GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #41
Asante sana mkuu. Umeniongezea kitu.Ford ranger ni mixture ya luxury and utility hivyo hautachoka sana kama utaendesha kwa muda mrefu haswa kwenye barabara korofi. Landcruiser ni utility vehicle, haina luxurious comfort yoyote ila ni gari ya kazi na ndiyo maana hata baadhi ya majeshi huitumia kama combat vehicle mfano darful, somalia n.k.
Hivyo, kama shughuli zako ni kazi kazi kama site Landcruiser is the best choice ila kama at times utahitaji kutumia kama usafiri wa hapa na pale basi ford ranger is the best choice.
Canter kabisaa!πMizigo midogo midogo ni aina gani ya mizigo?
Wasiwasi wangu isijekuwa unahitaji Canter badala ya pickup
Zilishakatwa screpa zoteChukua Toyota Stout. Iko bomba,hutojutia mkuu
LC ina fananishwa na Ford Ranger tena kwa kazi za porini πSijawahi jua kama pana mtu anaweza kuifananisha Land Cruiser na gari yeyote ile wacha niendelee kuwasoma tuu...
Defender 110 mwisho mkuu. Hasa toleo jipyaHii vita naona Ford Ranger imeshindwa mapema sana. Vipi kuhusu Land cruiser Vs Defender 110? Wekeni neno wakuu!
Shida moja ya Defender ni kwamba kila ukitoka Chimbo la mshikemshike basi ukifika mjini lazima ufanye replacement ya vitu kwenye miguu. Katika suala zima la Off-Road LandCruiser ipewe maua yake. Ford ranger zina tabia ya kunywa maji ukipita nazo kwenye madimbwi ya ukweli. Yote nimeandika kwa experience na siyo story za vijiweni.Defender 110 mwisho mkuu. Hasa toleo jipya
Hoja yako inafikirisha!Umewahi ona UN,Tanapa,police,Jeshi la nchi yeyeto wanatumia ford?
Nadhani umepata jibu
πZilishakatwa screpa zote
Mwl huwa hakosei!Chukua LC kaka, hiyo ni gari na nusu
NashukuruMwl huwa hakosei!
π
Cc Mpwayungu VillageMwl huwa hakosei!
π