Kati ya Mama na Mke Nani anapaswa kukaa Siti ya mbele wakati unaendesha Gari?

MKE wako ndio anastahili kukaa Siri ya mbele kama kavaa kimini unainjoi kuangalia mapaja yake mazuri
 
Mimi nafata seniority
Kama baba yupo ndio atakaa mbele.
Kwa nini?ndio most senior kwa kila kitu.

Akiwa hayupo mnajua anayefuata, mke akae huko nyuma take asitake

Akiwa hayupo ndio nafasi yake

N.B Mfumo huo upo pia kwenye majeshi pia .
 
Mimi nafata seniority
Kama baba yupo ndio atakaa mbele.
Kwa nini?ndio most senior kwa kila kitu.

Akiwa hayupo mnajua anayefuata, mke akae huko nyuma take asitake

Akiwa hayupo ndio nafasi yake

N.B Mfumo huo upo pia kwenye majeshi pia .

Nafasi ya MKE ndani ya familia unaifahamu?
Hivi unajua akitoka Mume ndani ya familia anayefuata ni MKE kimuundo wa utawala?

Kisheria hata za nchi unafikiri MKE kwenye familia ananafasi ya ngapi?
 
- Mke mwenye heshima uheshimu nafasi ya mzazi na vyivyo hivyo mzazi mwenye hekima anaelewa nafasi ya mtoto.

- Vita/Ugomvi/Vinyongo hujionyesha pale pasipo na heshima wala hekima.

- Tuwaombee hekima wazazi wetu na tujitahidi tupate wake wenye heshima.
 
Mke akae mbale ili likitoke la kutokea apasule yeye ntaoa mwingine ila mama yangu kama naendesha mie akae siti ya nyuma tena upande wangu
 
Nafasi ya MKE ndani ya familia unaifahamu?
Hivi unajua akitoka Mume ndani ya familia anayefuata ni MKE kimuundo wa utawala?

Kisheria hata za nchi unafikiri MKE kwenye familia ananafasi ya ngapi?
Kwanza unipe tafsiri ya maana ya familia.
Sisi wengine extended.

Nafasi ya mke ni mkamwana tu.
 
Kaka Robert tusome MWANZO 2:24 - "Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. (SUV)" ukisoma hilo andiko kwa kulirudiarudia utapata mafunuo mengi sana ... matatizo ya mmomonyoko wa maadili leo unasababishwa na watu wengi kuishi nje ya maandiko ndio maana matatizo hayaishi kila kukicha.. msingi wa maandiko unamtaka mwanaume kumpenda mkewe na mke kumtii mumewe lakini janaume linataka kupendwa na mke anataka mume amtii Mungu hakuagiza hivyo ndio maana tunaumia na kuumizwa tu kwasababu ya ujinga na uvivu wa kutafuta maarifaaa.. tusome biblia...
 
Kwangu ni kitu kidogo Sanaa,akae mbele apendavyo huyo mama,shida Moja wanawake tunapenda sometimes kushindana na mama wakwe Kwa vitu vidogo Sanaa..yaani Mimi mama mkwe honestly hanipi shida!!
Ni ujinga kushindana kukaa mbele kwenyw gari,we km mke jiongeze tu mpishe tu akae kwani kwanza mama hakai mda mrefu ataondoka ni WA kupita kushindana na mtu wa kupita ni ujinga tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mke atakaa mbele

Mama atakaa mbele kwenye gari la baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…