Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
No, sio kweli.Hizo kozi ni majina tu ila contents zake inafanana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, sio kweli.Hizo kozi ni majina tu ila contents zake inafanana
Computer Science (CS) | Ndio chaguo sahihi.Becoming a programmer
- Je zinafanana kwa mtaala wa wapi?Hizo kozi ni majina tu ila contents zake inafanana
Nipe tofauti ya haya:
Computer Science
Computer Engineering
Computer Programming
Information Technology
Information and Communication Technology
Computer coding
Software Engineering
Hahaha, wako waliotoka na wana mafanikio makubwa tuWaliosoma wote ndio tupo tunapiga window huku.
Ukiwa na akili za ziada utajikuta umekua fundi simu upande wa software.
Kuhusu kufanikiwa usitegemee kabisa maana hizo kazi hawaajiri beginers, wanataka wazoefu haswa.
Na uzoefu maana yake ni kwamba, Maliza Chuo leo na Degree yako then sugua benchi kwa kujitolea sehem tofaut tofaut kwa miaka hata 10 then ndipo utafute ajira.
Ki ufupi hiyo Kitu naifananisha na SIASA bila mtu aliekutangulia anaekujua kukushika mkono kukupa kitengo.
Jiandae Kuja Kuwa Fundi Simu au Computer
Ahh nilisoma miaka 2000s, mpaka nakuja kupata masters hazijafanana. Ntakuambia kitu kimoja Cs iko so deep na imelenga kutengeneza wataalam zaidi waka IT imelenda kutengeneza users,adminsMimi ni miongoni mwa watanzania wachache kuanza kusoma IT kwa ngazi ya chuo kikuu japo sikuhitimi 1998.
Hizi course kwa Africa ni majina tu huwezi kuzitofautisha kuanzia content mpaka practice yake
Uko sahihi kwa wenzetu ni vitu tofautiila kwa bongo tofauti ni ngumu kuiona,hata chuoni first year tulisoma masomo yanayofanana,maelezo yako mengine yako sawaAhh nilisoma miaka 2000s, mpaka nakuja kupata masters hazijafanana. Ntakuambia kitu kimoja Cs iko so deep na imelenga kutengeneza wataalam zaidi waka IT imelenda kutengeneza users,admins
Cs ana pacha mwenzei anaitwa Computer engineering huyu yeye analala zaidi kwenye hardware (although wanapiga software pia but si deep kama CS)
Mitaala hubalika kila baada ya muda fulani so na mambo huanza kujitenga.
Japokuwa kwenye ajira za bongo tofauti ni ndogo, ila kwa huku nchi za nje wako specific
Hawachanganyi kabisa haya mambo
Pia zingatia CS ni degree miaka 3-4, IT degree sidhani kama nimewahi kuona ni diploma mara nyingi au short kozi, so degree utakula gharama mara nyingi na cost ya huo muda, CS ni science of computing ni academic sana ndo maana kuna shule zinafundisha lugha ambazo zineshakufa duniani, usipoangalia unaweza kutoka bila skills zinazohitajika kazini, ila siku hizi mambo yanabadilika shule zinajaribu kuwa practical zaidi. Degree inaweza kufungua milango mingi zaidi kuna wapumpavu hawaangalii CV kama haina degree pia kama ukitaka kwenda nje bila degree njia ni chache sana. So yote yana + na -.Wadau msaada
Je, kati ya IT(Information Technology) na Computer Science je ni kozi ipi Ina fursa zaidi na inaongoza kwa watu wengi waliofanikiwa?
Soma chochote bro! Inategemea na fulsa zilizopo, taasisi nilipo, ya UN, Nirifikili nikiingia kama engineer, nitapiga pesa ndeeefu, kuliko wote, waaapi, tunakimbizwa na vijana wadogo wenye degree za political science, mazingira, mass communication, geopolitical security,Wadau msaada
Je, kati ya IT(Information Technology) na Computer Science je ni kozi ipi Ina fursa zaidi na inaongoza kwa watu wengi waliofanikiwa?
Kwa hiyo COBOL na PASCAL hazihitajiki siku hizi? Kama nimekuelewa vizuriPia zingatia CS ni degree miaka 3-4, IT degree sidhani kama nimewahi kuona ni diploma mara nyingi au short kozi, so degree utakula gharama mara nyingi na cost ya huo muda, CS ni science of computing ni academic sana ndo maana kuna shule zinafundisha lugha ambazo zineshakufa duniani, usipoangalia unaweza kutoka bila skills zinazohitajika kazini, ila siku hizi mambo yanabadilika shule zinajaribu kuwa practical zaidi. Degree inaweza kufungua milango mingi zaidi kuna wapumpavu hawaangalii CV kama haina degree pia kama ukitaka kwenda nje bila degree njia ni chache sana. So yote yana + na -.
Kazi za COBOL na PASCAL ni karibia zero, kuna system za zamani baadhi ya mashirika hasa ya uma unaweza kuzikuta lakini wanataka watu wenye experience hauwezi kupata hiyo kazi kama ndo umetoka chuo, pia utaona kuna news story zinatokea kuwa kuna upungufu wa programmers wa COBOL kwa vile wengi wanastaafu lakini ukweli ni kwamba hawalipu mishahara inayofanana na tech za kisasa ndo maana hakuna anayetaka.Kwa hiyo COBOL na PASCAL hazihitajiki siku hizi? Kama nimekuelewa vizuri
C++ nadhani at least deal lake ni kubwa sanaKazi za COBOL na PASCAL ni karibia zero, kuna system za zamani baadhi ya mashirika hasa ya uma unaweza kuzikuta lakini wanataka watu wenye experience hauwezi kupata hiyo kazi kama ndo umetoka chuo, pia utaona kuna news story zinatokea kuwa kuna upungufu wa programmers wa COBOL kwa vile wengi wanastaafu lakini ukweli ni kwamba hawalipu mishahara inayofanana na tech za kisasa ndo maana hakuna anayetaka.
Duh Acha kututishaWaliosoma wote ndio tupo tunapiga window huku.
Ukiwa na akili za ziada utajikuta umekua fundi simu upande wa software.
Kuhusu kufanikiwa usitegemee kabisa maana hizo kazi hawaajiri beginers, wanataka wazoefu haswa.
Na uzoefu maana yake ni kwamba, Maliza Chuo leo na Degree yako then sugua benchi kwa kujitolea sehem tofaut tofaut kwa miaka hata 10 then ndipo utafute ajira.
Ki ufupi hiyo Kitu naifananisha na SIASA bila mtu aliekutangulia anaekujua kukushika mkono kukupa kitengo.
Jiandae Kuja Kuwa Fundi Simu au Computer
Mtu kama unapenda computer science nenda kaisome usikatishwe tamaa na mtuDuh Acha kututisha