Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #61
Ndoufahamu wako ulipoishiaUlikuwa na nyuzi za kuchekesha Ila huku unako Elekeamatumizi ya pombe Nathan ndio yanakuarbu ...nachelea kukutia shaka naona Ni matumizi ya tungi yakupelekesha vibaya
Akili huna Kanye ukalaleWew Jamaa sio bure haujatimia sawasawa Una mapungufu,
Hv unajiskiaje kusifia na kujadili vifua vya wanaume wenzio ht km Una tumia ID fake jamii forum isiwe sabab
NYIE WANAWAKE WA MIAKA HII SHIDA SANA.Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Hata kama I kutafuta attention,duh mkuu this is too muchView attachment 2743448View attachment 2743449
Mpwayungu 🌈Ila mna hakika hii ni account ya mpwayu🤣🤣🤣🤣
NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
HIli ni jitu la hovyo sana...ila tumsamehe,mnaweza filiri masihara kumbe mtu anapitia magumu kiuchumi ..Bei ya Pampers za wakubwa si ya kitoto.Khaaa mkuu kwani account yako anatumia mke wako au ninani
Mbona kama unafosi kutrend Jf tena kwa njia isiyo pendeza wala
We jamaa umeanza mambo ya upindeHawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Mwenye kujua uzuri na ubaya wa kifua ni yule aliyekionjaHawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Nakazia.Hakuna mwanaume rijali atathubutu kujibu hili swali
[emoji23][emoji23]Jina lako tu linasadifu, pepo tokaaa
[emoji23][emoji23]Mkuu leo umeamua[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Watasema et ni nyege
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]