Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

Kati ya Ford Ranger Double Cabin na Land Cruiser Double Cabin, lipi ni gari bora zaidi kwa kazi za "porini"?

Bei zinashabihiaana Mkuu maana Ranger anatoa matoleo mapya kila akiamka tofauti na LC anabadili Engine tu..
LC haijawahi kushuka bei zaidi huwa inapanda mbali na kubadili engine. LC70 1 ni ford ranger 2 Boss

Nimepita cars guide web

Ford Ranger $36,000
Toyota Land Cruiser 70 series $69,000

Ford Ranger 2024 model ni $36,000 - $86,000 kwa limited editions



Land cruiser 70 series 2024 model ni $69,000-$77,000


Uzi ubadilishwe iwe Hilux na Ford Ranger. Huku ni kuidhalilisha 70 series.
 
LC haijawahi kushuka bei zaidi huwa inapanda mbali na kubadili engine. LC70 1 ni ford ranger 2 Boss

Nimepita cars guide web

Ford Ranger $36,000
Toyota Land Cruiser 70 series $69,000

Ford Ranger 2024 model ni $36,000 - $86,000 kwa limited editions



Land cruiser 70 series 2024 model ni $69,000-$77,000


Uzi ubadilishwe iwe Hilux na Ford Ranger. Huku ni kuidhalilisha 70 series.
Endelea kupita Web ila nakueleza Ranger kwa mwaka mmoja anaweza kutoa model mbili au tatu na bei zinatofautiana sana nimezungumzia bei sio Ubora Ranger wana bei sana kila wanapotoa hizo Gari zao...
Mimi ni mnunuzi mkubwa wa LC ila Ranger nawaheshimu kwa Bei aisee...
 
Endelea kupita Web ila nakueleza Ranger kwa mwaka mmoja anaweza kutoa model mbili au tatu na bei zinatofautiana sana nimezungumzia bei sio Ubora Ranger wana bei sana kila wanapotoa hizo Gari zao...
Mimi ni mnunuzi mkubwa wa LC ila Ranger nawaheshimu kwa Bei aisee...
Sawa hata Lamborghini ina matoleo mengi na ina bei vile vile. Hiyo pesa ya kuchukua Ranger bado hujapata LC 70 showroom
 
Sijakataa Boss, bado tukija kwenye suala la bei, ni rahisi sisi tunao struggle kwenye kipato kununua ford ranger kuliko 70 series.
Sio kweli Ford utaifanyia nini anaetafuta maisha ni rahisi kupata Land Cruiser kuliko Ford maana hata ukifika nayo Arusha unaweza kurudi Sokoni wiki moja tuu ukafate ingine maana hiyo ushaiuza...LC ni kama pesa ipo Bank vile
 
cruiser kwenye maintenance ni cheap kuliko ford, interms of spare parts na mafundi ila kwenye durability ford ranger Hana mpinzani

Hii ni ngumu kuamini. landcruiser, tena model hii hakuna wa kulinganisha nayo. Jiulize kwa nn hata defender zenye engine ya zamani na hizi za puma hazitumiki na wazee wa kupiga shimo za serengeti (tours). Huu ni mfano tu ila ipo zaidisi ya hii (vitani, un na missions kibao wanatumia hizi gari.
Usijaribu hata kulinganisha durability ya LC na Ford kwa namna hii
 
Hii ni ngumu kuamini. landcruiser, tena model hii hakuna wa kulinganisha nayo. Jiulize kwa nn hata defender zenye engine ya zamani na hizi za puma hazitumiki na wazee wa kupiga shimo za serengeti (tours). Huu ni mfano tu ila ipo zaidisi ya hii (vitani, un na missions kibao wanatumia hizi gari.
Usijaribu hata kulinganisha durability ya LC na Ford kwa namna hii
Huyo anaongelea ushabiki nadhani
 
Kama UN na vikundi vya waasi sehemu mbalimbali duniani wanatumia Land Cruiser double cabin mimi ni nani niwapinge
Jamaa anajaribu kutafuta tofauti ya "Katambuga" na "Malapa"
images (5).jpeg

🤣 Landcruiser pickup

images (6).jpeg

🤣 Ford Ranger pickup


Hii ndio tofauti iliyopo baina ya hayo magari mawili.
 
Back
Top Bottom