu pia alipeleka watumwa wengi tu Arabuni unaambiwa therusi mbili ya watumwa walienda Arabuni.
Leo hii hawapo huko kwani wengi wao walihasiwa na kuuwawa kwa kuogopa watazalisha dada zao au kizazi chao kumezwa na weusi.
Na hadi Leo hii mtu mweusi kuoa mwarabu ni kaazi kweli kweli km sio haiwezekani.
Tofauti wazungu wao waliacha wazaliane ili kupunguza gharama za kuwafuata Afrika. pamoja na kuwa wengine waliwaweka kwenye ma zoo kwaajili ya utalii.
Blacks kwa watu weupe ni nyani tu, japo Kuna baadhi wameanza kustaarabika na kuona km nasi pia ni binadamu.
Hizo habari munafundishana kwenye nyumba zenu za ibada.Ukweli halisi unaonekana mitaani..Na kiuhakika suala la kuoana hakuna anayeweza kulazimisha kama anavyotaka yeye.Iwe ni kutaka kuoa mtu umpendae kwa lazima au kuzuia mtu wako asiolewe na unayemchukua.utaumwa bure. Kwa maana hiyo unalosema kwamba waarabu hawaolewi na watu weusi haliko mitaani.Liko kwenye mafunzo ya chuki zenu za muda mrefu.
 
Hakuna aliyekuwa na upendo kwa mtu mweusi iwe mzungu au mwarabu.
Mwarabu alifanya kazi ya kuleta watumwa toka enterior hadi pwani na kuwauza kwa wazungu.
Mwarabu pia alipeleka watumwa wengi tu Arabuni unaambiwa therusi mbili ya watumwa walienda Arabuni.
Leo hii hawapo huko kwani wengi wao walihasiwa na kuuwawa kwa kuogopa watazalisha dada zao au kizazi chao kumezwa na weusi.
Na hadi Leo hii mtu mweusi kuoa mwarabu ni kaazi kweli kweli km sio haiwezekani.
Tofauti wazungu wao waliacha wazaliane ili kupunguza gharama za kuwafuata Afrika. pamoja na kuwa wengine waliwaweka kwenye ma zoo kwaajili ya utalii.
Blacks kwa watu weupe ni nyani tu, japo Kuna baadhi wameanza kustaarabika na kuona km nasi pia ni binadamu.
Umeongea vyema lakini nahitaji ushahid wa hio therusi mbili na kuhasiwa kwa waafrica huko uarabuni ili wasizae.

Okay wanaume walihasiwa vip wanawake?
 
Sayyid Said kama ulivyosema hapo alikuwa mfanyabiashara na mkulima,Watu wa wakati ule walikuwa wanafanya kazi na kulipwa ujira wao kwa hali za wakati ule.Ni kama ilivyo sasa wafanyakazi wa serikalini na makampuni wanalipwa shilingi za kitanzania na kila siku wanasema hazitoshi.Jee wote ni watumwa hawa. Kutumia neno utumwa huwa ni uchafuzi wa historia na umeanza kwa wazungu kuwapakazia wengine kwa uovu walioufanya wao.
Kama tungezungumzia utumwa Kati ya dalali na tajiri katika biashara nani wa kulaumiwa.Tajiri wa biashara ya utumwa walikuwa akina John na wazungu wengine tena kwa jina la ukristo.Kama waarabu walishiriki hatua yoyote ile ilikuwa ni wale wa njaa jaa na hawakufanya kwa kuitaja dini yao ya uislamu kwa Uislamu unapinga utumwa.
Uchochezi na fitna za wazungu zimefanikiwa sana kutia watu mawazo na uadui mpaka wanapigana na kutengana kama walivyofanya huko Sudan.
unajitahidi kuupinga ukweli ?
 
Hiki kitu umeandika hata mim naweza andika baada ya miaka history ikasema wazungu ndo walikua watumwa. Nimekuuliza Europe kuna france full of blacks. North America kuna USA full of black walifikaje kule? Nchi gani ya kiarabu inablack nifahamishe
mnatetea waarabu wakati wanawaona mbwa tu , hv unataka kusema yaliyoandikwa juu ya wazungu ni kwel ila yaliyoandikwa juu ya waarabh ndo sio kwel ? huon unavyo dhihirisha upeo mdogo
 
comment za huu uzi una vita Sudan cha mtoto. njia ileile ya vita nyingi Africa inahakisi kwenye michango ya mjadala huu chuki,ubaguzi na maslahi binafsi na hapo ndo vita inapoanzia.
 
Hiki kitu umeandika hata mim naweza andika baada ya miaka history ikasema wazungu ndo walikua watumwa. Nimekuuliza Europe kuna france full of blacks. North America kuna USA full of black walifikaje kule? Nchi gani ya kiarabu inablack nifahamishe
pia hujui kuwa waarab walifikaje Ujiji Kigoma ?kwann hawakukaa moro au dodoma au Singida ila walikaa Tabora na kigoma ? unahisi kipi kiliwavutia wao kukaa kwenye hayo maeneo yaliyokuwa vituo vikuu vya biashara ya utumwa kwa Tanzania bara , je Zanzibar wale waswahili walitokea wap ? nan aliwapeleka pale Zanzibar?
 
Watu ni wajinga hii nchi sishangai unachosema. You can't even reasoning a bit.Waarab walikuja kuishi sio kuvuna rasilimimali look zanzibar, tabora, singida na mikoa yote waarabu ni weng ushawai ona jamii ya wazungu Tanzania?

