Hoja yao ni kuwa hao wanaingiza pesa serikalini wakati madaktari na walimu wanatumia pesa zilizotengenezwa na wengineMadaktari na walimu pia watu wa kilimo kazi zao ni ngumu kuliko hao wanaopigwa viyoyozi maofisini. Lakini wanavyowapuuza wanalipwa mshahara kiduchu.
Acha utani brother, huwezi kuwaweka jwtz kwenye watu wanaolipwa vizuri Tanzania.Mkuu wewe inaonekana hauwajui Watu wanaolipwa vizuri aise
hapana sio hali ya hewa wao walikuwa Tanzania minerals auditing agency Magu aliivunja akaaunda Tume ya Madini.mkuu hao Tma sindo wa hali ya hewa au??kumbe wapo vizuri nao
Waliporudishwa wizarani mishahara yao ikawa juu kuliko wakuu wa idara. Kijana mdogo tu anakunja 6 millions. Sakata la kubadilisha scale zao sijui limeishia wapi. Hahahaa!hapana sio hali ya hewa wao walikuwa Tanzania minerals auditing agency Magu aliivunja akaaunda Tume ya Madini.
Sina uhakika sana..Inawezekana kabisa
Labda kaongeza na PA ila bado haifiki.Mkuu una uhakika na hiki unachokisema hapa?
Hiyo mishahara ya milioni 2 kwa graduate jeshini imeanza lini?
Figure za TANAPA sijui ila ninachojua kuna dogo aliajiriwa pale kama mlinzi mwaka juzi alianza na laki 9 kama salary.
Bado house allowance, transport allowance e.t.c
Sio 2.5 mkuu..ni 2.3mNi kweli walianza na hyo ila waliaonza na hyo sa hvi wameshafika 2.5 mil
Nashukuru umesema kwa udadisi wako mdogo mkuu.Mishahara kwa sasa inayibamba kwa mashirika ya umma,
1; TCRA
2. TASAC
3.TPDC
4.TANTRADE
5.BOT
Halaf ndo unakuja hayo mashirika mengine Hapo, taasisi nyingi kwa ofisa anayeajiriwa hutumiaga mshahra wa 1.36,hayo mataasisi uliyoyataja mengi yanarange above ya hii i'la haizidi 1.5, i'la haya niliyoyaorodhesha salary zake ndo zinaanzia zaidi ya 1.6 kwenda mbele...hiyo Ni kwa mujibu wa udadisi wangu mdogo
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Point kubwa sana hii.Wanaofanya kazi huko wqkipita hapa wanatikisa vichwa tuuu wakisikitika...
Wazee wa PUTS. Wakati nasoma nilikuwa nasikia kila mkisahihisha script moja ya mwanafunzi UE unapewa buku ni kweli?Kwa hiyo watumishi wa vyuo vikuu mnawachukuliaje labda
Mkuu hata mwenye jiwe, scale haitishi sana.Uzuri nimeona umekiri mwenyewe kule juu kuwa "labda kuanzia jiwe moja"! Ndiyo jeshini ukiwa officer hela nje nje tu kuliko hata baadhi ya hao wengine uliowataja hapo!
Mshahara ni uleule ila kuna kitu kinaongezeka kama P.AMfano private mwenye degree ya kwanza
Mshahara ni uleule ila kuna kitu kinaongezeka kama P.A
Kwako scale inayotisha inaanzia Ngapi kwaniMkuu hata mwenye jiwe, scale haitishi sana.
Hivi kuna taasisi ya serikali inayoajiri walinzi au wafanya usafi kwa miaka hii sio kwamba wana outsourceKwenye maslahi mazuri ni hapo unapojipatia riziki yako muda huu. Huko kote ulikotaja asilimia kubwa ya hizo nafasi(hasa za vitengo vyenye maslahi ni za Kamtele au Mtoto-wa.
Hizo za kawaida kwenye hizo idara hazina cha maana. But TCRA wana scale nzuri sana ya mishahara. Mlinzi tuu anamwacha graduate wa kada kama elimu au kilimo
Hakuna ukweli hapaHizi ndizo
1.TMAA graduate alikuwa anaanza na 4.5 bahati mbaya Magu ameivunja.
2.TCRa wanaanza na 4.
3.Ewura 3.5
4.TPA 2.8
5.REa 2.5
BoT,TPDC,TRA, NSSF,na wengineo wengi wanaanza 2 hadi 1.5 na hao TPDC ni 1.8.
Kazi kwako.
Kuna zile ajira 400 za TRA interview ilifanyika DUCE, kuna jamaa yangu alipata ila anasema salary walianza na laki 9.6
Hata 1mill haikufika sijui alikuwa ananidanganya yule jamaa?
Aisee mbona mmeng'ang'ania hao makuruta na maprivate tu kwani Jeshi linacomprise hao tu mzeeAcha utani brother, huwezi kuwaweka jwtz kwenye watu wanaolipwa vizuri Tanzania.
Linganisha mshahara wa graduate kuruta jeshini na graduate wa hizo taasisi nilizotaja hapo juu.