Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishahara na marupurupu wapo ngazi moja.Kimaslai na marupurupu na kimafungu nani yupo juu ya mwingine kumbuka masurufu na mafungu ndio nguvu ya Kiti na Cheo.Hivyo mi naona DED ndio kila kitu hao wengine ni vyeo vya kisiasa zaidi.
Mkurugenzi wa Miji yaani City Director (CD). Huyu anamshahara mkubwa kuliko DAS. Huyu anateuliwa na Rais wa Jamhuri. MaDED na Town Directors na Municipal Directors wanateuliwa na Waziri wa TAMISEMI (Pia wanaweza kuteuliwa na Rais ila atafanya hivyo kwa capacity ya Waziri mwenye dhamana ya TAMISEMI kwa kuwa Wizara ipo Ofisi ya Rais).Hivi na yule mkurugenzi wa jiji la dar naye ni district executive director (DED)? je dar ni district?
Kama ni hivyo nafasi za madiwani nazo zifutweUna haki ya kuchanganyikiwa mkuu,hata mimi huwa nachanyikiwa,lakini naona kama wako at par,ingawa wakati mwingine naona kwa vile DAS ndiye kiongozi wa watumishi wote Wilayani,basi DED yuko chini ya DAS.Inachanganya kwa kweli.
Mimi huwa nadhani kuna haja ya kufuta mfumo wa kuwa na Halimashauri, ili kuondoa huo mkanganyiko ambao kiukweli unaleta misuguano na mikanganyiko isiyo ya lazima na hivyo kukwamisha utendaji kwa ujumla.Hivi kwa nini tusiwe na DC na DAS tu na chini ya DAS kukawa na idara mbali mbali ambazo zitashuhulikia issues za Willaya?Huu mfumo wa kuwa na Halimashauri unaongeza tu bureaucracy,matumizi ya fedha yasiyo ya lazima,ugumu wa udhibibiti na hivyo kuongeza uwezekano wa upigaji.Kwa ujumla mfumo huu uko inefficient.
Binafsi sioni faida za msingi za Halimashauri,infact naona kama they are just a liability to the government.
Halimashauri zetu zimeshindwa kabisa ku-meet expectations za Watanzania.
Ni kweli kwamba Katibu Tawala ni mtu anaesimamia utawala yaani Rasilimali watu au tuite Afisa Rasilimali Watu. Lakini si kweli kwamba anamtawala Mkurugenzi. Hana madaraka hayo. DAS yeye ni msimamizi wa ofisi ya DC. Chini yake kuna Afisa Tawala na Maafisa Taarafa. Pia wapo RITA (vizazi na vifo), anafungisha ndoa za Serikali na kazi za kiulinzi na usalama.Katibu tawala yeye ni kutawala na mkurugenzi yeye ni shughuli za maendeleo . Hilo jina tawala linatosha kwamba Das anamtawala mkurugenzi .
Binafsi huwa sipendezwi kabisa na nafasi ya madiwani hii inatokana na utendaji usioridhisha wa mabaraza ya madiwani. Lakini hawezi kufuta madiwani kwakuwa itakuwa ni kwenda kinyume cha dhana ya ugwatuaji madaraka (devolution and decentralization) au wengine wanaita bottom up approach.Kama ni hivyo nafasi za madiwani nazo zifutwe
Hilo jibu na Avatar imebidi nicheke tu.Ded ni kufa
Una haki ya kuchanganyikiwa mkuu,hata mimi huwa nachanyikiwa,lakini naona kama wako at par,ingawa wakati mwingine naona kwa vile DAS ndiye kiongozi wa watumishi wote Wilayani,basi DED yuko chini ya DAS.Inachanganya kwa kweli.
Mimi huwa nadhani kuna haja ya kufuta mfumo wa kuwa na Halimashauri, ili kuondoa huo mkanganyiko ambao kiukweli unaleta misuguano na mikanganyiko isiyo ya lazima na hivyo kukwamisha utendaji kwa ujumla.Hivi kwa nini tusiwe na DC na DAS tu na chini ya DAS kukawa na idara mbali mbali ambazo zitashuhulikia issues za Willaya?Huu mfumo wa kuwa na Halimashauri unaongeza tu bureaucracy,matumizi ya fedha yasiyo ya lazima,ugumu wa udhibibiti na hivyo kuongeza uwezekano wa upigaji.Kwa ujumla mfumo huu uko inefficient.
Binafsi sioni faida za msingi za Halimashauri,infact naona kama they are just a liability to the government.
Halimashauri zetu zimeshindwa kabisa ku-meet expectations za Watanzania.
DAS anawajibika kwa RAS, hali kadhalika DED. Hivyo hakuna line ya uwajibikaji wa moja kwa moja wa DED kwa DAS. Hata hivyo kiitifaki DAS yupo juu zaidi ya DED.
Niongeze kwamba DAS anauwezo wa kumuita DED ofisini kwake na akamuagiza cha kufanya. Lakini DED hawezi kufanya hivyo kwa DAS.
Si kweli kwamba pesa yote ya Wilaya inaenda au inasimamiwa na DAS. Pesa inayoenda kwa Katibu Tawala wa Wilaya ni ile tu inayohusu ofisi hiyo tu. Zingine zote zinaenda kwa DED.Mbona pesa yote ya wilaya inapitia kwa katibu tawala? Hata fungu la mkuu wa wilaya analo yeye sana sana labda mkuu wa wilaya agome kusaini matumizi lakini hana mamlaka na pesa.Mimi sio mwana siasa ila nabahatisha tu hivyo anaejua zaidi atujuze .