Africa mkijitia kutomjua adui yenu sahih ni nan mafanikio mtayaona kweny TV.Nioneshe Arab country yenye full of blacks kama France na nchi nyingine za ulaya.Ushaona blacks urusi ama ni pabaya. Nchi zote zeny resource angalia kama kuna blacks weng. Arab na asia countries zinafull of resources kaangalie kama kuna blacks weng kule zaid ya wahamiaji. Look at Europe countries blacks walivyojaa,waarabu wapo toka karne ya 17 na karne ya 17 mwishon 18 mwanzon yalipotokea mapinduz ya viwanda ndo ilipoanza sabab ya utumwa. Europe hakuna more resources waliamua kuja Africa for resources na labour. Eti prince henry Portugal navigator kweny 15th century ndo aligundua Africa [emoji23] mansa mussa died at 13th century na alikua tajir na elimu kubwa by then Africa kulikua na utajir na elimu kwa waafrica.

Karne ya 18 kweny mapinduz ya viwanda ulaya ndo kipind utumwa ulishika kasi WHY?

KASOMEN TRANSATLANTIC SLAVE TRADE ALAF MJE NA MAJIBU YA EUROPE KWANIN MANIGA NI WENGI KULIKO BAADHI YA NCHI ZA AFRICA KAMA TUNISIA, LIBYA NA MOROCCO
Waarabu walikuja kutawala acha uzezeta wewe na hata baada ya uhuru waliachiwa Zanzibar dec 1963 ila jan 1964 Karume akawapindua kwa msaada wa John Okello ( mganda) na aliwaua sana waarab mpk wakawa wanapaka masizi ili wasijulikane ( video ipo youtube ) , Usipende ubish wa kijinga , Hata enzi za utawala kwa huku bara ambapo walikuwa wachache walitumika kwenye vyeo vya awali / vidogo, Wakristu wengi wanajua wazungu wabaya ila waislam weng hamjui kuwa waarab wanawaona kama mbuz mnawatetea hata walipokosea ukwel , zipo story kibao za dada zetu kuuliwa huko uarabun wala hawajal kuhusu ngoz nyeusi uwe mwislam mwenzao au laah , hapo Sudan wanazuia mbantu kuoa mwarabu chotara na unaeza jikuta huna hata uhai
 
Hapa unajaribu ku_justify kitu gani labda!? Kwamba mwarabu alikuwa mtu poa sana kwa mswahili!? Au mwarabu hakuwahi kuhusika na biashara ovu ya watu waliofanywa watumwa.
huyo mpuuz hajui mpk leo waarabu wanatufanyia mabaya meng tu
 
Hizo habari munafundishana kwenye nyumba zenu za ibada.Ukweli halisi unaonekana mitaani..Na kiuhakika suala la kuoana hakuna anayeweza kulazimisha kama anavyotaka yeye.Iwe ni kutaka kuoa mtu umpendae kwa lazima au kuzuia mtu wako asiolewe na unayemchukua.utaumwa bure. Kwa maana hiyo unalosema kwamba waarabu hawaolewi na watu weusi haliko mitaani.Liko kwenye mafunzo ya chuki zenu za muda mrefu.
unatetea ujinga wewe , na nyiny mnafanya tuonekane kama mbuz , wao wanaungana dhid yetu ila baina yetu zipo mbuz hazioni sudan tu waliunda janjaweed kuua wabantu bila kujali walikuwa waislm wenzao
 
Umeongea vyema lakini nahitaji ushahid wa hio therusi mbili na kuhasiwa kwa waafrica huko uarabuni ili wasizae.

Okay wanaume walihasiwa vip wanawake?
nmeandika ushaid hapo juu , umepinga , sasa sijui unataka ushaidi gan labda jamaa akupe
 
Kwa sababu Tanzania haikuwa na mfumo wa ma settlers wa kizungu sio kwamba nchi nyingine za Africa wazungu hawakuhamia na kuishi kabisa, jaribu kujiongeza katika kufikiria kwako. Unauliza maswali uliyopaswa kuyajua ukiwa kidato cha pili.
Watu ni wajinga hii nchi sishangai unachosema. You can't even reasoning a bit.Waarab walikuja kuishi sio kuvuna rasilimimali look zanzibar, tabora, singida na mikoa yote waarabu ni weng ushawai ona jamii ya wazungu Tanzania?

Africa mkijitia kutomjua adui yenu sahih ni nan mafanikio mtayaona kweny TV.Nioneshe Arab country yenye full of blacks kama France na nchi nyingine za ulaya.Ushaona blacks urusi ama ni pabaya. Nchi zote zeny resource angalia kama kuna blacks weng. Arab na asia countries zinafull of resources kaangalie kama kuna blacks weng kule zaid ya wahamiaji. Look at Europe countries blacks walivyojaa,waarabu wapo toka karne ya 17 na karne ya 17 mwishon 18 mwanzon yalipotokea mapinduz ya viwanda ndo ilipoanza sabab ya utumwa. Europe hakuna more resources waliamua kuja Africa for resources na labour. Eti prince henry Portugal navigator kweny 15th century ndo aligundua Africa [emoji23] mansa mussa died at 13th century na alikua tajir na elimu kubwa by then Africa kulikua na utajir na elimu kwa waafrica.

Karne ya 18 kweny mapinduz ya viwanda ulaya ndo kipind utumwa ulishika kasi WHY?

KASOMEN TRANSATLANTIC SLAVE TRADE ALAF MJE NA MAJIBU YA EUROPE KWANIN MANIGA NI WENGI KULIKO BAADHI YA NCHI ZA AFRICA KAMA TUNISIA, LIBYA NA MOROCCO
 
Back
Top Bottom