Watu wataichukulia hii kauli yako kiutani ila watumishi waajiriwa wa CWT wako vizuri mno kila kitu wanajipangia makusanyo ya CWT kwa mwezi ni makubwa mno. Kwanza madaraja wanajipandisha kila baada ya miaka miwili na hakuna longolongo.CWT nao ni noma aisee.
Ni TISS sio TCC au ulitaka kusema ni TTCL?TCC je
TANZANIA CIGARETTE COMPANY mkuuNi TISS sio TCC au ulitaka kusema ni TTCL?
Me nilivoelewa jamaa ali_terminate na magereza akenda kufanya kazi taasisi ingine..Sijaelewa...Magereza sio taasisi ya Umma au
No.3 hao wote wapo wizarani..Ajira za umma kuna
1. Wizara
2. Halmashauri
3. Jeshi, polisi, magereza, uhamiaji
4. Wakala
5. Mamlaka
7. Taasisi
8. Shirika
9. Tume
Nakadhalika
Magereza sio taasisi mkuu
Hata hapa nilipo nachangia ila nipo ofisiniMleta hoja kafanye kazi! hata kama ukijua haitakusaidia kitu! hata nyie wachangiaji msipoteze muda wenu kutoa majibu haitawasaidia pia!
AiseeTANZANIA CIGARETTE COMPANY mkuu
vp mkuuAisee
Hawa wanapewa hadi communication allowanceTCC je
na ndo maana hata matangazo yao ya kazi hayawekwi wazi kabisaa[emoji779]Hawa wanapewa hadi communication allowance
Kuna jamaa kwenye uzi mmoja akasema mishahara yote serikalini inaishia milioni 2.7 mwisho.Mfano taasisi ninayofanya mimi graduate anaanza na 2,030,000 na kuna posho ya nyumba na usafiri 400,000 kwa mwezi, na hapo haipo kwenye list. Kwa hiyo huenda zilizotajwa hapo wanaanza na juu ya hapo. Lakini hearsays ni nyingi sana humu huenda hata hizo zilizotajwa wana mishahara ya kawaida.
Pia watu wanasema kisa TRA wanakusanya kodi ndio wana mishahara mikubwa, hii pia sidhani kama kuna uhalisia. Wote tunajua watu wa TRA wana pesa chafu kwa sababu ya madili yao hasa enzi zile.
Hapo ulipo ndugu yangu ndio pana pesa nzuri, stori nyingine mwisho upambane ukute mshahara 1.5 M halafu ni mwendo wa mshahara hadi mshahara hakuna extra duty allowances wala safari. Tukae humo.
Wenyewe wanasema kwenye kuku wengi usimwage mtamana ndo maana hata matangazo yao ya kazi hayawekwi wazi kabisaa[emoji779]
Unastahili kuingia kwenye nafasi ya miamba hapo juuMfano taasisi ninayofanya mimi graduate anaanza na 2,030,000 na kuna posho ya nyumba na usafiri 400,000 kwa mwezi, na hapo haipo kwenye list. Kwa hiyo huenda zilizotajwa hapo wanaanza na juu ya hapo. Lakini hearsays ni nyingi sana humu huenda hata hizo zilizotajwa wana mishahara ya kawaida.
Pia watu wanasema kisa TRA wanakusanya kodi ndio wana mishahara mikubwa, hii pia sidhani kama kuna uhalisia. Wote tunajua watu wa TRA wana pesa chafu kwa sababu ya madili yao hasa enzi zile.
Hapo ulipo ndugu yangu ndio pana pesa nzuri, stori nyingine mwisho upambane ukute mshahara 1.5 M halafu ni mwendo wa mshahara hadi mshahara hakuna extra duty allowances wala safari. Tukae humo.
Usinilazimishe wala Usinipangie Swine.Ondoa namba 2 & 3 hazitakiwi kuwa hapo
Mkuu wewe inaonekana hauwajui Watu wanaolipwa vizuri aiseOndoa namba 2 & 3 hazitakiwi kuwa hapo