Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Madaktari na walimu pia watu wa kilimo kazi zao ni ngumu kuliko hao wanaopigwa viyoyozi maofisini. Lakini wanavyowapuuza wanalipwa mshahara kiduchu.
Hoja yao ni kuwa hao wanaingiza pesa serikalini wakati madaktari na walimu wanatumia pesa zilizotengenezwa na wengine
 
Mkuu wewe inaonekana hauwajui Watu wanaolipwa vizuri aise
Acha utani brother, huwezi kuwaweka jwtz kwenye watu wanaolipwa vizuri Tanzania.
Linganisha mshahara wa graduate kuruta jeshini na graduate wa hizo taasisi nilizotaja hapo juu.
 
Kwa hiyo watumishi wa vyuo vikuu mnawachukuliaje labda
 
Kuna walinzi TANAPA!!!
Figure za TANAPA sijui ila ninachojua kuna dogo aliajiriwa pale kama mlinzi mwaka juzi alianza na laki 9 kama salary.
Bado house allowance, transport allowance e.t.c
 
Mishahara kwa sasa inayibamba kwa mashirika ya umma,
1; TCRA
2. TASAC
3.TPDC
4.TANTRADE
5.BOT
Halaf ndo unakuja hayo mashirika mengine Hapo, taasisi nyingi kwa ofisa anayeajiriwa hutumiaga mshahra wa 1.36,hayo mataasisi uliyoyataja mengi yanarange above ya hii i'la haizidi 1.5, i'la haya niliyoyaorodhesha salary zake ndo zinaanzia zaidi ya 1.6 kwenda mbele...hiyo Ni kwa mujibu wa udadisi wangu mdogo

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Nashukuru umesema kwa udadisi wako mdogo mkuu.
 
Kwa hiyo watumishi wa vyuo vikuu mnawachukuliaje labda
Wazee wa PUTS. Wakati nasoma nilikuwa nasikia kila mkisahihisha script moja ya mwanafunzi UE unapewa buku ni kweli?
 
Uzuri nimeona umekiri mwenyewe kule juu kuwa "labda kuanzia jiwe moja"! Ndiyo jeshini ukiwa officer hela nje nje tu kuliko hata baadhi ya hao wengine uliowataja hapo!
Mkuu hata mwenye jiwe, scale haitishi sana.
 
Kwenye maslahi mazuri ni hapo unapojipatia riziki yako muda huu. Huko kote ulikotaja asilimia kubwa ya hizo nafasi(hasa za vitengo vyenye maslahi ni za Kamtele au Mtoto-wa.

Hizo za kawaida kwenye hizo idara hazina cha maana. But TCRA wana scale nzuri sana ya mishahara. Mlinzi tuu anamwacha graduate wa kada kama elimu au kilimo
Hivi kuna taasisi ya serikali inayoajiri walinzi au wafanya usafi kwa miaka hii sio kwamba wana outsource
 
Hizi ndizo
1.TMAA graduate alikuwa anaanza na 4.5 bahati mbaya Magu ameivunja.
2.TCRa wanaanza na 4.
3.Ewura 3.5
4.TPA 2.8
5.REa 2.5
BoT,TPDC,TRA, NSSF,na wengineo wengi wanaanza 2 hadi 1.5 na hao TPDC ni 1.8.

Kazi kwako.
Hakuna ukweli hapa
 
Acha utani brother, huwezi kuwaweka jwtz kwenye watu wanaolipwa vizuri Tanzania.
Linganisha mshahara wa graduate kuruta jeshini na graduate wa hizo taasisi nilizotaja hapo juu.
Aisee mbona mmeng'ang'ania hao makuruta na maprivate tu kwani Jeshi linacomprise hao tu mzee
 
Back
Top Bottom