Nyongeza Mkuu..kunaweza kuwepo DAS mmoja kwenye wilaya yenye maDED zaidi ya watatu..hivyo tafsiri ni kuwa DAS yuko juu kuliko DED.DAS anawajibika kwa RAS, hali kadhalika DED. Hivyo hakuna line ya uwajibikaji wa moja kwa moja wa DED kwa DAS. Hata hivyo kiitifaki DAS yupo juu zaidi ya DED.
Niongeze kwamba DAS anauwezo wa kumuita DED ofisini kwake na akamuagiza cha kufanya. Lakini DED hawezi kufanya hivyo kwa DAS.
Kuna kipindikulitokea mgogoro Wizara ya mambo ya ndani kati ya Waziri au naibu waziri nafikiri (sikumbuki vizuri details)na presidentialappointees wa jeshini huku polisi.DED = District Executive Director, DAS = District Administrative Secretary & DC = District Commissioner. Wote hao ni kuteuliwa na kutumbuliwa wakati wowote. Nani mkubwa hapo
U triedWadungu naomba nami nichangie mada hii ambayo wengi wanaona kama uhusiano wa DED na DAS ki-protokali unachanganya. Mchango wangu utazingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi.
1. Mkuu wa Wilaya (DC)
Mkuu wa Wilaya anateuliwa na Raisi kwa mujibu wa kifungu cha 13 (2) cha sheria ya Tawala za Mikoa (The Regional Adminstration Act, 1997). Majukumu yake ni pamoja na kuwa mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya. Kwa mantiki hiyo anakuwa muwakilishi wa Raisi katika kusimamia ulinzi, usalama na shughuli za maendeleo kwa ujumla. Akishateuliwa mkuu wa Wilaya anaapishwa na kusimamiwa kiutendaji na mkuu wa Mkoa (kifungu 13 kifungu kidogo cha 3).
2. Katibu Tawala wa Wilaya (DAS)
Kifungu cha 16 (2) cha sheria ya Tawala za Mikoa kinamtambua DAS kama principal adviser (yaani mshauri mkuu) wa DC. Kifungu hiki pia kinasema DAS anateuliwa kwamujibu wa sheria ya Utumishi wa Umma. Bahati mbaya sina hiyo sheria hapa na nimetafuta mtandaoni sijaweza kuipakua. Ila natoa hoja yangu hapa kwa kuzingatia uteuzi wa Ma-DAS uliofanywa tarehe 5.8.2018 na Waziri mwenye dhamana ya Utumishi wa Umma. Katika tangazo lake kifungu cha 1.2 Waziri alisema, "Leo nimewaita kuzungumza nanyi kuhusu Uteuzi na Uhamisho wa baadhi ya Makatibu Tawala wa Wilaya. Kwa mamlaka niliyokasimiwa kwa mujibu wa Sheria nimefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Wilaya ili kujaza nafasi wazi kumi nane (18) zilizopo katika wilaya za Kinondoni, Mpwapwa, Dodoma, Iringa, Bukoba, Kigoma, Siha, Mtwara, Newala, Misungwi, Njombe, Kondoa, Manyoni, Kilindi, Chunya, Pangani, Bagamoyo na Handeni".
Hivyo, kwamujibu wa tangazo la Waziri mwenye dhamana ya Utumishi wa Umma ambalo nimenukuu hapa, uteuzi wa DAS upo chini yake kisheria.
3. Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya (DED)
Kwa mujibu wa kifungu cha 22 (2) cha Sheria ya Utumishi wa Serikali za Mitaa ( The Local Government Service Act, 1982), DED anateuliwa na Raisi. Majukumu kiutendaji DED anakuwa Chief Executive wa Halmashauri na anaripoti kwa Katibu Tawala wa Mkoa (RAS).
Hitimisho
Kwangu mimi sioni mkanganyiko wowote wa kisheria kati ya DED na DAS, maana DED anateuliwa na Raisi na DAS anateuliwa na Waziri wa Utumishi wa Umma. Sema DAS anaweza kuonekana katika mazingira flani kuwa boss wa DED pale ambapo anatekeleza kazi anazotumwa na DC. Pia, nimewahi kuona mahala DAS anaudhuria vikao vya Council Management (CMT) ambavyo DED ndio mwenyekiti. DC ni mkuu kiitifiki kwa DED ingawa wote wanateuliwa na Rais, utofauti wao unatokana na majukumu. DC anapolinda amani, usalama na maendeleo ni pamoja na kazi anazofanya DED na wakuu wengine wa vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenye ngazi ya Wilaya.
Huu ni uelewa wangu kwa kadri nilivyoelewa sheria husika, kama kuna mahala nimekosea niko tayari kukosoloewa maana mimi si mwanasheria kitaaluma. Asanteni
DC, DED, DAS, DAO X namba ya wilaya za nchi.Kama kweli tumekusudia kubana matumizi hapo kuna kazi zinaingiliana, ikumbukwe ndani ya ofisi ya DC yupo pia mtu anaitwa DAO = District Administrative Officer.
Hapana awapo ngazi mojaMishahara na marupurupu wapo ngazi moja.
Mmmh!DAS anawajibika kwa RAS, hali kadhalika DED. Hivyo hakuna line ya uwajibikaji wa moja kwa moja wa DED kwa DAS. Hata hivyo kiitifaki DAS yupo juu zaidi ya DED.
Niongeze kwamba DAS anauwezo wa kumuita DED ofisini kwake na akamuagiza cha kufanya. Lakini DED hawezi kufanya hivyo kwa DAS.
DC ni boss wao wote nadhani. Anauwezo wa kuwaita na kuwachimba mikwara wote maana yeye ni muwakilishi wa Rais.Kwa sasa yule anayejipendekeza sana kwa mkulu ndio boss wa mwingine bila kujali protocal. Mfano Bashite na PM.