Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kukulia mkoa unaotumia hiyo mboga kwa wingi sijawahi kula utumbo wake. Tuliambiwa utumbo wake ni mchungu, haufai kuliwa!Nyoya tu ndo sijawahi kupita nalo vilivyobaki nimekula mkuu, kwahiyo ndio unaliwa tena ni mzuri hauna mafuta kama nyama yake, mzuri sana kwa wanywa pombe kali, uuchome au mchemsho tupia ndizi au Viazi weuweeeee nimekumbuka mbali sana
😃😃😃Kuna kiti wale wachanga au walionenepa sana itakuwa alikula kati yao, sasa apatikane kiti pori aliefugwa km mbuzi kwa kufungwa kamba na kuchungwa akila nyasi maganda ya ndizi nk, arooo ni watamu nyieeee acheni
Nishakula sana tu, ila punguza misosi , nyuzi za misosi wewe unatoa mate tu, ile program yetu ya mazoezi haitafanikiwa😁😁😁Ushawahi kula mdudu? Utamu wake hauishi hamu, mdudu mtamu huyu😋😋
Papa ya nonino ndio nyama gan tena bro?Seems watu wanapenda saba haram! 🤪
Kuku wa kienyeji asifananishwe na chochote, labda papa ya nonino...
Waliwadanganya, utumbo wake mzuri kinoma hata wa ng'ombe haufikii na sio mchafu kiivyo huwezi amini,Pamoja na kukulia mkoa unaotumia hiyo mboga kwa wingi sijawahi kula utumbo wake. Tuliambiwa utumbo wake ni mchungu, haufai kuliwa!
Ajabu ni kwamba pamoja na kuwa kichwa chake kinatisha ni kitamu sana!Uzi usikose ka picha hata kamoja😂View attachment 3039390
Nitafanya vipi mazoezi na njaa?😂Nishakula sana tu, ila punguza misosi , nyuzi za misosi wewe unatoa mate tu, ile program yetu ya mazoezi haitafanikiwa😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣KITIMOTO IMEMSHINDA MPAKA NGAMIA KWA UTAMU WE DUNIA NZIMA ANAPATIKANA KASORO JANGWA LA SAUDIA TU
Ni ile papa dogo, ile inaliwa ila haitafuniki, 8le unaitolea udenda ila haiingii kwa mdomo.Papa ya nonino ndio nyama gan tena bro?
Weuweee! Kapeace wewe ndiye umemuenjoy sana mahi wako!Waliwadanganya, utumbo wake mzuri kinoma hata wa ng'ombe haufikii na sio mchafu kiivyo huwezi amini,
Ilikuwa tukichinja nahakikisha nimekula kila sehemu, nyama, ngozi, utumbo, kongoro, nikishiba nilikuwa nachoma masikio sasa natafuna taratiiiibu km jojo😋
Usifanye hivyo mkuu! Kitimoto kipo tu. Uzima ukiwepo, utaila hata mwakani.Mdudu mtamu usitake nivunje kibubu
Ila ni tamu😃Pua ndefu a.k.a Noah🤣
😁😁 zile T3 kama yule jamaa anavyosemaga hazitaondoka kwako basi.Nitafanya vipi mazoezi na njaa?😂
Hapa vyakula vinapita kichwani mwangu kitimoto, mtindi, mananasi🙌
😃Yaani wenye D mbili au kikawaida...
Kitimoto mtasha, kk kienyeji mbongo?
Kulikoni mkuu!Hapa naona wanahtajika wenye D mbili
Kuna pori flani huko ndo nilimfaidi mahi kula mpaka kumtizama, bei kg 1 2015-2017 ilikuwa 2000-3000 saiv sijui bei ikoje, kule hawamjui mduduWeuweee! Kapeace wewe ndiye umemuenjoy sana mahi wako!
Mimi kongoro zake ni tamu nilikua nikishika ile kwato hunitoi kwa utamu
Kuna watu wanadai eti si salama kwa afya!Pork, mdudu, mnyama, mbuzi katoliki, kitimoto n.k achana naye ana utamu usioisha hamu. Utakula na siku nyingine hamu utaipata tu.
Utaila ya kuoka, kukaanga, roast, makange 😋 n.k bado mtamu. Kitimoto kidumu 💪na sio chama cha mambuzi.