Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Umeongea vyema lakini nahitaji ushahid wa hio therusi mbili na kuhasiwa kwa waafrica huko uarabuni ili wasizae.

Okay wanaume walihasiwa vip wanawake?
Hadi Leo mayaya wanaoenda Arabuni matukio wanayokutana nayo yapo wazi. Hata humu JF thread zipo nyingi tu kuhusu shida na tabu wanazokutana nazo wafanyakazi wa ndani Arabuni.
 
Anayetaka kuoa Mwarabu aende Misri. Unakuja hata wake wawilio wa kiarabi kwa mpigo. wala hawana taabu cha msingi umpende binti wa watu.
 
mnatetea waarabu wakati wanawaona mbwa tu , hv unataka kusema yaliyoandikwa juu ya wazungu ni kwel ila yaliyoandikwa juu ya waarabh ndo sio kwel ? huon unavyo dhihirisha upeo mdogo
Yaliyozungumzwa na wazungu yameripotiwa na watu kama nyinyi.Ama kuhusu biashara ya Utumwa yule aliyetajwa sana na kuchorwa sura mbayo za kubuni kwa ajili ya kampeni yeye mwenyewe aliandika kitabu kupinga na kuonesha kuwa alikuwa ni mfanyabiasara tu na wala hakuwa akisafirisha watumwa.Huyu ni Hemed Almerjebi au tiputip. Kabla kifo chake aliandika kitabu kuwarudi akina Livingstone waliomzushia uwonogo chungu nzima na kumchora vibaya kinyume cha wema aliowafanyia kwa kuwaonesha njia za kufika Kongo na kwengine walikotaka waende.
 
Wew ni chizi warabu hawapo DODOMA, singida, Morogoro [emoji23]
 
SAS ni bora aliekuja kutawala au aliekuja kuwanyonya. Huko mashuleni mnasomea ujinga ama
 
Hapa unajaribu ku_justify kitu gani labda!? Kwamba mwarabu alikuwa mtu poa sana kwa mswahili!? Au mwarabu hakuwahi kuhusika na biashara ovu ya watu waliofanywa watumwa.
Soma vizur utaelewa. Pitia na post nyingine.
 
nlishaandika ukasema hata ww unaeza andika ila reference zenu ndo sisi hatuez andika bali ni za ukwel kbs
Lete evidence acha ujinga. Pia nmekuuliza wale blacks Europe walifikaje. Pia kwann utumwa ulishamili kipindi mapinduzi ya viwanda yalipotokea?

Waarabu walifany utumwa kwa mateka wa vita nenda kasome trans-Saharan slave trade japo sisemi utumwa ni sawa.
 
hakuna sehem mtu kakataa wazungu kutofanya biashara ya utumwa ila nyiny mnaowatetea waarab kuwa hawakufanya biashara nd tunawashangaa na nlikupa paragraph usome ukasema hata ww unaeza andika sasa unataka tuwe tunakujib mara mbili mbili ? si ndo ukilaza huo
 
SAS ni bora aliekuja kutawala au aliekuja kuwanyonya. Huko mashuleni mnasomea ujinga ama
mkuu unaonesha akili ndogo sana , kuna utawala wa jamii ngeni kwa wenyej bila unyonyaj ? unaonesha upumbav wa hali ya juu , haya mambo hufundishwi shulen yapo kwenye vitabu , sema huko madrasa wanawazuia kuhusu elimu dunia ili msijue mabaya ya mabwana zenu , uislam umeenezwa kwa upanga kote huko kwenye sudanic states hadi huku mashariki , ila ulivyo mpumbav unabisana na vitu vinaonekana , tusiende mbali hapo juz hao mabwana zenu walikuwa wanawauza utumwan
 
Akili zako ni za kipumbavu. Ulivomjinga unadhan uislam ni uarabu. Kwan wazungu hawakuja kutawala. Uko shule ulikua unalamba makamasi wenzio walivyokua wanafundishwa reasoning [emoji2369][emoji23].

Acha utaira kuna warabu ni waovu like ways wazungu wapo wema. When it comes kweny ukweli Europe wameiharibu Africa kuliko warabu.

Church involvement in the trans-Atlantic slave trade: its biblical antecedent vis-à-vis the society's attitude to wealth nenda kagoogle mweu wew [emoji23]




"In the colonisation of Virginia in North America by the British in the sixteenth and seventeenth centuries, the Church of England did little in terms of the conversion of the slaves since there were "ancient principles prohibiting Christians from holding fellow believers in slavery."In order to avoid such situations, the slave owners did not want their slaves baptised, which eventually led the church to enact a law in 1667, declaring that baptism did not change the status of a slave.This law did not make much impact on the conversion of the slaves. Some denominations remained indecisive on the issue."
 
Mchaw lugha



Lkn maelezo yako nimeyapenda[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Umekuwa mwafrika Sasa!!? Kumbe na wewe Ni MPUMBAVU.... Haya tuendelee kujadiliana MPUMBAVU MWENZANGU..... Maana ulirukaruka Sana kujibu....
 
Aiseh
 
Umekuwa mwafrika Sasa!!? Kumbe na wewe Ni MPUMBAVU.... Haya tuendelee kujadiliana MPUMBAVU MWENZANGU..... Maana ulirukaruka Sana kujibu....
wew huna akil wap nliandika mim sio mwafrika ? mkiitwa wapumbav badala mkirekebish mnaanza tafuta kampan ya wapumbav wenzenu
 
wew huna akil wap nliandika mim sio mwafrika ? mkiitwa wapumbav badala mkirekebish mnaanza tafuta kampan ya wapumbav wenzenu
Sio wewe uliyesema waafrika wapumbavu!!?? Ukabaki unarukaruka!!??
 
wew huna akil wap nliandika mim sio mwafrika ? mkiitwa wapumbav badala mkirekebish mnaanza tafuta kampan ya wapumbav wenzenu

wew huna akil wap nliandika mim sio mwafrika ? mkiitwa wapumbav badala mkirekebish mnaanza tafuta kampan ya wapumbav wenzenu

Utakuwa umesahau uliposema "waafrika wapumbavu"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…